No Agenda: Maisha ya Ngwair alijiona New York akiwa Bongoland

No Agenda: Maisha ya Ngwair alijiona New York akiwa Bongoland

Dah! Nmeumaliza huu uzi kwa huzuni sana! Huyu mwamba nlikua namkubali sana. Muziki wake ulikua wa viwango vikubwa sana, lakini haukumfaidisha vile inatakiwa, mpaka ametangulia mbele za haki akiwa bado hajawa na uchumi mzuri. Ni vile tu dunia haiko fair. Itoshe tu kusema, APUMZIKE KWA AMANI.
Amina
 
Kama Mgempa hii crown ya Hip hope Ngwear still akiwa hai sidhani kama angekubari kuwa punda mpaka kufa kifo cha Aibu.

Nachokiona hapa hata Ferooz na Dark master na Dazz Baba siku wakifa lazima bila Aibu mtawavisha crown aliyakuwa wameshakufa.
Inaelekea sio mfuatiliaji..

Ngwair amepewa hii crown tangu akiwa hai, mashabiki na hata wasanii wenzake wote walikuwa wakimsifu na kumtaja kama best rapper of all time tangu akiwa hai..

Fid q amewahi kumwambia live kwenye interview, Salama amewahi kumwambia live akimuhoji..

Clouds fm xxl walimwambia live tena enzi hizo hana hit song inayovuma..

Hakuna shabiki wa muziki ambaye ulikuwa ukimuuliza kuhusu ubora wa Ngwair alijibu tofauti..

Na kikubwa kwa Ngwair alikuwa anapendwa na kila mtu, Mademu, masela, masharobaro, wahuni, watoto wa mama, na wasanii wenzake wote....
 
Misosiiii mitungi na bangi... ooh yiaaaah!!.. kama ukitaka kuvinjari nasi basi mfukoni mwako.uwe safiii.. cheki lile anti lilovaa skin taiti.. ebwanaee liko safi.........
Eeh bhana eeh
Liko safi
Si mchezo babake
Unaweza kulihonga laki😁
 
Ukiisikiliza hii ngoma ya NIPENI DILI MASELA.

Unagundua ndo ngoma pekee ya NGWEAR ambayo alianza kuuona ugumu wa maisha.

Na baada ya kunyimwa hizo dili akakimbilia SOUTH.
 
Ukiisikiliza hii ngoma ya NIPENI DILI MASELA.

Unagundua ndo ngoma pekee ya NGWEAR ambayo alianza kuuona ugumu wa maisha.

Na baada ya kunyimwa hizo dili akakimbilia SOUTH.
Kuna wakati alikuwa amechoka sana, nadhani kwasababu ya madawa hadi magazeti ya Shigongo yakaanza kumwandika.

Kwamba mchizi, kila anavyolazimisha kujiweka lakini bado alionekana kachoka.

Baadaye ndio akatoa Nipeni Dili, Speed 120 na CNN ndio akaanza kupata show hasa Fiesta.
 
Kuna wakati alikuwa amechoka sana, nadhani kwasababu ya madawa hadi magazeti ya Shigongo yakaanza kumwandika.

Kwamba mchizi, kila anavyolazimisha kujiweka lakini bado alionekana kachoka.

Baadaye ndio akatoa Nipeni Dili, Speed 120 na CNN ndio akaanza kupata show hasa Fiesta.
Aisee
 
Back
Top Bottom