Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Pale ulipoenda kufungulia, waambie ushaidi wako hauna vigezo ingawa wanaweza kukutikisa kidogo ugaramike.Napigaje chini na imeshafika mahakamani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pale ulipoenda kufungulia, waambie ushaidi wako hauna vigezo ingawa wanaweza kukutikisa kidogo ugaramike.Napigaje chini na imeshafika mahakamani?
Sio kila kesi mtu anayoshindwa anamlipa fidia.Hapo simu umeibiwa, usumbufu utaupata na fidia utalipa unless huyo unayempandisha kizimbani hajielewi.!!
Hiyo simu ina thamani gani mpaka uende mahakamani? Una ushahidi gani zaidi ya "nilimuona"?Wakuu mimi kuna mtu aliniibia simu yangu usiku wa saa tisa nilimuona dirishani(kuna taa imefifia mwanga lakini unaweza kumuona mtu na mlangoni(pale mlangoni kuna ka duara hivi kwahiyo kabla ya kufungua mlango nilimuona na penyewe kuna taa ambayo inamulika vizuri) sasa zikapita siku nikawa namuona sehemu. Ikabidi niende kumshtaki.
Wakauliza anapokaa anasema mtaa ule ule ninaokaa mimi, ila kijana akakataa kata kata kwamba siyo yeye, wakati yeye ndiye niliyemuona ila anabisha. Basi wakasema kesi ipelekwe mahakama. Ndiyo tunasubiria week ijayo.
Vipi ni maswali gani ya kumuuliza mtuhumiwa?
Nilikuwa nmelala. Baadae nikawa kama nmeshikwa na kitu mguuni, kushtuka kuangalia dirishani, dirisha liko wazi,simu ilikuwa upande wa miguuni wa kitandani karibu na dirisha. Kwahiyo ile nashtuka moja kwa moja naangalia dirisha liko wazi simu haipo. Nikasimama kitandani ndipo nikamuona mwizi, nikaanza kushtuka simu yangu, simu yangu, aliponiona akajibanza kwenye ukuta, nikawa namwambia kaka naomba simu yangu, akasema leta hela laki na hamsini nikamzungusha hapo wee baadae nikamwambia sawa nakupa. Nmetoka nje( getini mlangoni katikati kuna mduara mkubwa nikachungulia kabla ya kufungua geti, nikamuona na yeye kama alikuwa anataka kufungua geti) basi aliponiona tena akaondoka kuelekea gizani, nikafungua mlango yeye tayari yuko gizani huko. Hivyo ndivyo nilivomuona. Na pale getini kuna taa kubwa kabisa inamulika geti.Hii kesi unashindwa, hata kama ukimkuta na simu bado unashindwa
Haswa kwenye swala la utambuzi, unapaswa uishawishi mahakama beyond reasonable doubt kuwa ni yeye na sii mwingine, kwanza unapaswa uieleze mahakama ni kwann ulikua macho saa tisa usiku na ikawaje ukawa unaangalia hayo maeneo ambayo mwizi angeweza kufanya jambo, na je alipoiba uliona au haukuona?
Reaction yako ilikuwa nn baada ya ulichokiona? Usiwaze sana kitu cha kumuuliza, waza sana ni kwa namna gani unaweza kujenga hoja ikaeleleweka kwanza.
Hiyo simu ina thamani gani mpaka uende mahakamani? Una ushahidi gani zaidi ya "nilimuona"?
IMEI ninayo. Ila risiti sina.Hapo kwenye utambuzi ndio shida sidhani kama una IMEI NO AU SERIES NO...Kwenye Risiti yako ya Simu.....!! Hapo ndio ugumu ulipooo
Malice presecution ni nini mkuu?Sio kila kesi mtu anayoshindwa anamlipa fidia.
Unless mshtakiwa athibitishe kwamba palikuwa na malice prosecution. Na kuthibitisha malice prosecution lazima ku establish some important ingredients of malice.
Ushahidi wa kumuona tu, tena wewe peke yako hautoshi. Swali jingine, umepeleka kesi ya madai au ulienda polisi wakamshtaki kwa kesi ya jinai?Ushahidi wa kumuona yeye kama yeye. Ujue mwanzoni niliamuaga kupotezea ila nikawa namuona yaani roho inananiuma, nikaenda kuwaambia police wakaja kumkamata.
Hapo bado .....utathibitishaje IMEI hiyo ndio ile simu aliyonayo bila risiti ? Nenda duka ulilonunua wakupe copy kama bado wanayo.....IMEI ninayo. Ila risiti sina.
Me nilimpeleka police, kesho yake wakasema kesi inaenda mahakamani. Sasa sikujua ni ya madai au ya niniUshahidi wa kumuona tu, tena wewe peke yako hautoshi. Swali jingine, umepeleka kesi ya madai au ulienda polisi wakamshtaki kwa kesi ya jinai?
Hapo bado .....utathibitishaje IMEI hiyo ndio ile simu aliyonayo bila risiti ? Nenda duka ulilonunua wakupe copy kama bado wanayo.....
Hiyo simu ina thamani gani mpaka uende mahakamani? Una ushahidi gani zaidi ya "nilimuona"?
Ongea vizuri na polisi - wampe kile kipigo chao - yeye mwenyewe mwizi ataonyesha alipoiweka hiyo simu, na ataileta mahakamani. Hapo utashinda kesi ki-rahisi kabisa. Mwizi huwa hakubali ki-ulainilaini - hata ukimkamata laivu..
Huyu kaka ndiye aliyeichukua simu. Mimi siyo mjinga nimsingizie jamani. Siku yenyewe nilimwambia kaka me sitaki chochote zaidi ya hiyo simu. Hata kama ameiuza angeniambia tu kamuuzia nani me nitajua nitafanya nini. Lakini alikataa jamani kwamba hajachukua aiseeOngea vizuri na polisi - wampe kile kipigo chao - yeye mwenyewe mwizi ataonyesha alipoiweka hiyo simu, na ataileta mahakamani. Hapo utashinda kesi ki-rahisi kabisa. Mwizi huwa hakubali ki-ulainilaini - hata ukimkamata laivu..
Kazi ndogo sana hiyo kwa wapelelezi wa polisi...toa tu ushirikiano kwao..Huyu kaka ndiye aliyeichukua simu. Mimi siyo mjinga nimsingizie jamani. Siku yenyewe nilimwambia kaka me sitaki chochote zaidi ya hiyo simu. Hata kama ameiuza angeniambia tu kamuuia nani me nitajua nitafanya nini. Lakini alikataa jamani kwamba hajachukua aisee
Hapo hamna kesi jiandae kumsafisha.