Nna shida na gari

Nna shida na gari

TUMBOO

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2014
Posts
3,827
Reaction score
2,021
Habarini wana jamvi nna shida na gari japokua bajeti yangu kidogo ni ya mashaka mkuu mshana jr na RRONDO naomba mnisaidie maana nmeona kidogo nyie mna ideas na magari...gari zenyewe ni spacio au gx 110 grand au runx au premio new model hata zikiwa namba c sio mbaya japo bajeti yangu ni ndogo lakini zisiwe zimetumika sana...bajeti yangu ni 6.5 mwisho
 
Habarini wana jamvi nna shida na gari japokua bajeti yangu kidogo ni ya mashaka mkuu mshana jr na RRONDO naomba mnisaidie maana nmeona kidogo nyie mna ideas na magari...gari zenyewe ni spacio au gx 110 grand au runx au premio new model hata zikiwa namba c sio mbaya japo bajeti yangu ni ndogo lakini zisiwe zimetumika sana...bajeti yangu ni 6.5 mwisho
Mkuu nakushauri ungewainbox hao jamaa ulowataja inawezekana wako bize!Hivi huku mkuu Jozee hayupo?!
 
Habarini wana jamvi nna shida na gari japokua bajeti yangu kidogo ni ya mashaka mkuu mshana jr na RRONDO naomba mnisaidie maana nmeona kidogo nyie mna ideas na magari...gari zenyewe ni spacio au gx 110 grand au runx au premio new model hata zikiwa namba c sio mbaya japo bajeti yangu ni ndogo lakini zisiwe zimetumika sana...bajeti yangu ni 6.5 mwisho
Duu mkuu hiyo bajeti kweli ndogo unaweza kupata Vitz au Passo kama upo tayari nicheki
 
Hata na wengine wakiona ndio maana nmeweka yawezekana hata ww unalo ukinuzia sio mbaya
Ok!mi nilijua unakusudia habari ziwafikie wao!!ikiingia kwny mitandao inayouza magari kibongobongo kama zoom,jumia n.k
 
  • Thanks
Reactions: MCB
Habarini wana jamvi nna shida na gari japokua bajeti yangu kidogo ni ya mashaka mkuu mshana jr na RRONDO naomba mnisaidie maana nmeona kidogo nyie mna ideas na magari...gari zenyewe ni spacio au gx 110 grand au runx au premio new model hata zikiwa namba c sio mbaya japo bajeti yangu ni ndogo lakini zisiwe zimetumika sana...bajeti yangu ni 6.5 mwisho
mhh mkuu mshana ana utalaamu wa ndege maalum sii magari ngoja aje
 
Hio budget unapata ndinga nzuri tu ila wanaa watakwambia hela ndogo sijui nini.

Kuna mshkaji majuzi hapa sinza amenunua brevis no. D kwa 6.0mil haijawahi kugongwa,kupigwa rangi wala engine kuguswa.

Kua na subira/uvumilivu utapata gari poa kwa hio pesa yako.
 
Kwa budget ya 6.5M hadi 7M kupata izo gari inawezekana. Ila zitakua katika hali ya kawaida (zimetumika kwa zaidi ya miaka 2 hapa Tanzania).

Ila sikushauri hiyo Mark II Grande kwakua itakusumbua katika Mafuta kama kipato chako ni cha kawaida. Ila kama haitakua issue ichukue ni nzuri.

Tenga muda (mwezi au week 3) fanya research utapata. Usiende showroom hutapata kwa hiyo bei wala usiuziwe na madalali wanaongeza cha juu sana.

Sehemu za kutembelea: jamiiforums jukwaa la matangazo na biashara, kupatana (siwaamini wengi wauzaji madalali), facebook groups (hapa ndio yapo mengi na active sana na wauzaji ni madalali na owners).

Ila uwe mvumilivu kutembea kwenda kukagua gari ukiwa na fundi au mtu mwenye ujuzi wa magari, mnaejuana sana na unamuamini. Mafundi wengine iwa wanakonyezwa na muuzaji palepale hafu anakuambia gari zuri nunua yeye baadae anapewa cha juu wewe linakufia unadhani ni bahati mbaya kumbe gari ilikua kimeo.

Angalia other options:

vitz new model
IST
Raum

Ila kama hela ya mafuta ni ya mshahara wa kawaida, angalia sana ishu ya engine size.
 
Duu mkuu hiyo bajeti kweli ndogo unaweza kupata Vitz au Passo kama upo tayari nicheki
Ngehitaji izo gari ningekua nshapata tayari ila siitaji nataka gari nlizozitaja hapo juu
 
Hio budget unapata ndinga nzuri tu ila wanaa watakwambia hela ndogo sijui nini.

Kuna mshkaji majuzi hapa sinza amenunua brevis no. D kwa 6.0mil haijawahi kugongwa,kupigwa rangi wala engine kuguswa.

Kua na subira/uvumilivu utapata gari poa kwa hio pesa yako.
Ni kweli kabisa mkuu nmeshazunguka kutafuta gari madalali wanataka cha juu sana yaan utakuta gari mfano ist imesha tembea sana tu mtu anauza shi 8.5 wakati mpya yake inauzwa 9.6
 
Kwa budget ya 6.5M hadi 7M kupata izo gari inawezekana. Ila zitakua katika hali ya kawaida (zimetumika kwa zaidi ya miaka 2 hapa Tanzania).

Ila sikushauri hiyo Mark II Grande kwakua itakusumbua katika Mafuta kama kipato chako ni cha kawaida. Ila kama haitakua issue ichukue ni nzuri.

Tenga muda (mwezi au week 3) fanya research utapata. Usiende showroom hutapata kwa hiyo bei wala usiuziwe na madalali wanaongeza cha juu sana.

Sehemu za kutembelea: jamiiforums jukwaa la matangazo na biashara, kupatana (siwaamini wengi wauzaji madalali), facebook groups (hapa ndio yapo mengi na active sana na wauzaji ni madalali na owners).

Ila uwe mvumilivu kutembea kwenda kukagua gari ukiwa na fundi au mtu mwenye ujuzi wa magari, mnaejuana sana na unamuamini. Mafundi wengine iwa wanakonyezwa na muuzaji palepale hafu anakuambia gari zuri nunua yeye baadae anapewa cha juu wewe linakufia unadhani ni bahati mbaya kumbe gari ilikua kimeo.

Angalia other options:

vitz new model
IST
Raum

Ila kama hela ya mafuta ni ya mshahara wa kawaida, angalia sana ishu ya engine size.
Ist pia inafaa maana zile gari ni ngumu
 
Ukikwama kabisaa njoo nikupe Subaru Impreza cc1500, number CLX, ya 2005 color Blue beige. Uje na fundi wako akague. Mkiridhika biashara iendelee.
Nitumie picha mkuu inaweza niconvise eti maana kukaa na hela napo kuna matatizo
 
Ngehitaji izo gari ningekua nshapata tayari ila siitaji nataka gari nlizozitaja hapo juu
Sawa mkuu ila kama unataka gari ulizotaja kwa bajeti hiyo hautopata gari nzuri Nakushauri uongeze bajeti upate gari nzuri.
 
Back
Top Bottom