rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Tuna tatizo la kiungo mkabaji mkude sijui kawaroga nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ewaa huyo mtu uliyemtaja ni sahihi kabisaViongozi wajitathimini huu ni mwaka wa uchaguzi Kwa kifupi hawana mikakati nileteeni kaburu
kwann mkuuTuna tatizo la kiungo mkabaji mkude sijui kawaroga nini
Huwa najiuliza viongozi Huwa hili hawalioni au wanafanya makusudi tuTuna tatizo la kiungo mkabaji mkude sijui kawaroga nini
Ni mbovu, hawezi kukaba, hawezi kukimbia Wala kukaa sehemu sahihikwann mkuu
Kwanza uliza asili ya majina ya akina Mkude yanatokea wapi?Tuna tatizo la kiungo mkabaji mkude sijui kawaroga nini
point[emoji115]Mechi ya simba na yanga inachezwa nje ya uwanja hao viongozi kutoa ela hawataki unategemea nini..............
[emoji23][emoji28][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Sema Mayele nikojolee viwili
Waondoke haraka ....Sina maneno mengi. Maandalizi,mipango ya mechi na mechi yenyewe yamefanyika hadharani kila mtu ameona. Mpira una matokeo matatu,lakini sisi sio wa kufungwa kila siku na Yanga.
Kocha anafanya majaribio kwa Yanga,akaingia bila kuheshimu mpinzani.
Mnatuhujumu waziwazi. Mnamuacha kocha anajifanyia mambo ya kijinga kabisa. Kwa hiyo Mangungu, Try Again, Kocha, Matola wote hatuwataki.
Nimechafukwa sana leo
Madhara ya kujulia mpira ukubwaniSina maneno mengi. Maandalizi,mipango ya mechi na mechi yenyewe yamefanyika hadharani kila mtu ameona. Mpira una matokeo matatu,lakini sisi sio wa kufungwa kila siku na Yanga.
Kocha anafanya majaribio kwa Yanga,akaingia bila kuheshimu mpinzani.
Mnatuhujumu waziwazi. Mnamuacha kocha anajifanyia mambo ya kijinga kabisa. Kwa hiyo Mangungu, Try Again, Kocha, Matola wote hatuwataki.
Nimechafukwa sana leo
Aongee kwa sauti huku mbele hatujaskia😂😂😂Sema Mayele nikojolee viwili
Si ungemalizia na CEO kabisa?Sina maneno mengi. Maandalizi,mipango ya mechi na mechi yenyewe yamefanyika hadharani kila mtu ameona. Mpira una matokeo matatu,lakini sisi sio wa kufungwa kila siku na Yanga.
Kocha anafanya majaribio kwa Yanga,akaingia bila kuheshimu mpinzani.
Mnatuhujumu waziwazi. Mnamuacha kocha anajifanyia mambo ya kijinga kabisa. Kwa hiyo Mangungu, Try Again, Kocha, Matola wote hatuwataki.
Nimechafukwa sana leo