Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Kuna media zinatengenesa wasanii wenye majina makubwa ila ni maskini wa kutupwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanzania ni wavivu wa ku support wasanii wetuAlbum yake ya A.K.A Mimi ndio album bora kabisa ya Hiphop. Mauzo yake yalivyokuwa hovyo ilimpa depression ya kutosha
Ukmalza kusoma commenta hapa tafta nymbo hiz ujkumbushe kdgo
Alma
CNN
Tunavyoroll
Ni misosii,mitungii na mikasiKuna tafsiri mpya?
Hiyo ngoma ni mali ya Quick RoçkaHivi hii Alma ni ile alimuimbia demu flani kama mtoto wa Kikwete vile eeeh! Kuna ngoma ya dizaini ile huwa naitafuta nishaisahau.
Ongezea Baby pia hapo yupo na Rocka ambayo kabla hawajafanya video akatutoka.
SanaHuyu jamaa alikua anachana kidunia yake sio wachanaji wa sasa wanapigana madongo kama dida na yule jamaa dume anatangaza taarab. Mangwair alikua hana time ya kumdiss rapper mwenzake yeye ni kutiririka tu na mistari.
Sawa bwana P the MC tumekusikiaSifa mnazompa huyu marehemu ni balaa aisee laiti mngempa enzi akiwa hai nina imani asingekua punda kipindi umauti unamfika.
Dah aisee we jamaa hiyo sio a.k.a yakunipa kabisa.
Dah aisee we jamaa hiyo a.k.a yakunipa kabisa.
yani unanifananisha mimi na "Dancer wa Zaiid"!!??
Kile ni kipaji halisi cha kuzaliwa nacho