Gabbar_singh
Senior Member
- Jan 5, 2019
- 146
- 215
ushahid unaohtajika ni wa shahid sio mshtak yn hapo angekua jiran ndio kamuona mwiz wa sim yako alaf akeambie we ndo unafngua kesi ukiambiw leta shahid unampelek uyo asa utampelek shahid gan na mahakamn ni ushahid ndio kitu muhim sio unamshtak mtu alaf na we ndo uyo uyo shahid aina nguv utapotz gharam akikushinda anaez fungua na kesi ya kukudai fidia ya kumdharilsha au kulp gharam zke so uka potez zaid polis kes zkirundkana wanaonag kero wanazplka mahakmn ht km azina ushahid so hapo una bet unaez shinda au laa