lutemi
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 1,748
- 1,388
MHESHIMIWA RAIS MUNGU AKIKUPA NAFASI HUWA HAIJIRUDII MARA MBILI na KUMBUKA kwamba anataka wakati wote utumie uta wala wako kwa hekima.
1. Ipe ZANZIBAR UHURU KAMILI kwa kuandika KATIBA ambayo uliisimamia (Zanzibar una wajukuu zako, una makaburi ya ndugu zako, Mila na desturi zote zipo ZANZIBAR) hata kama utaacha kuna siku hutakuwa RAIS na atakuja mwingine ambae atarekebisha na hata pengine Mali ulizo nazo bara zikataifishwa hatuombei na ukajutia kwanini hukuweka misingi imara.
2. Muite mwenyekiti wa chadema hata kama ana maneno usiyoyapenda lakini tafakari mandiki yake ina nini ndani yake kabla waliolala hawajaamka. Unajua kila mtawala ana watu wanaompenda na wasio mpenda chunguza wasio kupenda wananguvu kiasi gani . Hawa wanaweza wakashirikiana kudraft barua na mwisho wakapita kwa wahisani na nchi ikapitia wakati mgumu Sana. Usichukulie jambo hili kuwa rahisi Sana .
3. MHESHIMIWA RAIS hivi akiwaeleza mabalozi kwa takwimu ya watu waliokufa kwaajili ya uchaguzi au matumizi ya misaada inavyofujwa unadhani nani Ataadhirika?
4. Faida ya no reform no election's ni hii
Unaweka misingi ya kiutawala halali kwa nchi iliyopiganiwa kwa muda mwingi
Mapungufu ya muungano yatakuwa yametatuliwa kwa asilimia Mia moja
Watu watachangia mawazo wakati kukiwa na Amani
Umepewa kutawala hata miaka miwili zaidi kuandaa kilicho Bora zaidi tume ya UCHAGUZI, KATIBA mpya.
Mwisho utakumbukwa milele.
Katika swaumu hii ikupe Tafakari ya kina utengeneze nchi sio kuziba viraka.
1. Ipe ZANZIBAR UHURU KAMILI kwa kuandika KATIBA ambayo uliisimamia (Zanzibar una wajukuu zako, una makaburi ya ndugu zako, Mila na desturi zote zipo ZANZIBAR) hata kama utaacha kuna siku hutakuwa RAIS na atakuja mwingine ambae atarekebisha na hata pengine Mali ulizo nazo bara zikataifishwa hatuombei na ukajutia kwanini hukuweka misingi imara.
2. Muite mwenyekiti wa chadema hata kama ana maneno usiyoyapenda lakini tafakari mandiki yake ina nini ndani yake kabla waliolala hawajaamka. Unajua kila mtawala ana watu wanaompenda na wasio mpenda chunguza wasio kupenda wananguvu kiasi gani . Hawa wanaweza wakashirikiana kudraft barua na mwisho wakapita kwa wahisani na nchi ikapitia wakati mgumu Sana. Usichukulie jambo hili kuwa rahisi Sana .
3. MHESHIMIWA RAIS hivi akiwaeleza mabalozi kwa takwimu ya watu waliokufa kwaajili ya uchaguzi au matumizi ya misaada inavyofujwa unadhani nani Ataadhirika?
4. Faida ya no reform no election's ni hii
Unaweka misingi ya kiutawala halali kwa nchi iliyopiganiwa kwa muda mwingi
Mapungufu ya muungano yatakuwa yametatuliwa kwa asilimia Mia moja
Watu watachangia mawazo wakati kukiwa na Amani
Umepewa kutawala hata miaka miwili zaidi kuandaa kilicho Bora zaidi tume ya UCHAGUZI, KATIBA mpya.
Mwisho utakumbukwa milele.
Katika swaumu hii ikupe Tafakari ya kina utengeneze nchi sio kuziba viraka.