Nna safari ya Capetown mwisho wa mwezi huu. Nani kaenda DIZONGA hivi karibuni?

Nna safari ya Capetown mwisho wa mwezi huu. Nani kaenda DIZONGA hivi karibuni?

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Concern yangu ni kwenye ishu ya COVID -19. Zile story za kwamba ukifika DIZONGA lazima ukae karantini wiki mbili kwenye hoteli ya 5 star kwa gharama zako mwenyewe zina ukweli wowote? Vipi kuhusu wimbi jipya la maambukizi ya COVID ni kama tunavyo aminishwa na media au huko hali ni tofauti please mliopo sauz now fungukeni.

kama hiyo ishu ya KARANTINI ni kweli, vipi nikienda kwa bus? naweza kupata upenyo wa kukwepa huo utaratibu ?

with much thanks in advance
 
Nimefika hapa Cape Town nina week 1 sasa nikitokea bongo, nilikuja kwa njia ya bus usumbufu ulikuwa mkubwa hasa kwny issue ya Covid. Kama unasafiri kwa ndege itakuwa afadhali kwako lkn make sure umepima Covid na una PCR Test Certificate. Achana kabisa na kipimo cha Rapid test hicho watakuzingua.

Kipindi nakuja hapa SA ilikuwa lockdown level 3 kwasasa ni level 4. Habari za kukaa karantine hazikuwepo wakati wa level 3 lockdown naamini hadi sasa hakuna habari za Karantine.
 
Nimefika hapa Cape Town nina week 1 sasa nikitokea bongo, nilikuja kwa njia ya bus usumbufu ulikuwa mkubwa hasa kwny issue ya Covid. Kama unasafiri kwa ndege itakuwa afadhali kwako lkn make sure umepima Covid na una PCR Test Certificate. Achana kabisa na kipimo cha Rapid test hicho watakuzingua.

Kipindi nakuja hapa SA ilikuwa lockdown level 3 kwasasa ni level 4. Habari za kukaa karantine hazikuwepo wakati wa level 3 lockdown naamini hadi sasa hakuna habari za Karantine.
asante kwa taarifa mkuu. nilikuwa nahofia sana ishu ya lockdown for 14 days. siku 14 sio mchezo
 
Back
Top Bottom