miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
Ni changamoto ya kaziDuh aiseeh namna iyo kazi labda kama alichorwa na choco iv iv lazma aliamshe dude
Sent using Jamii Forums mobile app
ww uje nikuchore mmnaomba namba ya huyo mchora tatuu mkuu nataka na mimi nichore kwenye chura yangu
Tukutane usiku.Story kama hz hazina uhalisia wowote...ukitizama tu story ilivyoanza
Njoo nikuchore mama njoonaomba namba ya huyo mchora tatuu mkuu nataka na mimi nichore kwenye chura yangu
Shubamatiiiii hatariNa weye chora kwenye dushelele. Tena mchoraji wako awe mwanamke. Kama noma na iwe noma.
Hahhhhahhaaaakimaliza mwambie na wewe akuchole si una muona lil wayne anavyopendeza mkuu?