TATIZO MIKIA mnaongea sana mnafikiri mpira unachezwa kwa mdomo... kwa taarifa yenu mikia mbeya si salama kwa simba.. historia ipo wazi simba haijawah chukua point 3 kwa mbeya city.. sasa huo ujasiri unaokuja nao endelea kuwa nao.. hata hvyo naona ushaanza kujitetea eti mbeya kuna fitna.. pole sana maana unajua baada ya kichapo utakuja na jibu la kuwa fitina zimefanyika.
Simba itafungwa goli mbili tu
TATIZO MIKIA mnaongea sana mnafikiri mpira unachezwa kwa mdomo... kwa taarifa yenu mikia mbeya si salama kwa simba.. historia ipo wazi simba haijawah chukua point 3 kwa mbeya city.. sasa huo ujasiri unaokuja nao endelea kuwa nao.. hata hvyo naona ushaanza kujitetea eti mbeya kuna fitna.. pole sana maana unajua baada ya kichapo utakuja na jibu la kuwa fitina zimefanyika.
Mbeya city FC, chapa hawa! Hii sasa ni dharau yaani unaelezea as if Simba watakuwa 24 uwanjani na Mbeya city watakuwa 12 uwanjani! Shwaini!
Wosia wa Juma Mwambusi wakati anawaaga wachezaji wa Mbeya City - wafungeni hao mikia!
Mwandishi kidogo unamatatizo unajitahidi kuandika vizuri lakini vitu unavoandika huvijui vizur. Pole wait n see hiyo tar17. Oct siku ya jumamosi kitakachoikuta simba.
Unajua mikia ni madogo zetu ndo mana tumewaondolea mwambusi walau wapate sare,wkt mikia ikiumiza kichwa jinsi gani watapata sare,wakimataifa tutawapa uzoefu madogo azam ambao nao ni wakimataifa pale uwanja wa taifa.
wamekuwa wababe wenu tangu timu imeanzishwa labda sasa mtumie pengo la mwambusi.
Nadhan ushindi wa mikia ni kupata droo iyo jumamosi
Mbeya city FC, chapa hawa! Hii sasa ni dharau yaani unaelezea as if Simba watakuwa 24 uwanjani na Mbeya city watakuwa 12 uwanjani! Shwaini!
TATIZO MIKIA mnaongea sana mnafikiri mpira unachezwa kwa mdomo... kwa taarifa yenu mikia mbeya si salama kwa simba.. historia ipo wazi simba haijawah chukua point 3 kwa mbeya city.. sasa huo ujasiri unaokuja nao endelea kuwa nao.. hata hvyo naona ushaanza kujitetea eti mbeya kuna fitna.. pole sana maana unajua baada ya kichapo utakuja na jibu la kuwa fitina zimefanyika.
hongera semboFT: Mbeya City 0 Simba S.C 1
Mkuu leo tumechukua point 3 saafi, wiki ijayo tunaongeza zingine 3 toka Prisons.. Na kurudi Dar tukiwa na point 6 kibindoni.
FT: Mbeya City 0 Simba S.C 1
Wosia wake umegonga Mwamba Mkuu.
Mkuu nilichokishudia leo ni Simba S.C kuibuka na ushindi usio na mashaka.. Vipi kuna kingine tulitakiwa tukione leo uwanjani zaidi ya soka maridadi lililotandazwa leo na vijana wa Msimbazi?
Mkuu matokeo ya Sokoine;
Mbeya City 0 Simba S.C 1.. Vipi matokeo ya wakimataifa?
Kipindi sisi tunalitumia vyema pengo la Mwambusi.. Wao wameshindwa kulitumia pengo la Kiiza Mahattrick.
FT: Mbeya City 0 Simba S.C 1
Tumeweza kuchua point tatu muhimu leo mbeya