No more dairy products from Kenya in Tanzania

No more dairy products from Kenya in Tanzania

acha ujuha kijana,sasa kama gesi inatoka Mombasa kisha kuja kwetu na kisha kurudi kwenu nani mpumbavu hapo?,nyie ndo wajinga,...atu hawajui kiingereza...nyie jamaa ni mafala kweli,siwe twaeza ishi bila hiyo EAC yenu,si mna CoW,iko wapo=i sasa?....shenzi zenu

Si mkwende. Nani amebembeleza? Tanzania haina maana kwa EAC. Mtatuambukiza ugonjwa wa Magufuli wa kurukaruka huku na kule. Hamna lolote mnalochangia katika EAC isipokuwa kulialia kama visichana vidogo.
 
National interests zipo pia Tanzania mlianza ku-brand sukari yetu counterfeit sasa mmegeukia gesi kisa mnaona hamuwezi kushindana. FYI Kenya ndiyo inaongoza kwa adulteration of oil n gas in the region

Hatuwezi kuahindana vipi, kwani nyinyi.mnaptoduce gas? Kenya inaproduce gas? Si sote tunaagiza kutoka nje?

Sukari yenyu mlikuwa mkinunua nje na kubrand kama yenyu, that wss counterfeit. Ngano pia hivo hivo.

Na kama tayari mnaproduce gas, lazma ihakikishwe iko salama. Hamjakatzwa kuleta gas huku, mmeambiwa tu mpitishe Mombasa.

Na Kenya ndio inaconsume gas nyingi...in fact almost kila kitu kwa wingi kuliko mataifa yote humu, kwa hivyo unaposema Kenya cannot compete...
 
National interests zipo pia Tanzania mlianza ku-brand sukari yetu counterfeit sasa mmegeukia gesi kisa mnaona hamuwezi kushindana. FYI Kenya ndiyo inaongoza kwa adulteration of oil n gas in the region
Is it too hard for you to understand that the steps taken are supposed to establish more control? Tz doesn't sell its gas, why does it need to import and sell it to Kenya? There is Tanzania domestic market for God's grace.
 
Hii shida yoooote kwa sababu kiwanda cha rais Kenyatta kimezuiwa kuuza maziwa Tanzania.
Isitoshe gesi Kenya ni biashara ya wenye nchi. Tanzania ikitaka kuuza gesi Kenya inabidi ikae na hao hao. Magufuli ameleta pingamizi kubwa kwa wenye nchi wa Kenya ambao wamezoea kufanya wanavyotaka
 
Mji gani una largest slums in Africa, second in the world? Au hilo nalo hujui?

The population of peole living in slums in Kenya ni kubwa kuliko any African country
Mnajazana nairobi kulima hamtaki mtakura tyre na blueband
 
Si mkwende. Nani amebembeleza? Tanzania haina maana kwa EAC. Mtatuambukiza ugonjwa wa Magufuli wa kurukaruka huku na kule. Hamna lolote mnalochangia katika EAC isipokuwa kulialia kama visichana vidogo.
Nyoko wewe,nani analilia?,nyie ndo mnaoingilia mambo yetu,kwani msipofuatilia mambo ya Magufuli mnaathirikaje?,nenda katawaze huko
 
Subirini kukuche,ukiamka utajua utakula nini mchana,maana kwa sasa unashibe ya jana usiku

Ndio maana unaujasiri wakuongea,kutukana, nk. kumbuka unae mtukana ndio aliye kushibisha,

MIMI ndio mlezi wako kwa ukanda huu ,kama huamini muulize babu yako,

kati ya wenzio wote wewe ndio unakihelehele cha kutaka kujitegemea,

Nakwambia bado,unahitaji msaada wangu wa hali na mali,naamini nikikuacha unaanguka vibaya

Navaa vibaya ili ww upendeze,nalima ili ww ule,lakini huoni haya unasema eti una majengo marefu

uanaviwanja vya kutua kila ndege wa angani,una gari ndefu kuliko zote duniani nk,

Ila mwanangu unajijua kama unafunza miguuni,Mwanangu unaju kama unachawa kichani,unajua kama mimi ndio pekee naweza kukuto hao funza na chawa

Nikikuacha hakika utakufa,wala jengo wala kiwanaja hutaona dhamani yake.

Najua kwa sasa hutanielewa kwasababu, umeshiba

Hili utalijua vizuri mpaka msimu wa njaa ,msimu wa nzige kutoka turkana au Nakuru

Najua huatelewa vizuri kwakasababu mirungi bado ipo na ukibichi wake,ikikauka jua msimu unakaribia

Kosa vyote ila sio ardhi,kosa vyote ila uwe na UMOJA,MSHIKAMANO NA AMANI,

Kumbuka amani yako ipo mikonono mwangu,
 
Bora wakenya walivyokataza importation ya gas kutoka Tanzania japo tz hatuzalishi hiyo gas
Hizi hatua zilizochukuliwa na kenya dhidi ya tz imepelekea gas tz imeshuka from 22,000 to 18,500
 
Is it too hard for you to understand that the steps taken are supposed to establish more control? Tz doesn't sell its gas, why does it need to import and sell it to Kenya? There is Tanzania domestic market for God's grace.
U fail to know the principles behind regional integration n economic blocks! Regional integration is there to allow a free market where those companies that can sell at a more affordable cost have a comparative advantage.

U as a Kenyan should cherish the likes of Lake oil that bring their gas product at a more cheaper price compared to the existing establishment.

Ur argument Lake oil imports its gas beats the logic considering Kenolkobil just like many other Kenyan companies that import their stuffs to sell across the region, imported all it's gas (as Kenya does not have gas) when was in Tanzania for good them years but wind up their business after failing to compete.

Just to remind u Kenolkobil like many Kenyan companies the latest victim being Nakumatt were 2 separate companies that merged after competition was to drive them to bankruptcy but even after a merge, they were still beaten flat n resorted to a shamely withdrawal from Tanzanian market. [emoji85]

It is out of such reasons I said Kenya is a bitter loser doing protectionism after most of her companies failed to conquer the market in Tanzania. Now seeing their rivals' entrance at her home maket Kenya starts playing dirty games.

FYI gas from Songosongo is on sell in the market too n production capacity is growing. I swear if I were Magu u would have lived to regret what u r doing..


nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican, Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, Mzee, mombasite gabriel, Juakali1980, Boda254, mwaswast, MwendaOmo, Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11
 
Subirini kukuche,ukiamka utajua utakula nini mchana,maana kwa sasa unashibe ya jana usiku

Ndio maana unaujasiri wakuongea,kutukana, nk. kumbuka unae mtukana ndio aliye kushibisha,

MIMI ndio mlezi wako kwa ukanda huu ,kama huamini muulize babu yako,

kati ya wenzio wote wewe ndio unakihelehele cha kutaka kujitegemea,

Nakwambia bado,unahitaji msaada wangu wa hali na mali,naamini nikikuacha unaanguka vibaya

Navaa vibaya ili ww upendeze,nalima ili ww ule,lakini huoni haya unasema eti una majengo marefu

uanaviwanja vya kutua kila ndege wa angani,una gari ndefu kuliko zote duniani nk,

Ila mwanangu unajijua kama unafunza miguuni,Mwanangu unaju kama unachawa kichani,unajua kama mimi ndio pekee naweza kukuto hao funza na chawa

Nikikuacha hakika utakufa,wala jengo wala kiwanaja hutaona dhamani yake.

Najua kwa sasa hutanielewa kwasababu, umeshiba

Hili utalijua vizuri mpaka msimu wa njaa ,msimu wa nzige kutoka turkana au Nakuru

Najua huatelewa vizuri kwakasababu mirungi bado ipo na ukibichi wake,ikikauka jua msimu unakaribia

Kosa vyote ila sio ardhi,kosa vyote ila uwe na UMOJA,MSHIKAMANO NA AMANI,

Kumbuka amani yako ipo mikonono mwangu,
Nonsense...
 
Mimi ni baadhi ya watu ambao huwa sina haja na lugha ya kiingereza kama gold standard. Yote hayo unayoyasema ninayaelewa na ukija humu jukwaani na michango yango kwenye Jukwa la Elimu, utaona nyuzi kadhaa nilizoandika kuhusu mfumo wa elimu wa tanzania wa kutumia Kiswahili kama medium of instruction. In fact, huwa naona mgeenda hadi chuo kikuu na ingekuwa vyema kama Kenya ingewaigi kwa hili. Lakini, nililolisema hapa ni lazima uelewe kuwa wengi wlioshabikia kiupuzi ni watu ambao hawajaelewa kilichoandikwa. Yeyote ambaye anmeelewa lugha hiyo, whether ni Kirusi, au Kihaya, amejua kwamba Kenya imeleta pertinent issues ambazo zafaa zijibiwe na si kishabiki.
Nimeelewa na nilikuwa naongelea general trend ya tambo za wakenya kwa watanzania point yao msingi ikiwa kuwa Watanzania wapuuzi sana kwa kuwa hawajui Kiingereza.. Ningewaheshimu zaidi kama mabishano yangekuwa ya hoja badala ya mitusi.. Hoja zingelenga zaidi ukwamuzi wa mtu mweusi toka hili lindi la umasikini na rushwa na ubinafsi. You seem educated na kama umeshawahi toka nje ya bara la Afrika utanielewa.. Huko nje hakuna mkenya wala mtanzania ila ni miafrika meusi.. Huo ndo mtizamo wa watu weupe kwetu wabantu.. Yet here we are tukibishana nani ni nguli wa kuongea Kiingereza
 
Subirini kukuche,ukiamka utajua utakula nini mchana,maana kwa sasa unashibe ya jana usiku

Ndio maana unaujasiri wakuongea,kutukana, nk. kumbuka unae mtukana ndio aliye kushibisha,

MIMI ndio mlezi wako kwa ukanda huu ,kama huamini muulize babu yako,

kati ya wenzio wote wewe ndio unakihelehele cha kutaka kujitegemea,

Nakwambia bado,unahitaji msaada wangu wa hali na mali,naamini nikikuacha unaanguka vibaya

Navaa vibaya ili ww upendeze,nalima ili ww ule,lakini huoni haya unasema eti una majengo marefu

uanaviwanja vya kutua kila ndege wa angani,una gari ndefu kuliko zote duniani nk,

Ila mwanangu unajijua kama unafunza miguuni,Mwanangu unaju kama unachawa kichani,unajua kama mimi ndio pekee naweza kukuto hao funza na chawa

Nikikuacha hakika utakufa,wala jengo wala kiwanaja hutaona dhamani yake.

Najua kwa sasa hutanielewa kwasababu, umeshiba

Hili utalijua vizuri mpaka msimu wa njaa ,msimu wa nzige kutoka turkana au Nakuru

Najua huatelewa vizuri kwakasababu mirungi bado ipo na ukibichi wake,ikikauka jua msimu unakaribia

Kosa vyote ila sio ardhi,kosa vyote ila uwe na UMOJA,MSHIKAMANO NA AMANI,

Kumbuka amani yako ipo mikonono mwangu,
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Si mkwende. Nani amebembeleza? Tanzania haina maana kwa EAC. Mtatuambukiza ugonjwa wa Magufuli wa kurukaruka huku na kule. Hamna lolote mnalochangia katika EAC isipokuwa kulialia kama visichana vidogo.
2cc22fb9b7e8c113697e403cdcd8f9c0.jpg
 
homebusiness

Ban on Dar’s products in Nairobi sparks trade, diplomatic dispute

MONDAY JULY 3 2017



Tanzanian President John Magufuli. FILE | NATION MEIDA GROUP

ADVERTISEMENT

By ALLAN OLINGO in Nairobi

Presidents John Magufuli and Uhuru Kenyatta have stepped in to stem an escalating trade war that has seen Tanzania and Kenya exchange import bans on several commodities.

The EastAfrican has learnt that President Magufuli wrote to his counterpart in Nairobi early last week to complain about Kenya’s ban on its gas and wheat exports and other trade barriers.

“The Tanzania presidency has officially complained to Kenya. However, we have received communication from them banning our exports of tyres, margarine and fermented milk products. We hope this trade war is nipped in the bud before it gets out of hand,” a source said.

Kenya is digging in, saying it will only allow wheat flour and other products that are milled from grain wholly produced in Tanzania, or whose full Common External Tariff (CET) rate has been applied.

“The conclusion that wheat imported at a reduced rate of 10 per cent within Kenya, Tanzania and Uganda can be subjected to a preferential regime is not accurate. Not all importers in Kenya are allowed to import wheat at 10 per cent and millers are also subjected to restrictions on the limit they can import under the duty remission scheme,” a brief prepared in response to President Magufuli’s reads.

President Uhuru is expected to study the brief before responding to his Tanzanian counterpart. The trade spat comes just days after Kenya started enforcing work permit rules along its border, with Tanzania, rendering many workers jobless.

It also underlines uneasy diplomatic relationship between Nairobi and Dar es Salaam since President Magufuli came to power in October 2015, forcing a review of the Economic Partnership Agreement with Europe and persuading Uganda to opt for an oil pipeline through Tanzania.

Effect the ban

On Wednesday, Dar in a statement protested Nairobi’s move to totally ban gas and wheat imports from its territory despite an agreement reached between the two countries. Kenya said it would effect the ban this month because of safety concerns over the gas coming through from Tanzania.

Trade Principal Secretary Dr Chris Kiptoo said Kenya would not allow Tanzanian wheat if a 25 per cent CET tariff is not paid.

“We import our wheat under duty remission at 10 per cent instead of the 35 per cent. Our neighbours were granted a stay of application on the CET rate and therefore import theirs too at the same percentage as ours. The reason they got a stay was to allow them to plug their deficit, but we are seeing their traders trying to sell the same to us at no duty cost. That’s against the EAC rules,” Dr Kiptoo said.

Tanzania cited the same trade rules in its protest.

“We believe that decisions made in the official meetings between EAC member states must be implemented by concerned parts,” Permanent Secretary in Tanzania’s the Ministry of Industry, Trade and Investment Adolf Mkenda said.

Already, the EAC Secretariat has written to Kenya over the trade dispute.

A wheat deficit

The EastAfrican, however, understands that Kenya’s reservations with the wheat imports stem from the fact that Dar es Salaam is a wheat deficit country.

“The reason Tanzania asked for a stay is because they have a deficit. If then you don’t have enough supply, then how can you have enough to export? They were told that goods under remission of CET cannot be profitably traded,” EAC Principal Secretary Betty Maina told The EastAfrican.

Uganda and Tanzania have a stay of application of CET rate and import wheat at 10 per cent instead of 35 per cent. Rwanda and Burundi were last year granted stay of application of the CET.
Tanzania argues that even Kenya applies the 10 per cent CET stay but the governance structures for the two countries under this programme are different. Kenya requires its millers to stack up all the domestic wheat before applying for any import but Dar on the other hand does not.

Mr Mkenda said that Kenya’s decision was against the East Africa Community agreement reached between the two countries.

“We have expressed concern over Nairobi’s refusal to allow Tanzanian exporters to transport cooking gas to Kenya through Kenya-Tanzania land border. We decided at the EAC sectorial meeting, which brought together ministers of trade, industry, finance and investments from the EAC that Kenya should lift the ban. During the meeting, Kenya agreed to lift the ban on importation of cooking gas and wheat through Tanzania-Kenya borders,” Mr Mkenda said.

Cooking gas

Kenya’s Petroleum Principal Secretary Andrew Kamau said that it will not allow the imports of gas via trucks starting July over safety concerns.

“We have designated Mombasa as the only point of import for LPG. So if you want to play in this game, come and invest in Kenya, import through Mombasa and then we can follow up who is supplying unlicensed dealers. But now this whole thing about Tanzania is a thing of the past,” Mr Kamau said.

Ms Maina said that Kenya will be purchasing a gas testing facility to be stationed at the border Custom points of Namanga and Voi but in the meantime, the ban will stay in effect.

“Before the testing facility is installed in these Customs border points, Mombasa will remain as the only entry point for gas for the country to track the quality of LPG imports into the country. This isn’t a ban but an issue of the point of entry of the product.

What we have told Tanzania is that they should pass it through our designated gas facility in Mombasa where we will be able to test the product on its quality and safety, rather than through Namanga where we don’t have facility to test the product,” Ms Maina said.

Safety and quality

It is understood that at the Council of Ministers meeting, Tanzania insisted on its traders trucking their gas products through Namanga back into Kenya, with the latter arguing that given the region imports its LPG products through Mombasa, it made no sense in trucking it from Mombasa into Tanzania, then Dar re exporting it via Namanga.

“We have recently promoted the use of gas, and we would like to champion safety and quality of the same product. Unfortunately, we cannot vouch for the same product that is being trucked because we don’t know how it was handled and repackaged.

That’s the reason we aren’t allowing the gas imports through our inland ports,” Ms Maina said.

The EastAfrican understand that Kenya has already communicated its intention to have the ban stay for a period of up to four months as it seeks to purchase and install the new testing facilities at in the border points.

Ban on Dar’s products in Nairobi sparks trade, diplomatic





Wakenya wanauza bidhaa zao nyingi Tanzania kushinda Watanzania wanavyouza Kenya. The losers will be Kenyans.
 
U fail to know the principles behind regional integration n economic blocks! Regional integration is there to allow a free market where those companies that can sell at a more affordable cost have a comparative advantage.

U as a Kenyan should cherish the likes of Lake oil that bring their gas product at a more cheaper price compared to the existing establishment.

Ur argument Lake oil imports its gas beats the logic considering Kenolkobil just like many other Kenyan companies that import their stuffs to sell across the region, imported all it's gas (as Kenya does not have gas) when was in Tanzania for good them years but wind up their business after failing to compete.

Just to remind u Kenolkobil like many Kenyan companies the latest victim being Nakumatt were 2 separate companies that merged after competition was to drive them to bankruptcy but even after a merge, they were still beaten flat n resorted to a shamely withdrawal from Tanzanian market. [emoji85]

It is out of such reasons I said Kenya is a bitter loser doing protectionism after most of her companies failed to conquer the market in Tanzania. Now seeing their rivals' entrance at her home maket Kenya starts playing dirty games.

FYI gas from Songosongo is on sell in the market too n production capacity is growing. I swear if I were Magu u would have lived to regret what u r doing..


nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican, Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, Mzee, mombasite gabriel, Juakali1980, Boda254, mwaswast, MwendaOmo, Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11
Regional integration is hardly what you want to insinuate where traders in one country are allowed to hoodwink imports as local production to benefit from unhindered business.
 
Regional integration is hardly what you want to insinuate where traders in one country are allowed to hoodwink imports as local production to benefit from unhindered business.
Kenya is doing the same Kenolkobil has no gas Wells in Kenya!
 
Njaa zinawauwa mmekalia tu kula mirungi kama mbuzi kulima hamtaki mnazunguka Nairobi na masuti ya oversize na mibaasha ya kaki mikuubwa kumbe ndani mmepaki mirungi na big G mnaenda kuzitafunia uhuru Park.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji91] [emoji106]

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom