NMB yawaburuza CRDB na wenzake kifaida chini ya Mwanamama Ms Ruth Zaipuna, huenda Ukimwacha Rais Dkt Samia na Spika Dkt. Tulia mwingine ni huyu Mama

CV la nguvu hili. Bank imeingia mikono salama. Ndiyo maana wanahisa tunajidai Sana. Walisema mwaka huu wa fedha tutabeba gawio kwa viroba. Hongera Sana Ruth Zaipuna.
 
Akiwa Waziri wa Fedha pia itafaa sana
Huko asiguse kabisa atapotea. Akikutana na Ile mijizi ya taasisi zilizo chini ya hiyo Wizara watamchafua jina. NMB forever for Zaipuna. Shareholders hatutakubali hili.
 
398BL record nzuri sana hii kwa makabwera
 
Tangu aingie huyu MD mpya crdb ina under go negative growth, hana amshaamsha kama za mzee Kimei,
Kifupi ameshindwa KAZI. Ashukuru tu Mungu kuna malipo ya serikali yanapita huko. Ingeshamfia MD mpya huko kijanini. Wanahisa huko tumeumizwa vibaya mno hatuna hamu kabisa. Najuta hisa za CRDB.
 
Hamia kwenye nchi zenye benki tajiri
 
Kifupi ameshindwa KAZI. Ashukuru tu Mungu kuna malipo ya serikali yanapita huko. Ingeshamfia MD mpya huko kijanini. Wanahisa huko tumeumizwa vibaya mno hatuna hamu kabisa. Najuta hisa za CRDB.
Nenda tu NMB nasikia hisa ziko vizuri sana
 
Well said
 
Safi sana MD wa NMB PLC tunataka wamama kama wewe katika Taifa hili,
 
Safi sana Rais Samia,
Safi sana Ruth Zaipuna,

We love you.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…