No body cares: Watu tupo bize mtandaoni, tume-lose touch na human connection

No body cares: Watu tupo bize mtandaoni, tume-lose touch na human connection

Ndo maana mtoto mmoja chekechea, alipoulizwa na mchungaji angependa baadaye kuwa nani (aseme vision /ndoto yake) akajibu Ningependa kuwa simu. Kwa mshangao huyo pastor akamwuliza tena kwa nini? Mtoto akajibu kwa sababu mama na baba wanatembea nazo, kuzibeba na kuongea nazo lakini mimi huniacha peke yangu wala hawazungumzi nami.:BANNED:
Watoto wanamaono makubwa sana...😄(good story💯)
 
Acha kujifariji dada, ningekua naya waste, nisingeleta uzi humu nyie ndo mnao sababisha watu waendelee kua kwenye hii viscous cycle eti maisha ndo hayahaya [emoji1787][emoji1787]
Sasa kuna maisha mengine nje ya haya? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hebu eleza hapa.
 
Yeah. Ni kwa sababu ya utoto tu, angekuwa mtu mzima (adult)angelisema HAKUNA UPENDO (Parental love) kwangu. Upendo kwangu umechukuliwa na simu.
Exactly, nilimaanisha hivyo pia watoto hawana ego, japokua hawana ujuzi mkubwa ila they can see things on a bigger scale.
 
Ni sawa; na sio rahisi tena na wala sio vyema kuwafanya au kuwabadilisha watu wasiwe bize mtandaoni. Ninachosema ni kwamba: Je, huko mitandaoni wanakuwa bize kwa lipi? Kuchati, kutumiana picha za porn, kujazana ujinga e.g. tutoroke twende Nchi za nje, kufanya utapeli wa kimtandao n.k.???. Ingependeza sana Watu wawe bize mtandaoni kufanya biashara halali, Kujifunza masomo na kujiongezea maarifa au kupeana taarifa za Fursa za kiuchumi, ajira n.k. Hayo nadhani ni matumizi chanya ya Mitandao na ndo Ku-socialize kidigitali badala ya kukutana physically. Hiyo ni sawa.
Well said mkuu angalau tunaweza pata suluhisho.
 
Exactly, nilimaanisha hivyo pia watoto hawana ego, japokua hawana ujuzi mkubwa ila they can see things on a bigger scale.
Na ndo maana tunaaswa sana tusiwa-underestimate watoto kwamba eti hawajui na tukafanya "mambo makubwa" mbele yao. Tuhukue tahadhari kwa yale tufanyayo mbele ya watoto kwani hilo ni darasa kwao.
 
Na ndo maana tunaaswa sana tusiwa-underestimate watoto kwamba eti hawajui na tukafanya "mambo makubwa" mbele yao. Tuhukue tahadhari kwa yale tufanyayo mbele ya watoto kwani hilo ni darasa kwao.
Hakika, mtoto hujengwa na malezi, na kamwe mtoto hatasahau vile alovyo viona akiwa mdogo, hii imesabisha trauma kwa wengi wetu bcoz tulikua exposed na vitu vibaya ambavyo kipindi hicho hatukua na emotional maturity ya kuvihandle. Na mtu alivyo ukubwani percent kubwa imejengwa na vile alivyo experience utotoni.
 
Hakika, mtoto hujengwa na malezi, na kamwe mtoto hatasahau vile alovyo viona akiwa mdogo, hii imesabisha trauma kwa wengi wetu bcoz tulikua exposed na vitu vibaya ambavyo kipindi hicho hatukua na emotional maturity ya kuvihandle. Na mtu alivyo ukubwani percent kubwa imejengwa na vile alivyo experience utotoni.
Exactly.
 
Back
Top Bottom