Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mada yenyewe haina kichwa miguu wala nanlii.Una uandishi wa kitoto
Umezini kwakua hujaoa,,na dhambib haijawahi kuja na sura mbaya."Roho itendayo dhambi ndio itakayo kufa"Sjazin,nmefanya uasherati,tofautisha
Ulianza mara baada ya kuzaliwa?mi sijawahi kuridhika na demu mmoja toka nimezaliwa always ni 5+
Teh tunavumilia hivyo hivyoMada yenyewe haina kichwa miguu wala nanlii.
Unanitisha, et ytakufa¡! hahaha watu wameanza kuzin leo?...yaan Mungu angekua na roho kama yako,daah hii dunia wala isingekuepo,.wanadam wana hukum kuliko Mungu,...au atakua ni mkeo nin?Umezini kwakua hujaoa,,na dhambib haijawahi kuja na sura mbaya."Roho itendayo dhambi ndio itakayo kufa"
You need to grow up, huoni kila mtu anaukandia uzi wako[emoji12] [emoji12]Take it easy grown ass woman
Dada angu,hakuna mwanaume asiecheat dunian,trust me,ata cheat tu one or several times in his life time..ndo maana nkahis kuna inborn character tuu si bure,..mi nmejilazimisha kuto cheat nmeshindwa,na rafk zangu karibia woote hil swala limewashinda,bas nmeconclude kua lazma kuna gene hyo tuu kwenye DNAitaje hio gene,na kwa nini iko kwa wanaume tu?
Seema yoote ila ujue dhambi inaua,mkewangu hawezi kuja kwako maana ni wanguUnanitisha, et ytakufa¡! hahaha watu wameanza kuzin leo?...yaan Mungu angekua na roho kama yako,daah hii dunia wala isingekuepo,.wanadam wana hukum kuliko Mungu,...au atakua ni mkeo nin?
unaweza kungonoka na mkeo na ukafa vile vile acha biti nyau weweHizi fiction hapa sio mahali pake wahi fb kwenu ukawasimulie upupu wako! Jiheshimu basi na usifikiri kuna award za kungoneka zaidi ya kuwaalika wale wageni mwilini mwako! Anyway, kila mchuma janga hula na wa kwao japo hakuna msiba usio na nduguze! Waambie wakuandalie pa kuzikwa!
ni raha sana mkuu, sema uwe na mbinu za kuwafanya wote wajiskie wako peke yaoHahaha,we ni hatar mkuu,..mi skufikii
siyo ndevu tu angekuwa ameuzwa bucha kye kye kyesasa 29 si mtu mzima kabisa, ungekua mbuzi ungekua na ndevu??!!!
Dada angu,hakuna mwanaume asiecheat dunian,trust me,ata cheat tu one or several times in his life time..ndo maana nkahis kuna inborn character tuu si bure,..mi nmejilazimisha kuto cheat nmeshindwa,na rafk zangu karibia woote hil swala limewashinda,bas nmeconclude kua lazma kuna gene hyo tuu kwenye DNA
Bas hata wewe utakufa,..hakuna asie na dhamb hapa dunian,aliwah kua m1 tuu...pia huyo mkeo sawa ni wako akiwa kwako,tukikutana nao huku uraian wanasemaga usihof hatojua.Seema yoote ila ujue dhambi inaua,mkewangu hawezi kuja kwako maana ni wangu
Nakuelewa mkuu ila mshahara wa dhambi ni mauti.kufa kila mtu atakufa na baada ya kifo ni hukumu.kwakua wote tunadhambi endelea ukitaka jf tukuchangie na nauli urid mkoan ukazinzike.maana mchafu na azidi kujichafua na msafi azid kujitakasaBas hata wewe utakufa,..hakuna asie na dhamb hapa dunian,aliwah kua m1 tuu...pia huyo mkeo sawa ni wako akiwa kwako,tukikutana nao huku uraian wanasemaga usihof hatojua.