Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Just cheat for your own! Stop publicizing your cheating habits here. That was my pointSince when growin up became the cure for cheaters?
dada angu mbona unawatus wazaz wangu ,wamekukosea nin,..tabia yangu ni yangu dont involve my parents .wana mwaka wa 40 nw ndan ya ndoa na aman tele sista angu,hapo umenikosea.kama wewe umeshindwa sio wote,kuna wanaume hawacheat,yes wapo,wewe utakua zao la mchepuko,hujaonja upendo wa baba na mama.,,halafu kwa nini umezungukwa na marafiki wanaocheat????roho ya ukimwi inakunyemelea....
Bas sawaNakuelewa mkuu ila mshahara wa dhambi ni mauti.kufa kila mtu atakufa na baada ya kifo ni hukumu.kwakua wote tunadhambi endelea ukitaka jf tukuchangie na nauli urid mkoan ukazinzike.maana mchafu na azidi kujichafua na msafi azid kujitakasa
dada angu mbona unawatus wazaz wangu ,wamekukosea nin,..tabia yangu ni yangu dont involve my parents .wana mwaka wa 40 nw ndan ya ndoa na aman tele sista angu,hapo umenikosea.
Let's say you won!Ts a fun zone darlin,every1 tells his/her own story,u should bring urs..is it ur first time in the forum.?...perhaps it is.
R u sure ts a rare case?au umeamua kunikomalia mim tuu,...
daah maneno makali sana, hadi mm yamenichomakama wewe umeshindwa sio wote,kuna wanaume hawacheat,yes wapo,wewe utakua zao la mchepuko,hujaonja upendo wa baba na mama.,,halafu kwa nini umezungukwa na marafiki wanaocheat????roho ya ukimwi inakunyemelea....
daah maneno makali sana, hadi mm yamenichoma
Unatetea udhaifu wako tu, unatakiwa kutubu na kuombewa hilo pepo la ngono likuachie.Wakuu niko nje ya mkoa kikaz,xmass nilirud kwangu ila boxing day faasta nikarud huo mkoa niliokuepo,sasa speed ya kurud huku fasta hiv ni jus kuna mdada near hii sehem ninayokaa huku,yaan anamvuto wa kungoneka balaa,na amenizoea kwa muda mfup had nashangaa,nmeshindwa kujizuia actualy nmeshamla tayar..nilirud xmass home ila nkawa sina ham na madem zangu wa home kabsaa,akil yote iko kwa huyu binti,na nilipotua tu niyeye alienifata moja kwa moja akalala na ndo siku hyo nilimla,juz tuu,ni mtam huyu mtoto,daah,.
Makin the story short:nilidhamiria kuacha hii tabia ila nmeshindwa kiukwel,..huyu dada ana stationery kuubwa kwel,sasa sjui ni mke wa mtu,na tulijuana hapo stationery kwake nilipoenda kupata huduma ya haraka.
Hivi uzinzi ni tendo tofauti na uasherati au kinachotenganisha ni status ya mtendaji? Tendo ni lilelile tofauti ni kuwa uzinzi unafanywa na mtu aliye ndani ya ndoa lkn uasherati unafanywa na wavulana /wasichana.Huu sio uzinz,ni uasherati
Kabsa mkurugenzHivi uzinzi ni tendo tofauti na uasherati au kinachotenganisha ni status ya mtendaji? Tendo ni lilelile tofauti ni kuwa uzinzi unafanywa na mtu aliye ndani ya ndoa lkn uasherati unafanywa na wavulana /wasichana.
Vv
Hapo ndio nathibitisha una jini mahaba, jinsi unavyotetea tabia yako chafu, inashangaza!Unanitisha, et ytakufa¡! hahaha watu wameanza kuzin leo?...yaan Mungu angekua na roho kama yako,daah hii dunia wala isingekuepo,.wanadam wana hukum kuliko Mungu,...au atakua ni mkeo nin?
Hapo umanza kurejea kwenye ufahamu wako, usipoweza kuacha hiyo tabia sasa basi ujue hakika itagharimu ndoa yako na mkeo.Ndo hapo naposhindwa mim,..mi nkikolea mahala,nkirud huku kwingne had nikolee sio leo,lazma nivute vute hisia kwingne