No body cares: Watu tupo bize mtandaoni, tume-lose touch na human connection

No body cares: Watu tupo bize mtandaoni, tume-lose touch na human connection

Katika hii generation, ambayo watu wapo bize mitandaoni tume loose touch na human connection. Hakuna health relationship na watu wa karibu.

Watu tumegeuka maroboti na mazombie. Hatuna mawazo chanya. Kutwa kuilaumu serikali, maisha magumu, sijui mmomonyoko wa maadili, kumbe wachawi ni sisi wenyewe.

Upweke umekithiri kwasababu, tumeruhusu Technology iweze kureplace maisha halisi. Tunajenga mahusiano na watu artificial mitandaoni, kujilinganisha na watu wasio level zetu. Hii imesababisha tuhisi kama hatuna thamani endapo tutashindwa kufikia level za hao waliopo Mitandaoni.

Sipo hapa kukosoa watu, bali kama tujuavyo vijana ndo nguzo ya taifa na kusema kweli kama kijana naona kabisa tuendako si pazuri
Kwenye heading waombe Mods wafanye editing. No Body isomeke Nobody
 
Hii mindset mkuu ndo ambayo watu wengi tumejiwekea, na ni kweli lazima tukubaliane na hali, ila isiwe kigezo cha kushindwa kubadilisha mambo. Mambo si mpka yabadilishwe na watu wengi, inaanza na mtu mmja. Wewe Leo ukianza kubadilisha lifestyle yako na kuhakikishia asilimia 80 ya wanaokuzunguka wataanza kubadilika. Trust me we can change.
Mkuu binafsi ni kati ya watu ambao natamani watu wote duniani wangekuwa decent, yani kusiwe na uovu hata mmoja huwa naumizwa sana na maovu ya watu hata ambao hawanihusu, mwisho wa siku nikaona kama ninavyozidi kuumia ndivyo ninavyozidi kujipa stress

Kuna muda nakaa nafikiria hivi chanzo cha haya maovu yote ni nini na nini kifanyike ili dunia ibadilike kusiwe na maovu, lakini unakutana na watu ambao hawana mpango wala dalili ya kubadilika whether uwashauri, au ufanye mwenyewe haisaidii wao hayo ndio maisha waliyoyachagua

Unategemea mabadiliko gani kwenye dunia ambayo pesa na mali ndio kila kitu haijalishi umevipataje, mtu akitenda mema anaonekana mjinga na akitenda mabaya anaonekana mjanja unategemea mabadiliko gani kwenye dunia ambayo ngono ni kama chakula, watu wanazini tu hawajali kuhusu ndoa mtu akitunza bikira hadi ukubwani anaonekana mpumbavu
 
Exactly wewe ndio type ya watu ili andiko lina wahusu. Ulimwenguni hapa sisi kama wanadamu tunajukumu la kujenga mifumo itayofanya maisha yawe salama kwa kila mtu. Hii tabia ya kusema "there's nothing we can do about it" ni tabia ya wavivu na watu irresponsible.

Take action, work with others , you are not alone.

Mkuu binafsi ni kati ya watu ambao natamani watu wote duniani wangekuwa decent, yani kusiwe na uovu hata mmoja huwa naumizwa sana na maovu ya watu hata ambao hawanihusu, mwisho wa siku nikaona kama ninavyozidi kuumia ndivyo ninavyozidi kujipa stress

Kuna muda nakaa nafikiria hivi chanzo cha haya maovu yote ni nini na nini kifanyike ili dunia ibadilike kusiwe na maovu, lakini unakutana na watu ambao hawana mpango wala dalili ya kubadilika whether uwashauri, au ufanye mwenyewe haisaidii wao hayo ndio maisha waliyoyachagua

Unategemea mabadiliko gani kwenye dunia ambayo pesa na mali ndio kila kitu haijalishi umevipataje, mtu akitenda mema anaonekana mjinga na akitenda mabaya anaonekana mjanja unategemea mabadiliko gani kwenye dunia ambayo ngono ni kama chakula, watu wanazini tu hawajali kuhusu ndoa mtu akitunza bikira hadi ukubwani anaonekana mpumbavu
 
Mleta mada asante kwa mada hii, ni kama vile umenizungumzia mimi!
Uhalisia wangu si mtu wa kujichanganya na watu tokea udogo wangu, ni mtu mwenye udhaifu wa uoga na aibu na ukimya, tokea darasa la chekechea nimekuwa wakujitenga na wenzangu na kutengwa pia.
Nilianza kuwa na sim yenye internet kati ya 2010, ilipofika 2012 niliijua jf na kujinga kuwa mwanachama mtumiaji wa jf kila siku kwa kusoma kutoa maoni na kutoa mada.
Ila nimekuwa disappointment kwa vile naona niko karibu na watu walionizidi sana!
Elimu yangu ni ndogo, uchumi wangu ni mdogo!
Ninakuwa mpweke sana na mnyonge sana lakini siachi kuwa Jf kila leo.

Kama nisingekuwa mfutiliaji wa Jf kwa kiasi hiki labda nisingejiona mnyonge na asiye na thamani kiasi hiki, hakika internet na mitandao wa kijamii vina athiri sana.
 
Mkuu binafsi ni kati ya watu ambao natamani watu wote duniani wangekuwa decent, yani kusiwe na uovu hata mmoja huwa naumizwa sana na maovu ya watu hata ambao hawanihusu, mwisho wa siku nikaona kama ninavyozidi kuumia ndivyo ninavyozidi kujipa stress

Kuna muda nakaa nafikiria hivi chanzo cha haya maovu yote ni nini na nini kifanyike ili dunia ibadilike kusiwe na maovu, lakini unakutana na watu ambao hawana mpango wala dalili ya kubadilika whether uwashauri, au ufanye mwenyewe haisaidii wao hayo ndio maisha waliyoyachagua

Unategemea mabadiliko gani kwenye dunia ambayo pesa na mali ndio kila kitu haijalishi umevipataje, mtu akitenda mema anaonekana mjinga na akitenda mabaya anaonekana mjanja unategemea mabadiliko gani kwenye dunia ambayo ngono ni kama chakula, watu wanazini tu hawajali kuhusu ndoa mtu akitunza bikira hadi ukubwani anaonekana mpumbavu
Upo sahihi sana mkuu, mm mwenyew huwa na fadhaika sana kuona jinsi generation yetu inapoelekea... ni dhahiri kua hatuwezi badilisha chochote, ila kama m nilivyo sema "nobody cares" so ni personal change ndo inayohitajika. Hii ina manufaa japo yanaweza yasionekane collectively. Imefikia pahala I don’t care too inabidi kuacha kuangalia kinacho endelea na kufocus kwenye reality ambayo mm mwenyew nataka niwe. This world is heartless 💔

We can't change the world but we can make the world a better place.
 
Ni kweli lakini unachuja yale madhaifu yaliyokuwepo 1990's i.e. unaboresha hali na unajitahidi kuendeleza mazuri unayojifunza ya 2024 na kuepuka upotofu wa 2024 yan hukumbatii kila unalokutana nalo 2024 simply kwa kuwa eti huwezi rudisha nyakati nyuma, hizi ndoo zama tunazoishi. Kama ingekuwa hivo, basi tusingelipigia kelele ushoga, tusingeliwapigia kelele vijana kwa mtindo wa maisha wanayoenda nayo e.g.uvivu, kubwia unga, kushinda kutwa vijiweni n.k.:Cheergi:
Umezungumza vizuri hayo ulotaja si mageni na yamekuwepo miaka nenda rudi huenda yameshamiri sababu ya kukua kwa tech. n.k

Lakini ninachomaanisha kuna baadhi ya mambo hatuwezi kuyaishi tena nyakati hizi, mf. Socialization iliyokuwepo zamani.

Au watu kuwa bize mtandaoni unadhani ni kazi rahisi kuwafanya wasiwe bize mtandaoni na wawe bize na mambo mengine, wangapi wataweza kwa mazingira tuliyopo?
 
Mleta mada asante kwa mada hii, ni kama vile umenizungumzia mimi!
Uhalisia wangu si mtu wa kujichanganya na watu tokea udogo wangu, ni mtu mwenye udhaifu wa uoga na aibu na ukimya, tokea darasa la chekechea nimekuwa wakujitenga na wenzangu na kutengwa pia.
Nilianza kuwa na sim yenye internet kati ya 2010, ilipofika 2012 niliijua jf na kujinga kuwa mwanachama mtumiaji wa jf kila siku kwa kusoma kutoa maoni na kutoa mada.
Ila nimekuwa disappointment kwa vile naona niko karibu na watu walionizidi sana!
Elimu yangu ni ndogo, uchumi wangu ni mdogo!
Ninakuwa mpweke sana na mnyonge sana lakini siachi kuwa Jf kila leo.

Kama nisingekuwa mfutiliaji wa Jf kwa kiasi hiki labda nisingejiona mnyonge na asiye na thamani kiasi hiki, hakika internet na mitandao wa kijamii vina athiri sana.
Pole sana, hii imetukumba wengi sana! Naweza kurelate na ww kuhusu kujitenga na kutengwa! Ina madhara mengi hasa psychological. Na tatizo la mitandao watu hawana sympathy hata kidogo na pia hawakujui hivyo hata ile kujali kua huyu ni mtu kama mm na anahisia kama mm inakua ngumu. Mm nahisi kwasabau ya kutengwa na kujiona wapweke imetusababisha wengi kuwa wahanga.

Jaribu kfatilia mada nzuri kama hizi hapa Jf achana na mada mbaya! Au hata ukifata hizo mada nenda kwa lengo la kujifurahisha. Usichukulie serious, hakuna anaejua unapitia nini hapa! Pia jaribu kuondoa mawazo mabaya kuhusu kutengwa ndo dunia ilivyo, watu hatujaliani kama zamaini.
 
Ningekanyoosha kanyooke nyoki, watoto tunawaharibu wenyewe wanakosea hatuwaelekezi kipi ni sahihi na kipi si sahihi. Wao kwa umri wao hawayatambui hayo na wa kufanya watambue hayo ni sisi wakubwa kwa kuwapa miongozo kimalezi tangu wakiwa wadogo, ni rahisi kuelekezeka kwa sasa kuliko wakikua.

Kuna wale wazazi wanawalea watoto kwa kuwaonea huruma wanashindwa hata kuwafokea, kuwaadhibu wanapokosea mwisho wa siku anakuwa na tabia za hovyo inakua mzigo hadi kwenye jamii.
Nawapenda sana watoto

NB: SAMAKI MKUNJE ANGALI MBICHI.
Yessss sureee
 
Upo sahihi sana mkuu, mm mwenyew huwa na fadhaika sana kuona jinsi generation yetu inapoelekea... ni dhahiri kua hatuwezi badilisha chochote, ila kama m nilivyo sema "nobody cares" so ni personal change ndo inayohitajika. Hii ina manufaa japo yanaweza yasionekane collectively. Imefikia pahala I don’t care too inabidi kuacha kuangalia kinacho endelea na kufocus kwenye reality ambayo mm mwenyew nataka niwe. This world is heartless 💔

We can't change the world but we can make the world a better place.
We do care, but those we care about, dont even care about themselves..
 
Tutafute chanzo
FB_IMG_17118944467649233.jpg
 
Back
Top Bottom