No Honey No Fear: Mbowe ajifunze kwa Raila, Wanachadema wajifunze kwa Wakenya

No Honey No Fear: Mbowe ajifunze kwa Raila, Wanachadema wajifunze kwa Wakenya

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
4,016
Reaction score
6,759
Kinachotokea 254 kwa sasa ni ishara na lama tosha ya kuonesha uimara wa upinzani nchini Kenya. Lakini uimara huu haukuja hivihivi , ulikuja kwa gharama, jasho na maumivu.

Raila licha ya ndoto zake za kuukwaa uraisi pamoja na kuwa anaongoza ngome yabupinzani yenye nguvu kabisa huko KE kuliko hata hiki kijichama kinachojiita Kambi rasmi ya upinzani huku 255. However Raila huwa anakuwa fair inapohitajika fair na huwa yeye na watu wake wanakiwasha pale fair inapoondoka.

Maridhiano ya Kenya mara ya mwisho yalikuja baada ya kiwasho cha maana na kupelekea jumuiya za kimataifa kuingilia kati. Serikali ilipata somo na kuwaheshimu wakenya. Leo hii wakenya wameamua tena kuuwasha sababu ya kutoridhishwa na mambo kadha wa kadha. Yes serikali inapata somo.

Huku kwetu Mnaumia, mnafungwa, mnasamehewa halafu Mtawala akijisikia nawasamehe na kutaka mridhiane ili ajiimarishe kisiasa. Yes mnagomagoma kidogo kisha mwisho mnabunya Mpunga , mnalamba asali na kuelekea kibla.

Mbowe na genge lake ajifunze kwa Raila, Wanachadema mjifunze kwa wafuasi wa Raila siyo kukesha Twitter na kuandamana kwa Keybord.

Maridhiano mliyofanya ni maridhiano ya pamoja kati ya ninyi na CCM , lakini tukiwaambia mtupe vipengele vya hayo Maridhiano mnarukaruka kama bisi. Yes HAKUNA MARIDHIANO bali ni maelewano kati Wenyeviti, kulambishwa asali na kusamehewa kesi zenu KWA MANUFAA YENU na si kwa manufaa ya wanchadema au watanzania. yES 2025 MMEWARAHISISHIA CCM kuchukua nchi sababu ya Uchawa wenu.

Hayo maridhiano kamati kuu yenu ilikaa lini kuyajadili?

Viva Raila, Viva Kenya, Viva CCM
 
Ni Wanachadema ndo wajifunze ni Watanzania wote wajifunze kwa Wakenya?Mbowe alishasena miTanzania mingi ni mioga mioga (ikp kingese ngese sama)Inamtegemea Mbowe na viongozi wa Chadema
 
Ni Wanachadema ndo wajifunze ni Watanzania wote wajifunze kwa Wakenya?Mbowe alishasena miTanzania mingi ni mioga mioga (ikp kingese ngese sama)Inamtegemea Mbowe na viongozi wa Chadema
yani kifupi mbowe hawez kupigania wapumbavu wasiojielewa wakiambiwa waandamane wanasema apeleke watoto wake so na wapuuz wote wanaotaka mbowe awapambanie waende kwa mama zao wakapambaniwe.
 
Mbowe hawez kupoteza muda wake kupigania wapumbavu wanaoambiwa waandamane wanasema apeleke watoto wake kuandamana as if odinga kapeleka mtoto wake kwenye maandamano, kama mnataka kuandamana andamaneni na mamazenu huko sukuma gang.
Hamkumuona Odinga kwenye maandamano Leo?
 
Sema kwa Mbowe ni zaidi ya 🍯, kile kimeo cha ugaidi kile kilimkalia pabaya sana
Siyo kimeo alikuwa na kesi kweli.. Na kama aliwekewa kimkakati kwa nini aliomba po kama yeye ni mwanaharakati wa kweli.... Kauza mechi sababu ya hiyo kesi..

Heri yetu makunguru wafuata upepo, tunaangalia mwenye nguvu tunaenda naye kuliko wanaharakati feki wenye njaa
 
Ni Wanachadema ndo wajifunze ni Watanzania wote wajifunze kwa Wakenya?Mbowe alishasena miTanzania mingi ni mioga mioga (ikp kingese ngese sama)Inamtegemea Mbowe na viongozi wa Chadema
Kani watanzania wote wanataka kuitoa CCM au hao wahuni?

Yeye mwenyewe kasanda , halafu anasema sisi waoga. Wakati anatuhamasisha kuandamana tuliomba msaada wake?
 
Wakati Meko anampa maagizo DPP walipiga makelele, Leo Bi Hangaya anatoa maagizo ya kuwasamehe WAMEUFYATA. Wabunye tu asali, na ole wao tuwasikie tena baada ya uchaguzi wanataka kuandamana, Tutafufua hizi kesi sisi CCM.
 
Ni Wanachadema ndo wajifunze ni Watanzania wote wajifunze kwa Wakenya?Mbowe alishasena miTanzania mingi ni mioga mioga (ikp kingese ngese sama)Inamtegemea Mbowe na viongozi wa Chadema
Sawa tukubali kwamba watanzania kiujumla ni waoga, sasa ndio hata wanachadema nao pia ni waoga hawaonyeshi mfano? Hivi kweli watanzania ni waoga au kumekosekana ushawishi?
 
Back
Top Bottom