Haya mkuu kuwa makiniMm najua ntapata tu
Umtahadharishe pia na bajeti yake ya mafuta asije kulialia baadae.Ukikwama kabisaa njoo nikupe Subaru Impreza GG3, SYMMETRICAL AWD,cc1500, number CLX, ya 2005 color Blue beige. Uje na fundi wako akague. Mkiridhika biashara iendelee.
Unayo??Toyota raum huchukui?
Habarini wana jamvi nna shida na gari japokua bajeti yangu kidogo ni ya mashaka mkuu mshana jr na RRONDO naomba mnisaidie maana nmeona kidogo nyie mna ideas na magari...gari zenyewe ni spacio au gx 110 grand au runx au premio new model hata zikiwa namba c sio mbaya japo bajeti yangu ni ndogo lakini zisiwe zimetumika sana...bajeti yangu ni 6.5 mwisho
Huwezi pata brevis kwa 6m kamwe.Hio budget unapata ndinga nzuri tu ila wanaa watakwambia hela ndogo sijui nini.
Kuna mshkaji majuzi hapa sinza amenunua brevis no. D kwa 6.0mil haijawahi kugongwa,kupigwa rangi wala engine kuguswa.
Kua na subira/uvumilivu utapata gari poa kwa hio pesa yako.
....Mkuu hizo nasikia watu wanazikimbia due to high running costs, nyingi wanauza hizo bei.Hio budget unapata ndinga nzuri tu ila wanaa watakwambia hela ndogo sijui nini.
Kuna mshkaji majuzi hapa sinza amenunua brevis no. D kwa 6.0mil haijawahi kugongwa,kupigwa rangi wala engine kuguswa.
Kua na subira/uvumilivu utapata gari poa kwa hio pesa yako.
Mkuu nakushauri ungewainbox hao jamaa ulowataja inawezekana wako bize!Hivi huku mkuu Jozee hayupo?!
....Uko very positive and focused, good!!Mm najua ntapata tu
Weka na bei sasa
Jamaa yako vipi yeye hauzi ule mPrado wake unaotumia betri nane za treni?Ukikwama kabisaa njoo nikupe Subaru Impreza GG3, SYMMETRICAL AWD,cc1500, number CLX, ya 2005 color Blue beige. Uje na fundi wako akague. Mkiridhika biashara iendelee.
Bei zake zinaendaje???
Sawa hebu fanya tuendelee kubishana wkt aliyeinunua yuko anaipigia misele sa hivi.Huwezi pata brevis kwa 6m kamwe.
Kuna jamaa humu anabisha,brevis watu wanaziuza bei ya kawaida sana hapa dar.....Mkuu hizo nasikia watu wanazikimbia due to high running costs, nyingi wanauza hizo bei.