Dawa ya Uvccm
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 2,223
- 4,717
Kama unataka kuandamana andamana na mamako mbowe hana muda wa kupigania wapumbavu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbowe hana muda wa kupigania wapumbavu kama mnataka kuandamana andamaneni na mamazenu nyumban kwenu.Wakati Meko anampa maagizo DPP walipiga makelele, Leo Bi Hangaya anatoa maagizo ya kuwasamehe WAMEUFYATA. Wabunye tu asali, na ole wao tuwasikie tena baada ya uchaguzi wanataka kuandamana, Tutafufua hizi kesi sisi CCM.
mbowe hana muda wa kupigania wapumbavu kama maisha yamewagonga andamaneni na mamazenu nyumban kwenuKani watanzania wote wanataka kuitoa CCM au hao wahuni?
Yeye mwenyewe kasanda , halafu anasema sisi waoga. Wakati anatuhamasisha kuandamana tuliomba msaada wake?
alipeleka mtato wake nan maana mkiambiwa muandamane huwa mnasema walete watoto wao so odinga alikuwa na mtoto wake yupi kwenye hayo maandamano na kama hujui odinga amejitokeza mchana.Hamkumuona Odinga kwenye maandamano Leo?
Kwahiyo wanachadema ni wapumbavu? Maana nao ni katika kundi hilo hilo la waoga.mbowe hana muda wa kupigania wapumbavu kama mnataka kuandamana andamaneni na mamazenu nyumban kwenu.
Ndio maana Cuf ilikuwa inaweza kufanya maandamano kutokana na msukumo wa dini.Siasa za Kenya ni za kipuuzi mno. CHADEMA haiwezi kuiga siasa za kikabila. Vurugu za Kenya zinafanywa na wajaluo na sio wakenya wote. Siasa zao ni tofauti kabisa na zetu kwa hiyo hatuwezi kujifunza upuuzi wowote wanaoufanya. Tanzania tunapambana kivyama sio kikabila, kidini wala kiukoo. Kusema kwamba CHADEMA waanzishe maandamano na vurugu kama za Kenya ni kukosa uzalendo na pia ni uhaini.
Swala ni kwanba alikuwepo ama hakuwepo.alipeleka mtato wake nan maana mkiambiwa muandamane huwa mnasema walete watoto wao so odinga alikuwa na mtoto wake yupi kwenye hayo maandamano na kama hujui odinga amejitokeza mchana.
Ni dhambi mbaya sana kuwa na chama cha kikabila kama KenyaNdio maana Cuf ilikuwa inaweza kufanya maandamano kutokana na msukumo wa dini.
Ni waoga. Ongezea na hili:kwa mataifa waasisi wa East Africa Community, Watanzania ndo wenye low IQ kuliko wengine. We angalia tu hata suala la LGBTQ , Marais wa Uganda na Kenya wameshatoa msimamo wao thabiti, mama yenu yeye anarembua na kuchungulia kwa uoga asemeje. Mitanzania mioga kama mbwa Koko.Sawa tukubali kwamba watanzania kiujumla ni waoga, sasa ndio hata wanachadema nao pia ni waoga hawaonyeshi mfano? Hivi kweli watanzania ni waoga au kumekosekana ushawishi?
Akili za Sukuma Gang zinawaza siasa za vurugu na umwagaji damu, Warundi ni watu washari sana.Siasa za Kenya ni za kipuuzi mno. CHADEMA haiwezi kuiga siasa za kikabila. Vurugu za Kenya zinafanywa na wajaluo na sio wakenya wote. Siasa zao ni tofauti kabisa na zetu kwa hiyo hatuwezi kujifunza upuuzi wowote wanaoufanya. Tanzania tunapambana kivyama sio kikabila, kidini wala kiukoo. Kusema kwamba CHADEMA waanzishe maandamano na vurugu kama za Kenya ni kukosa uzalendo na pia ni uhaini.
Hii nchi haijawahi kupiteza amani na hicho ndio kitu pekee inachojivunia.Sukuma Gang mnaumia sana kuona amani imerejea nchini,mlizoea siasa za kishenzi za yule mwovu aliyeko motoni sasa hivi. Rudini kwenu Burundi mlikozoea kuchinjana wapuuzi wakubwa nyie
Mbowe wala Chadema hawakuomba kesi ifutwe, walisema hawatapiga goti,Siyo kimeo alikuwa na kesi kweli.. Na kama aliwekewa kimkakati kwa nini aliomba po kama yeye ni mwanaharakati wa kweli.... Kauza mechi sababu ya hiyo kesi..
Heri yetu makunguru wafuata upepo, tunaangalia mwenye nguvu tunaenda naye kuliko wanaharakati feki wenye njaa
Watu sasa wanataka amani ipotee kwa sababu Samia ndio RaisHii nchi haijawahi kupiteza amani na hicho ndio kitu pekee inachojivunia.
Wamefanyaje hao watu?Watu sasa wanataka amani ipotee kwa sababu Samia ndio Rais