Nnye Tepetepe

ushawai kuwachek kitu t kitu k?
Watoto wa bugurun sjui mwananyamala wale dahhhh achaaaaa....vtu vnaclap hands nakwambia...wale wanakatika diaphram pelvis gidle wanaichinja....nenda ukawachek wanakwepo club continental j5...

wa mbezi, tegeta, kimara, bunju lumber spine zao ngumu ku-undergo movement?
 
Wale mabinti mi siwataki kabisa....
Mheshimiwa simruhusu kwenda bar peke yake, kama hataki kuongozana na mimi basi tunanunua na tunanywea ndani.

He must get really bored then. Umuache azoee kuwaona otherwise siku uki safiri atajisevia mbaya.. We men are dogs, but DOGS can be trained. Mpe uhuru mzee unambana kimasta tuu. Vinginevyo kinachofwata 'midlife crisis' lazima azae na kidemu cha uswahilini...lol
 
Wale mabinti mi siwataki kabisa....
Mheshimiwa simruhusu kwenda bar peke yake, kama hataki kuongozana na mimi basi tunanunua na tunanywea ndani.

Abiria chunga mziko wako mama
 
Mauno ya kitandani na ya kucheza mziki tofauti ndugu yangu.
Sitaki mheshimiwa asogee huko kwa kuwa wanaume wanatamani kwa kuona.

Haya mambo wanafanya watoto wa uswazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…