No Doctors in JF, Mnakatisha watu Tamaa tu

No Doctors in JF, Mnakatisha watu Tamaa tu

Mkuu Chimps either hujaelewa au hutaki kuelewa! Usipende kuongea vitu usivyovijua, na kama unavijua lete takwimu na uthibitisho TU, utaeleweka lakini si kwa kubeza au namna zinazofanana na hiyo.

Suala hapa tunaloongelea hapa ni kwamba kulingana na thread uliyoianzisha mwenyewe. kusema kuwa tatizo lile katika thread ya "Ugonjwa huu ni kitu gani" kuwa ni Reaction ya dawa! SASA nijibu yafuatayo;

1.Mechanism gani inafanya Sulfa/Sulphur kufanya reaction katika Uume TU?!!

2. Je, unajua uwiano wa makadirio wa watu wenye reaction na Sulfa contain drugs katika General population?

3. Je, Unadhani ni watu wangapi kati ya hao wenye kuwa na "reaction katika sehemu zao za siri pekee"?

4. Kwa Uzoefu(experience kama mwananchi wa kawaida) umekutana nao wangapi?

5. Ulisema ni allergic reaction ya dawa, Je unaweza kutupatia cardinal features za allergy?



Nijibu maswali hayo hapo juu kisha tuendelee lakini pia

Nilikukumbusha "Disease dont read books" and not "Doctors cant know diseases by reading books" jifunze kusoma between the lines...Nilisema kauli ya kwanza na wewe umetafsiri kama kauli hiyo ya pili!


na kuna tofauti kati ya KUSOMA na KUSOMA SOMA..the later being kusoma bila mpango/ovyo ovyo.



Maswali magumu
 
Acha ubishi, aibu ya kwenda kumwona daktari itakufanya ufe au utafanya mwenzio afe siku si zake.

Hakuna daktari anayeweza kutoa proper diagnosis na prescription bila kumwona mgonjwa...pia kumbuka kuwa si kila unachogoogle ukiamini moja kwa moja, za kugoogle changanya na zako...



The guy has attended the regional hospital akapewa dawa za alegi na anasema amepona vizuri,
Sasa nashangaa ubishi ni wa nini??????
 
Uliambiwa hapa JF, ni kituo cha Afya, Zahanati au Hospitali?!
Acha mambo ya ubwete, nenda kalipie gharama stahili utibiwe kwa usahihi sehemu husika...


Bwete mwenyewe,
Kwani hii jukwaa iliwekwa kwa madhumuni gani????
Punguza hasira,
inaonyesha una akili fupi,
kwani lazima uchangie kama hujui chochote?????
 
@Chimps ulitaka ujitibu humu jf usiende hospitali ?dactari akutibu hajakuona?basi tungekuwa na mobile treatment unaumwa unampigia dr. anakutibu ukiwa home fungua akili yako na usicheze na proffesional za watu watu wakae darasani 5/6/7yrs wewe uje ujifanya unajua hapa kuliko wao namkubali sana huyu mkuu hippocratessocrates anaushauri mzuri mtu akikushauri uende hospitali ni ushauri mzuri we ulitaka utibiwe bure hapa sasa si unaona dr.kaona kadushelele kako umepona sasa mficha uchi hazai
 
Bwete mwenyewe,
Kwani hii jukwaa iliwekwa kwa madhumuni gani????
Punguza hasira,
inaonyesha una akili fupi,
kwani lazima uchangie kama hujui chochote?????
Chimps ulitaka ujitibu humu jf usiende hospitali ?dactari akutibu hajakuona?basi tungekuwa na mobile treatment unaumwa unampigia dr. anakutibu ukiwa home fungua akili yako na usicheze na proffesional za watu watu wakae darasani 5/6/7yrs wewe uje ujifanya unajua hapa kuliko wao namkubali sana huyu mkuu hippocratessocrates anaushauri mzuri mtu akikushauri uende hospitali ni ushauri mzuri we ulitaka utibiwe bure hapa sasa si unaona dr.kaona kadushelele kako umepona sasa mficha uchi hazai
 
Acha ubishi, aibu ya kwenda kumwona daktari itakufanya ufe au utafanya mwenzio afe siku si zake.

Hakuna daktari anayeweza kutoa proper diagnosis na prescription bila kumwona mgonjwa...pia kumbuka kuwa si kila unachogoogle ukiamini moja kwa moja, za kugoogle changanya na zako...

Madaktari hawategemei material/knowledge ya kwenye google, imewekwa simple sana kwa watu wa kawaida kama wewe Chimps kuelewa, shortly material nyingi za kwenye google zipo shallow. Kuna standard medical text books ambozo huwezi kuzipata kwa kugoogle.

Hippocratessoccrates, Mupirocin, Freea Agyeman, Mawenzi na wengine wamekupa ushauri mzuri tu, naomba zingatia,
 
Kuna watu ni wabishi! Eti google? Google ambayo hata mwanafunzi wa sekondari anafungua ndo daktari aitumie kutibu watu? Kazi ipo
 
Back
Top Bottom