No matter how lonely you feel, never get married. Never ever!!

No matter how lonely you feel, never get married. Never ever!!

Ulijuaje km na wewe sio kahaba mwenzangu??

Halafu wewe ndo wale machokoooo mnaojisell pale kimboka 😹😹😹

Kwahiyo beki hazikabi, diara hayupo golini unapiga kelele uolewe 🤣
Msipoacha umala*ya na kuamua kujitunza na kuheshimu taasisi ya ndoa mtaishia kuchezea p*mbu tu ndoa mtaolewa na masimp
 
Ndoa ni agizo la Mungu na si la mwanafamu, bango lako linamaanisha unapingana na Mungu. Maandiko yanasemea hakuna mtu anayeshindana na Mungu anayefanikiwa.

Ushauri: Fanya utafiti wa kutosha kuhusu ndoa, ujue mapungufu yakiyopo na namna ya kuyatatua ndio uandike bandiko lako kwa namna ya kujemga nila si kubomoa.
Wanawake hawa sio wale ambao Mungu alikua anatoa maagizo. Watu walikua wanaolewa wakiwa bikira, mtu anafunzwa kuheshimu mwanaume tangu mtoto hadi anaolewa.....Sasa hawa mach*ngudoa ukijidanganya ukawaweka ndani utajua hujui
 
Nyie ndo mnapangiwa siku za kula mbususu😀😀😀povu la kutetea uwozo linakutoka my friend umelost.

Pambana na hali yako.Wewe ulidanganywa ukaoa wacha tuwqsanue madogo kabla hawajapotea.

Ndoa ilikuwa karne ya 19 kama huamini kamuulize Ki- Awadhi.
Kama unapangiwa wewe usiwasemee wenzako, kama umepangiwa ujue kuna anayepewa
 
Jf kila MTU hataki kuoa but on ground things are so different. Vijana wanaoa vizuri tu, and Ofcoz wanaosema usoe wao wameoa.
Za kuambiwa...
JF is where we dare to talk openly without fear
Humu watu wanachangamsha Tu genge bt things are very different on the ground
 
K wameharibika akili sana hawafai kuwekwa ndani....mtu anasubiri achoke kudanga kisha aolewe. Akisha olewa anaanza kukitembeza kwa ma X walewale ambao walikataa kumuoa. Yaani ukiwafikiria utagundua akili zao hazipo sawa
Mkuu unajua umeongea ukweli sana kaka....

Mifano iko mingi huku mtaani ,kinachonikera tu ni kuwa mwana aliyeoa "type" hiyo anaishia kuteseka na mtu asiyeijua thamani ya mwanaume....yaani unateswa na aliyelala na watu zaidi ya 100 huku akiendelea kuwatembezea awapo hapo ndoani....this is a pathetic!
 
Ushauri sio amri,yavagae utakuja kutoa ushuhuda hapa!!!

Kaa na hao mabroo watakwambia walioa kwasababu ya msukumo wa ny*g* ila deep down hawana anything wanapata kutoka katika ndoa zaidi ya stress!!!
Aya Asante kaka
 
K wameharibika akili sana hawafai kuwekwa ndani....mtu anasubiri achoke kudanga kisha aolewe. Akisha olewa anaanza kukitembeza kwa ma X walewale ambao walikataa kumuoa. Yaani ukiwafikiria utagundua akili zao hazipo sawa

Mkuu unajua umeongea ukweli sana kaka....

Mifano iko mingi huku mtaani ,kinachonikera tu ni kuwa mwana aliyeoa "type" hiyo anaishia kuteseka na mtu asiyeijua thamani ya mwanaume....yaani unateswa na aliyelala na watu zaidi ya 100 huku akiendelea kuwatembezea awapo hapo ndoani....this is a pathetic!
Nyie madogo,
Ni nani kawalazimisha kwenda kuoa ma slay queen?!!

Mbususu iliyochakazwa vikali na watu zaidi ya 100 unaweka ndani ili ugundue nini?

Hujui kusoma milage?!
Inakuwaje unakubali kufungashiwa mbuzi ndani ya junia?

Nyie wavulana kama hamjui kuchagua wanawake wa maana, nyie ndo tatizo
 
Unawasanua wewe kama nani?

Inawezekana hapo ulipo toka umeanzisha huu uzi umelewa na unaendelea kunywa, bisha kama nasema uongo, inaonekana una stress, unapoteza vijana.

Ndoa scum kwako, hiyo ni kwako, kama umeharibugi maisha ya mabinti wakati uliopita umewaharibia maisha yao, vuna ulichopanda, ndio unavuna sasa, na ndio maana unaona ndoa si kitu cha thamani.
Wewe kama unataka bia za bure sema nikutumie muamala ukalewe ila mambo ya kulazimisha mimi ni mlevi acha bwana mdogo.
 
Back
Top Bottom