No reforms No election ni project nzuri lakini ngumu mno. Plan B & C ni ipi?

No reforms No election ni project nzuri lakini ngumu mno. Plan B & C ni ipi?

Anonymous Caller

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2016
Posts
679
Reaction score
870
Wana madai ya Msingi sana.
UHALISIA ULIVYO
Kiukweli mazingira yaliyopo kwasasa katika chaguzi zetu hayatoi nafasi kwa upinzani kushinda nafasi yeyote ile isipokuwa kwa hisani, huruma au utashi wa CCM yenyewe....
Hili lilishasemwa sana sitaki nirudie.

Kukubali Uchaguzi katika mazingira haya ni kufanywa Watoto..
Ni kupoteza muda.
Nalisema hili kwasababu niliwahi kuwa msimamizi mkuu katika uchaguzi mdogo mwaka 2012 mahali fulani.
UGUMU WA AJENDA HII
Ugumu unatokana na ukweli kwamba CCM ndio wanufaika wa mfumo huu,
Na jeuri na kiburi chote cha CCM kipo hapa..
Hivyo sitarajii kuiona CCM ikikubali agenda hii kwa gharama zozote ziwazo.

Matishio au mashinikizo yeyote kutoka ama madhehebu ya dini au donor communities hayataweza kubadili msimamo wa CCM...
Kwasababu survival ya CCM hutegemea chaguzi za aina hii..

Sioni vilevile uwezekano wa vyama vingine kuungana na CHADEMA ili kuishinikiza CCM.

PENDEKEZO
1.CHADEMA ije na plan B au hata C
2.CHADEMA ikubali kukaa upya na CCM Waridhiane yale Mapungufu ya Sheria ya Uchaguzi kwa utaratibu wa Give and Take...ili hata waki-win nusu utakuwa sio mwanzo mbaya..
haitokuwa kama kukosa kabisa.

Nje ya maridhiano, njia iliyobaki ya kuishinikiza CCM ni Civil War kupitia Maandamano yasiyokoma.
Civil war ya Kenya 2007 ndio result ya unayoyaona leo
 
Wana madai ya Msingi sana.
UHALISIA ULIVYO
Kiukweli mazingira yaliyopo kwasasa katika chaguzi zetu hayatoi nafasi kwa upinzani kushinda nafasi yeyote ile isipokuwa kwa hisani, huruma au utashi wa CCM yenyewe....
Hili lilishasemwa sana sitaki nirudie.

Kukubali Uchaguzi katika mazingira haya ni kufanywa Watoto..
Ni kupoteza muda.
Nalisema hili kwasababu niliwahi kuwa msimamizi mkuu katika uchaguzi mdogo mwaka 2012 mahali fulani.
UGUMU WA AJENDA HII
Ugumu unatokana na ukweli kwamba CCM ndio wanufaika wa mfumo huu,
Na jeuri na kiburi chote cha CCM kipo hapa..
Hivyo sitarajii kuiona CCM ikikubali agenda hii kwa gharama zozote ziwazo.

Matishio au mashinikizo yeyote kutoka ama madhehebu ya dini au donor communities hayataweza kubadili msimamo wa CCM...
Kwasababu survival ya CCM hutegemea chaguzi za aina hii..

Sioni vilevile uwezekano wa vyama vingine kuungana na CHADEMA ili kuishinikiza CCM.

PENDEKEZO
1.CHADEMA ije na plan B au hata C
2.CHADEMA ikubali kukaa upya na CCM Waridhiane yale Mapungufu ya Sheria ya Uchaguzi kwa utaratibu wa Give and Take...ili hata waki-win nusu utakuwa sio mwanzo mbaya..
haitokuwa kama kukosa kabisa.

Nje ya maridhiano, njia iliyobaki ya kuishinikiza CCM ni Civil War kupitia Maandamano yasiyokoma.
Civil war ya Kenya 2007 ndio result ya unayoyaona leo

Yaani plan ndiyo ina anza uanze kuwachanganya watu na plan nyingine ndiyo haitaeleweka kabisa. Watanzania ni wazito sana kuelewa. Hakuna cha plan B kwasasa plan A na kutafuta njia mpya za kupata pesa. Kikubwa ni kutoa elimu kwanza ya mfumo.
 
Ni kweli ni movement ngumu, na yote haya sababu ni Katiba yetu..Katiba hii ya sasa inampa Rais wa Tanzania "u Mungu mtu" lakini LAZIMA pawe na pa kuanzia..ndio hapa sasa..NO REFORMS, NO ELECTION

Kikubwa CHADEMA niwaombe mtumie wadau wote kushinikiza haya..Nchi Wafadhili, Viongozi wa Kidini, NGOs, Vyama vya Kitaaluma, Wazee Maarufu, Wahariri wa vyombo vya Habari na wengine ..Naona mmeshaanza,endeleeni..

Nii bora kupoteza vingi kwa muda mchache mje mpate VYOTE mbeleni
 
Hivi ni kwa nini watu hawataki haki itendeke ktk uchaguzi?
Mshindi atangazwe-Period . kwa nini tushabikie wizi wakati huku mitaani vibaka wanapigwa viberiti na watu wenye hasira Kali? Kuna ulazima gani tufikie mahali tuanze kupeana adabu kwa kuchomwa moto Kama vibaka? Huko ndiko tunakoelekea Kama hatutaki haki itendeke kwenye uchaguzi. Wizi au udanganyifu haukubariki- mwenye haki apewe na mshindi atangazwe Kama ilivyokuwa awamu ya kwanza ya Nyerere.
Hiyo mishahara ya ubunge pia ipunguzwe iwe Kama ya Waalimu na tuone ni nani atakimbilia kwenda humo Bungeni.
 
Wana madai ya Msingi sana.
UHALISIA ULIVYO
Kiukweli mazingira yaliyopo kwasasa katika chaguzi zetu hayatoi nafasi kwa upinzani kushinda nafasi yeyote ile isipokuwa kwa hisani, huruma au utashi wa CCM yenyewe....
Hili lilishasemwa sana sitaki nirudie.

Kukubali Uchaguzi katika mazingira haya ni kufanywa Watoto..
Ni kupoteza muda.
Nalisema hili kwasababu niliwahi kuwa msimamizi mkuu katika uchaguzi mdogo mwaka 2012 mahali fulani.
UGUMU WA AJENDA HII
Ugumu unatokana na ukweli kwamba CCM ndio wanufaika wa mfumo huu,
Na jeuri na kiburi chote cha CCM kipo hapa..
Hivyo sitarajii kuiona CCM ikikubali agenda hii kwa gharama zozote ziwazo.

Matishio au mashinikizo yeyote kutoka ama madhehebu ya dini au donor communities hayataweza kubadili msimamo wa CCM...
Kwasababu survival ya CCM hutegemea chaguzi za aina hii..

Sioni vilevile uwezekano wa vyama vingine kuungana na CHADEMA ili kuishinikiza CCM.

PENDEKEZO
1.CHADEMA ije na plan B au hata C
2.CHADEMA ikubali kukaa upya na CCM Waridhiane yale Mapungufu ya Sheria ya Uchaguzi kwa utaratibu wa Give and Take...ili hata waki-win nusu utakuwa sio mwanzo mbaya..
haitokuwa kama kukosa kabisa.

Nje ya maridhiano, njia iliyobaki ya kuishinikiza CCM ni Civil War kupitia Maandamano yasiyokoma.
Civil war ya Kenya 2007 ndio result ya unayoyaona leo
Ninyi wahuni mwaka 2025 hakuna Uchafuzi. Tutafanya juu chini kuuzuia.
 
Bado miezi minne kampeni zianzie mwezi wa 8,waache waulizane maswali ya kijinga ya no election, reform hazijawahi kukamilika katika nchi yoyote ile. Hawana maandaliI yoyote Yale mpaka sasa
.......kwa huko kuchanganyikiwa ,mh.Lema ameisahau ile sheria ya 2015 iliyo na "act" yenye zuio la matumizi ya CRYPTOCURRENCY....juzi ametaka kuwepo na matumizi ya njia hiyo ili wapate michango itakayotumika kupunguza ukata pale makaoni kwao.....
 
Haina ugumu wowote. Kama Zelensky ambaye ni mzungu mwenzoo kafokewa vile na Trump, basi huyu bibi Kizimkazi atanaswa vibao kabisa
 
Ni kweli ni movement ngumu, na yote haya sababu ni Katiba yetu..Katiba hii ya sasa inampa Rais wa Tanzania "u Mungu mtu" lakini LAZIMA pawe na pa kuanzia..ndio hapa sasa..NO REFORMS, NO ELECTION

Kikubwa CHADEMA niwaombe mtumie wadau wote kushinikiza haya..Nchi Wafadhili, Viongozi wa Kidini, NGOs, Vyama vya Kitaaluma, Wazee Maarufu, Wahariri wa vyombo vya Habari na wengine ..Naona mmeshaanza,endeleeni..

Nii bora kupoteza vingi kwa muda mchache mje mpate VYOTE mbeleni
Inabidi wawashirikishe hata wana CCM wenye uzalendo na uchungu na nchi. Wana CCM wanaoona nchi hii inaelekea shimoni chini ya huu utawala, kukosekana kwa demokrasia ndani ya chama chao na ufisadi kutamalaki.

Naamini wapo wengi ambao hawaridhishwi na yanayoendelea, wakiunganisha nguvu kupata reforms itakuwa rahisi zaidi na kufikia malengo.
 
Wana madai ya Msingi sana.
UHALISIA ULIVYO
Kiukweli mazingira yaliyopo kwasasa katika chaguzi zetu hayatoi nafasi kwa upinzani kushinda nafasi yeyote ile isipokuwa kwa hisani, huruma au utashi wa CCM yenyewe....
Hili lilishasemwa sana sitaki nirudie.

Kukubali Uchaguzi katika mazingira haya ni kufanywa Watoto..
Ni kupoteza muda.
Nalisema hili kwasababu niliwahi kuwa msimamizi mkuu katika uchaguzi mdogo mwaka 2012 mahali fulani.
UGUMU WA AJENDA HII
Ugumu unatokana na ukweli kwamba CCM ndio wanufaika wa mfumo huu,
Na jeuri na kiburi chote cha CCM kipo hapa..
Hivyo sitarajii kuiona CCM ikikubali agenda hii kwa gharama zozote ziwazo.

Matishio au mashinikizo yeyote kutoka ama madhehebu ya dini au donor communities hayataweza kubadili msimamo wa CCM...
Kwasababu survival ya CCM hutegemea chaguzi za aina hii..

Sioni vilevile uwezekano wa vyama vingine kuungana na CHADEMA ili kuishinikiza CCM.

PENDEKEZO
1.CHADEMA ije na plan B au hata C
2.CHADEMA ikubali kukaa upya na CCM Waridhiane yale Mapungufu ya Sheria ya Uchaguzi kwa utaratibu wa Give and Take...ili hata waki-win nusu utakuwa sio mwanzo mbaya..
haitokuwa kama kukosa kabisa.

Nje ya maridhiano, njia iliyobaki ya kuishinikiza CCM ni Civil War kupitia Maandamano yasiyokoma.
Civil war ya Kenya 2007 ndio result ya unayoyaona leo

Huu ndio ukweli mchungu na uhalisia kuhusiana na suala hili la chaguzi za siasa hapa Tanzania. That's why unaona kwamba matumizi ya nguvu, machafuko na matumizi ya nguvu za Umma na mitutu ya bunduki haiachi kusikika katika nchi za kiAfrika hususani nyakati za Uchaguzi. Ni vigumu Sana katika bara la Afrika kuweza kutatua migogoro ya kisiasa iliyopo katika bara hili bila ya matimizi ya silaha za kijeshi au mitutu ya bunduki, it is completely impossible and inevitable!
Hapa ndipo matatizo mengi Sana waliyonayo waAfrika yanapoanzia!

Kwa bahati mbaya sana, karibia nchi zingine zote kabisa ambazo zina Katiba nzuri na zenye Mifumo mizuri ya Chaguzi za Siasa, basi utaona kwamba aidha ziliwahi kupitia hatua hizo ngumu Sana za machafuko ya kisiasa au kuwahi kupigana Vita za wao kwa wao. Japokuwa hiyo ni experience mbaya sana lakini kwa bahati mbaya sana haiepukiki, na kwa bahati mbaya tena, zile nchi ambazo hazijawahi kukumbwa na janga hilo nazo hazijifunzi kitu chochote kile kupitia kwa nchi zingine zilizowahi kupitia machafuko.
 
Civil war ?!!khaaa

Acha uzwazwa mkuu wangu....
Unashangaa Nini?
Hivi unafikiri hizo DHULUMA za kisiasa zinazoendelea hapa nchini mwisho wake hasa utakuwa nini? Unadhani kwamba hali hii itakuwa ni Mfumo wa kudumu wa maisha ya waTanzania Siku zote kabisa za uhai wao wa hapa duniani??? Is it?

Kumbuka kuwa hakuna marefu yasiyokuwa na ncha! Uvumilivu nao huwa unakuwa na mwisho wake!
 
Mara nyingi nikiona izi movement za chadema na vyama vingine vya upinzani ndo najigundua kumbe Mimi Nina akili nyingi sana kuliko.wanasiasa wengi sana nchi hii.,hiki chama kinaenda kumfia lissu, muda utaongea ila baada ya uchaguzi mkuu 2025 chadema inaenda kuzikwa rasmi..
 
Wana madai ya Msingi sana.
UHALISIA ULIVYO
Kiukweli mazingira yaliyopo kwasasa katika chaguzi zetu hayatoi nafasi kwa upinzani kushinda nafasi yeyote ile isipokuwa kwa hisani, huruma au utashi wa CCM yenyewe....
Hili lilishasemwa sana sitaki nirudie.

Kukubali Uchaguzi katika mazingira haya ni kufanywa Watoto..
Ni kupoteza muda.
Nalisema hili kwasababu niliwahi kuwa msimamizi mkuu katika uchaguzi mdogo mwaka 2012 mahali fulani.
UGUMU WA AJENDA HII
Ugumu unatokana na ukweli kwamba CCM ndio wanufaika wa mfumo huu,
Na jeuri na kiburi chote cha CCM kipo hapa..
Hivyo sitarajii kuiona CCM ikikubali agenda hii kwa gharama zozote ziwazo.

Matishio au mashinikizo yeyote kutoka ama madhehebu ya dini au donor communities hayataweza kubadili msimamo wa CCM...
Kwasababu survival ya CCM hutegemea chaguzi za aina hii..

Sioni vilevile uwezekano wa vyama vingine kuungana na CHADEMA ili kuishinikiza CCM.

PENDEKEZO
1.CHADEMA ije na plan B au hata C
2.CHADEMA ikubali kukaa upya na CCM Waridhiane yale Mapungufu ya Sheria ya Uchaguzi kwa utaratibu wa Give and Take...ili hata waki-win nusu utakuwa sio mwanzo mbaya..
haitokuwa kama kukosa kabisa.

Nje ya maridhiano, njia iliyobaki ya kuishinikiza CCM ni Civil War kupitia Maandamano yasiyokoma.
Civil war ya Kenya 2007 ndio result ya unayoyaona leo
Atakae shiriki uchaguzi bila reform uyo ni batili sasa ccm acha wajichanganye
 
Nakumbuka kati ya 2013-2014 pressure ya hitaji la katiba mpya ilikuwa juu sana.

Joto lilikuwa kali sana.
Ilikuwa ni mwendo wa midaharo kuanzia asubuhi hadi jioni.
Media zote headline ilikuwa ni hiyo.

Marehemu Celine Kombani, akiwa ndio Waziri wa katiba wakat ule alizomewa pale Nkuruma Hall kwny mdahalo mmoja.
 
Plan C washiriki uchaguzi mapambano yaendelee mwakani
Kama Chadema wakifaulu kuteka vizuri media coverage, kama ambavyo Michezo imefanikiwa leo, inaweza kusaidia kidogo.
Japo ni kazi ngumu kweli kweli.

Bahati mbaya CHADEMA ni kama haina au imefuta idara ya uenezi.

Hawa walitakiwa wasilale.
Waje na mbinu ili wahakikishe kaulimbiu hii ya Chadema inazungumzwa 24/7 na social media karibu zote iwe ni kwa njia ya kusapoti au hata kupinga..mradi tu daily Deadline iwe ni hoja ya Chadema.
 
Kama Chadema wakifaulu kuteka vizuri media coverage, kama ambavyo Michezo imefanikiwa leo, inaweza kusaidia kidogo.
Japo ni kazi ngumu kweli kweli.

Bahati mbaya CHADEMA ni kama haina au imefuta idara ya uenezi.

Hawa walitakiwa wasilale.
Waje na mbinu ili wahakikishe kaulimbiu hii ya Chadema inazungumzwa 24/7 na social media karibu zote iwe ni kwa njia ya kusapoti au hata kupinga..mradi tu daily Deadline iwe ni hoja ya Chadema.
Waniteue mimi na ester bulaya kuwa idara ya uenezi 😋
 
Wana madai ya Msingi sana.
UHALISIA ULIVYO
Kiukweli mazingira yaliyopo kwasasa katika chaguzi zetu hayatoi nafasi kwa upinzani kushinda nafasi yeyote ile isipokuwa kwa hisani, huruma au utashi wa CCM yenyewe....
Hili lilishasemwa sana sitaki nirudie.

Kukubali Uchaguzi katika mazingira haya ni kufanywa Watoto..
Ni kupoteza muda.
Nalisema hili kwasababu niliwahi kuwa msimamizi mkuu katika uchaguzi mdogo mwaka 2012 mahali fulani.
UGUMU WA AJENDA HII
Ugumu unatokana na ukweli kwamba CCM ndio wanufaika wa mfumo huu,
Na jeuri na kiburi chote cha CCM kipo hapa..
Hivyo sitarajii kuiona CCM ikikubali agenda hii kwa gharama zozote ziwazo.

Matishio au mashinikizo yeyote kutoka ama madhehebu ya dini au donor communities hayataweza kubadili msimamo wa CCM...
Kwasababu survival ya CCM hutegemea chaguzi za aina hii..

Sioni vilevile uwezekano wa vyama vingine kuungana na CHADEMA ili kuishinikiza CCM.

PENDEKEZO
1.CHADEMA ije na plan B au hata C
2.CHADEMA ikubali kukaa upya na CCM Waridhiane yale Mapungufu ya Sheria ya Uchaguzi kwa utaratibu wa Give and Take...ili hata waki-win nusu utakuwa sio mwanzo mbaya..
haitokuwa kama kukosa kabisa.

Nje ya maridhiano, njia iliyobaki ya kuishinikiza CCM ni Civil War kupitia Maandamano yasiyokoma.
Civil war ya Kenya 2007 ndio result ya unayoyaona leo
Naona mnaanza kuchanganyikiwa.

Civil war? Yani niache kutafuta ugali familia yangu nikapigane vita ili chadema iingie madarakani?
Option yenye uhalisia ni chadema kushiriki uchaguzi.
 
Back
Top Bottom