Iyerdoi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 2,717
- 3,895
OK; Kumbe tuko pamoja.Hapana ndugu yangu, si katika mambo ya kijamii, labda comment yangu ya kwanza kwenye uzi huu ndio ilinipelekea kusema hivyo.

Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OK; Kumbe tuko pamoja.Hapana ndugu yangu, si katika mambo ya kijamii, labda comment yangu ya kwanza kwenye uzi huu ndio ilinipelekea kusema hivyo.

Watoto wanamaono makubwa sana...😄(good story💯)Ndo maana mtoto mmoja chekechea, alipoulizwa na mchungaji angependa baadaye kuwa nani (aseme vision /ndoto yake) akajibu Ningependa kuwa simu. Kwa mshangao huyo pastor akamwuliza tena kwa nini? Mtoto akajibu kwa sababu mama na baba wanatembea nazo, kuzibeba na kuongea nazo lakini mimi huniacha peke yangu wala hawazungumzi nami.![]()
Naam brother, asante.OK; Kumbe tuko pamoja.![]()
Yeah. Ni kwa sababu ya utoto tu, angekuwa mtu mzima (adult)angelisema HAKUNA UPENDO (Parental love) kwangu. Upendo kwangu umechukuliwa na simu.Watoto wanamaono makubwa sana...😄(good story💯)
Sasa kuna maisha mengine nje ya haya? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha kujifariji dada, ningekua naya waste, nisingeleta uzi humu nyie ndo mnao sababisha watu waendelee kua kwenye hii viscous cycle eti maisha ndo hayahaya [emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23]Hivi hata wenzetu westerners wamekua hivi sio? Yaani imefika stage mtu simu ikizima chaji anapata stress isiyo na kipimo hata haongei na watu
Let's try thisJitahidi kupunguza screen time! Futa apps kwenye simu zisizo na manufaa. Jaribu hata kwenda matembezi kila siku bila simu, utanishukuru baadae.
Exactly, nilimaanisha hivyo pia watoto hawana ego, japokua hawana ujuzi mkubwa ila they can see things on a bigger scale.Yeah. Ni kwa sababu ya utoto tu, angekuwa mtu mzima (adult)angelisema HAKUNA UPENDO (Parental love) kwangu. Upendo kwangu umechukuliwa na simu.
Well said mkuu angalau tunaweza pata suluhisho.Ni sawa; na sio rahisi tena na wala sio vyema kuwafanya au kuwabadilisha watu wasiwe bize mtandaoni. Ninachosema ni kwamba: Je, huko mitandaoni wanakuwa bize kwa lipi? Kuchati, kutumiana picha za porn, kujazana ujinga e.g. tutoroke twende Nchi za nje, kufanya utapeli wa kimtandao n.k.???. Ingependeza sana Watu wawe bize mtandaoni kufanya biashara halali, Kujifunza masomo na kujiongezea maarifa au kupeana taarifa za Fursa za kiuchumi, ajira n.k. Hayo nadhani ni matumizi chanya ya Mitandao na ndo Ku-socialize kidigitali badala ya kukutana physically. Hiyo ni sawa.
Na ndo maana tunaaswa sana tusiwa-underestimate watoto kwamba eti hawajui na tukafanya "mambo makubwa" mbele yao. Tuhukue tahadhari kwa yale tufanyayo mbele ya watoto kwani hilo ni darasa kwao.Exactly, nilimaanisha hivyo pia watoto hawana ego, japokua hawana ujuzi mkubwa ila they can see things on a bigger scale.
Hakika, mtoto hujengwa na malezi, na kamwe mtoto hatasahau vile alovyo viona akiwa mdogo, hii imesabisha trauma kwa wengi wetu bcoz tulikua exposed na vitu vibaya ambavyo kipindi hicho hatukua na emotional maturity ya kuvihandle. Na mtu alivyo ukubwani percent kubwa imejengwa na vile alivyo experience utotoni.Na ndo maana tunaaswa sana tusiwa-underestimate watoto kwamba eti hawajui na tukafanya "mambo makubwa" mbele yao. Tuhukue tahadhari kwa yale tufanyayo mbele ya watoto kwani hilo ni darasa kwao.
Exactly.Hakika, mtoto hujengwa na malezi, na kamwe mtoto hatasahau vile alovyo viona akiwa mdogo, hii imesabisha trauma kwa wengi wetu bcoz tulikua exposed na vitu vibaya ambavyo kipindi hicho hatukua na emotional maturity ya kuvihandle. Na mtu alivyo ukubwani percent kubwa imejengwa na vile alivyo experience utotoni.