No rasmi sasa Lavalava ndio king wa Piano bongo hii

No rasmi sasa Lavalava ndio king wa Piano bongo hii

brownboy

Senior Member
Joined
Jun 10, 2023
Posts
103
Reaction score
278
Mie si mpenzi wa WCB lakini ukweli usemwe toka jamaa ameanza kutoa amapiano zote zimehit kuliko kawaida. Hakuna msanii anaeweza kutoa ngoma back to back kama alivyofanya jamaa kuanzia Tajiri,Tunakikao,beer nyama, Sawa na sasa Kibango inayosumbua mtaani. Myonge myongeni lakini haki yake mpeni.
 
Lava lava yupo vizuri kwenye mziki sema tu sio mpenzi wa kiki wanazotaka vijana wa 2000
 
Duh kweli wengine tupo dunia tofauti
 
Back
Top Bottom