Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Wanaanzisha uzi kumlaumu Mbowe kwa nini hafanyi maandamano kama OdingaWamefanyaje hao watu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaanzisha uzi kumlaumu Mbowe kwa nini hafanyi maandamano kama OdingaWamefanyaje hao watu?
Siyo waoga , ALITUMIA tu lugha ya kistaarabu.Kani watanzania wote wanataka kuitoa CCM au hao wahuni?
Yeye mwenyewe kasanda , halafu anasema sisi waoga. Wakati anatuhamasisha kuandamana tuliomba msaada wake?
UmetishaSiyo waoga , ALITUMIA tu lugha ya kistaarabu.
Mitanzania Ni mijitu ya hovyo, mipumbavu, isiyojitambua, isiyojua Hata inataka Nini.
NakaziaMleta mada umeandika utumbo.