Hii mwenye nayo hana njaa anauza 20m naona sawa tu maana gari zuri kwa kweli.hiyo DCZ bei gani?
Hii imeenda ngapi mkuu??
Jamaa ameanza 21m ila kwa 20m anaachia.Hii imeenda ngapi mkuu??
Toyota raum huchukui?
Habarini wana jamvi nna shida na gari japokua bajeti yangu kidogo ni ya mashaka mkuu mshana jr na RRONDO naomba mnisaidie maana nmeona kidogo nyie mna ideas na magari...gari zenyewe ni spacio au gx 110 grand au runx au premio new model hata zikiwa namba c sio mbaya japo bajeti yangu ni ndogo lakini zisiwe zimetumika sana...bajeti yangu ni 6.5 mwisho
kwanini unasema utumbo hebu fafanua!!Hiyo gari au utumbo huo
Vipi mileage inasoma ngapi?Jamaa ameanza 21m ila kwa 20m anaachia.
Mileage sikuulizia mkuu, but sidhani kama imevuka 80,000kmsVipi mileage inasoma ngapi?
Umeshaiuza???Kama una 7.5 niinbox faster. Nina Spacio Namba CS...
Ninaelekea masomoni na sina wa kumwachia kwa hiyo kama itapata mnunuaji nitauza, ila ikikosa ndo basi itapaki tuu na kupashwa mara moja moja
Hahahhaaaa Katavi nyingine iko huku Kashaulili kama hiyo! Am kidding MkuuuUmeshaiuza???
Ina Sura mbaya sanaJamani wadau msaada tafadhali, mimi pia naitaji Probox mwenye kufahamu vizuri magari haya naomba msaada
hahahaah nami naisaka ya kuja nayo huko Kabungu Desemba hii kuhesabiwaHahahhaaaa Katavi nyingine iko huku Kashaulili kama hiyo! Am kidding Mkuuu