Nmemkuta mke wangu anachorwa tatoo matakoni nyumbani na mwanaume

Nmemkuta mke wangu anachorwa tatoo matakoni nyumbani na mwanaume

Kwanza iyo tato anamchorea nani kweny makalio uko ni kukosa adabu yeye pamoja na mchora tatto wake watimue uko mbali wakachorane vizurii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ningehakikisha kuwa kweli wewe ni mwalimu huko UDOM ningehamisha mdogo wangu huko wallahi tena. Sio akili za academician hizi, yaani hafahamu namna ya kutatua changamoto zake mwenyewe hadi aanike aibu zake hadharani. Kama ni kweli basi ndio maana wahitimu wanakuwa watupu vichwani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tena huenda ni Mentor wa zaidi ya wanafunzi 10.
 
Wanaosema ndo no furaha wapime hayo maneno. Mwili mmoja huku mwingine tattoo na mwingine Hanna! Vizazi vijavyo vitaitazama ndoa tofauti na sisi.
Watu watazaa kwa mkataba na kwenye maabara.
Vinginevyo vitapatikana kwa kuuza na kununua.
Kama mwisho wa dunia upo basi hiyo itakuwa ishara kuu.
MKUU POLE ILA TAFAKARI UPYA. UAMUZI NI WAKO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
“Nimemkuta mke wangu AKICHORWA Tatoo ya TAKO Chumbani kwangu
Naitwa John ni mfanyakazi wa chuo Kikuu cha Udom, nimeoa mwaka jana tu na mke wangu alikuwa ni mwanafunzi wangu, tulianza mahusiano akiwa hapa chuo mie nikiwa mwalimu wake na yeye akiwa mwanafunzi mwaka 2014.

Baada ya kumaliza niliamua kumuoa, lakn baada ya kumuoa kuna vijitabia fulani amekuwa akinionyesha ambavyo sivipendi sana, amekuwa akinidharau na kutoka bila hata kuniaga, hivi majuzi nilisafiri kikazi lakini nikapata dharura nikarudi nyumbani ghafla, nilichokikuta MUNGU ndio anajua “Nilimkuta Mwanaume Chumbani kwangu AKIMCHORA TATTOO KWENYE MATAKO” Nilishikwa na butwaa lakini yeye akaonyesha kutojali kitu na akaniambia niache ushamba, ameamua Kumleta Hapo nyumbani kwani ni Sehemu Salama Zaidi.

Nishaurini wadau, Nifanyeje maana Huyu Mwanamke Ataniua na Presha

Sent using Jamii Forums mobile app

Nina uhakika na haya yafuatayo:

- Huyo mtoto bado ana umri mdogo sana, na u dont speak on the same frquecy, uelewa wake ni mdogo.
- Ulimsifia sana kwamba yeye ni mzuri sana, na kila alichokuambia umekuwa unakubaliana naye.
- Humuonyeshi misimamo unapoamua mamboa, akikutingisha kidogo unalegea na kuwa mpole.
- Uliharakisha kumuoa baada ya kumpenda alivyo ukaona unamuwahi wasije wakamchukua.

Mtazamo wango:

- Ulikosea kumuoa, uliharakisha.
- I wish ugundue mapema na umwondoe kwako akijifunze kuwa na adabu na kuishi na mwanaume.
- Ukimwonyesha msimamo wako anaweza badilika maana umemuharibu mwenyewe.
 
Hivi ni kweli? Kuoa ni mtihani mgumu sana, haya watu wenye wake wanyooshe mkono utanyoosha kweli? Aiseee huna mke ni dharau iliyopitiliza, wachoragi vipi mnawaacha salama???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnapokubaliana kuoana ni vyema mkakubaliana na kanunu fulani fulani, mfano mimi nilisema mambo ya kwenda ngomani sijui mkoleni, kwenye madogoli na mikesha ya nyumba za ibada isioisha mpaka nyumbani kunadoda siyawezi, na yeye akasema nasikia kabila lenu wanapiga wake zao sana, mimi siyawezi. Tukakubaliana mpaka leo amani. Usipoweza kufunguka ya moyoni mwako basi nakupa pole sana, utayaona mengi.
 
Siwapendi walimu wanaotembea na wanafunzi wao kwa level yoyote, wala sikuhurumii
 
Back
Top Bottom