No reforms No election ni project nzuri lakini ngumu mno. Plan B & C ni ipi?

No reforms No election ni project nzuri lakini ngumu mno. Plan B & C ni ipi?

Naona mnaanza kuchanganyikiwa.

Civil war? Yani niache kutafuta ugali familia yangu nikapigane vita ili chadema iingie madarakani?
Option yenye uhalisia ni chadema kushiriki uchaguzi.
Uzuri wanasema vita haina macho, huko unakotaftia ugali pakigeuka uwanja wa mapambano akili yako itafunguka tu. Hii kitaalamu inaitwa “KUJIONGEZA”. Mtaji mbio!

Machafuko yaliyotokea Magomeni Mwembechai mwaka 1998 yalidhihirisha kuwa Civil war is real na inawezekana kabisa. Hata wale watafutaji ugali hawakuonekana mitaa ile.
 
Wana madai ya Msingi sana.
UHALISIA ULIVYO
Kiukweli mazingira yaliyopo kwasasa katika chaguzi zetu hayatoi nafasi kwa upinzani kushinda nafasi yeyote ile isipokuwa kwa hisani, huruma au utashi wa CCM yenyewe....
Hili lilishasemwa sana sitaki nirudie.

Kukubali Uchaguzi katika mazingira haya ni kufanywa Watoto..
Ni kupoteza muda.
Nalisema hili kwasababu niliwahi kuwa msimamizi mkuu katika uchaguzi mdogo mwaka 2012 mahali fulani.
UGUMU WA AJENDA HII
Ugumu unatokana na ukweli kwamba CCM ndio wanufaika wa mfumo huu,
Na jeuri na kiburi chote cha CCM kipo hapa..
Hivyo sitarajii kuiona CCM ikikubali agenda hii kwa gharama zozote ziwazo.

Matishio au mashinikizo yeyote kutoka ama madhehebu ya dini au donor communities hayataweza kubadili msimamo wa CCM...
Kwasababu survival ya CCM hutegemea chaguzi za aina hii..

Sioni vilevile uwezekano wa vyama vingine kuungana na CHADEMA ili kuishinikiza CCM.

PENDEKEZO
1.CHADEMA ije na plan B au hata C
2.CHADEMA ikubali kukaa upya na CCM Waridhiane yale Mapungufu ya Sheria ya Uchaguzi kwa utaratibu wa Give and Take...ili hata waki-win nusu utakuwa sio mwanzo mbaya..
haitokuwa kama kukosa kabisa.

Nje ya maridhiano, njia iliyobaki ya kuishinikiza CCM ni Civil War kupitia Maandamano yasiyokoma.
Civil war ya Kenya 2007 ndio result ya unayoyaona leo
Tatizo ni viongozi wa CHADEMA kuwa na uchu wa madaraka. Viongozi wao bado wanavizia mkono ukatike kama ile hadithi ya fisi!.
Tuliisha shauri tangu mwanzo kuwa CHADEMA Kama chama kikuu cha upinzani wasishiriki uchaguzi wowote unaofuata baada ya kupata uzoefu wa uchafuzi wa 2019/20 kwa sababu CCM watafanya yao ili washinde, CHADEMA kwa mshangao mkubwa wakashiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa mwaka huu ambao umekuja kuthibitisha kuwa hawawezi kushinda kamwe kwa mtindo huu.

Sisi wengine tuliishatangaza kutokwenda kupiga kura hadi kuwe na meaningful reforms na mara zote tunaangushwa na hao hao CHADEMA ambao kama chama kikuu cha upinzani bado hawaamini kuwa wakisimamia kidete hoja yao ya No reforms no election watafanikiwa... Badala yake wameanza kugwaya vyama vidogo vidogo visivyo na ushawishi eti wao wakishiriki uchaguzi utakuwa crédible..... Hapana!!!

CHADEMA msishiriki uchaguzi huu wa 2025 kama hakuna reforms, nyie jikiteni kwenye hoja ya Reforms na katiba mpya kama tulivyodai uhuru ...CCM safari hii hawataweza kujitangazia ushindi mahali penye ushahidi wa uchafuzi na hila....Huo ndio ukweli unaowatisha watawala sasa hivi.
 
Naona mnaanza kuchanganyikiwa.

Civil war? Yani niache kutafuta ugali familia yangu nikapigane vita ili chadema iingie madarakani?
Option yenye uhalisia ni chadema kushiriki uchaguzi.
Nafikiri haujui unachosema hapa.

Hivi kwa historia ya Tanzania, kuna mikoa iliyokuwa na utulivu na 'amani' iliyopitiliza Kama mikoa ya Kusini ya Lindi na Mtwara?
Wewe katika maisha yako hapa Tanzania, Je, uliwahi kufikiri au kutarajia kwamba Mikoa hiyo ya Lindi na Mtwara ingeweza kukumbwa na Vurugu kubwa sana kiasi kile wakati ule wa Vurugu za Gesi zilizotokea huko kwenye mikoa hiyo?

Wewe ulitarajia kwamba mikoa hiyo ya Lindi na Mtwara ingeweza kulipuka kwa vurugu kama vile ilivyotokea huko??

Ukichunguza kwa umakini Sana utagundua kwamba Watu/Wananchi wengi Sana hapa nchini wanafahamu kuwa kuna baadhi ya maeneo au mikoa fulani fulani hivi kama vile Tarime-Mara, Arusha, au Mbeya ndio maeneo yenye Watu ambao ni watata, ambao wanaweza kuanzisha vurugu kiurahisi muda wowote ule. Lakini kumbe kiuhalisia hali ipo tofaufi kabisa na fikra hizi za Watu wengi, Lindi na Mtwara zilithibitisha kuhusu suala hili kupitia zile Vurugu za Gesi.
 
Wana madai ya Msingi sana.
UHALISIA ULIVYO
Kiukweli mazingira yaliyopo kwasasa katika chaguzi zetu hayatoi nafasi kwa upinzani kushinda nafasi yeyote ile isipokuwa kwa hisani, huruma au utashi wa CCM yenyewe....
Hili lilishasemwa sana sitaki nirudie.

Kukubali Uchaguzi katika mazingira haya ni kufanywa Watoto..
Ni kupoteza muda.
Nalisema hili kwasababu niliwahi kuwa msimamizi mkuu katika uchaguzi mdogo mwaka 2012 mahali fulani.
UGUMU WA AJENDA HII
Ugumu unatokana na ukweli kwamba CCM ndio wanufaika wa mfumo huu,
Na jeuri na kiburi chote cha CCM kipo hapa..
Hivyo sitarajii kuiona CCM ikikubali agenda hii kwa gharama zozote ziwazo.

Matishio au mashinikizo yeyote kutoka ama madhehebu ya dini au donor communities hayataweza kubadili msimamo wa CCM...
Kwasababu survival ya CCM hutegemea chaguzi za aina hii..

Sioni vilevile uwezekano wa vyama vingine kuungana na CHADEMA ili kuishinikiza CCM.

PENDEKEZO
1.CHADEMA ije na plan B au hata C
2.CHADEMA ikubali kukaa upya na CCM Waridhiane yale Mapungufu ya Sheria ya Uchaguzi kwa utaratibu wa Give and Take...ili hata waki-win nusu utakuwa sio mwanzo mbaya..
haitokuwa kama kukosa kabisa.

Nje ya maridhiano, njia iliyobaki ya kuishinikiza CCM ni Civil War kupitia Maandamano yasiyokoma.
Civil war ya Kenya 2007 ndio result ya unayoyaona leo
Ccm haiaminiki tena hakuna kukaa chini na ccm, njia ya no reforms no election ni njia bora na sahihi, baadae kidogo itaeleweka na italeta impacts kuwa na subira.

Lisu anawajua vizuri ccm huwezi kukaa na ccm mkazungumza kuhusu chaguzi na wakakuelewa watakuhadaa tu.
 
Tatizo ni viongozi wa CHADEMA kuwa na uchu wa madaraka. Viongozi wao bado wanavizia mkono ukatike kama ile hadithi ya fisi!.
Tuliisha shauri tangu mwanzo kuwa CHADEMA Kama chama kikuu cha upinzani wasishiriki uchaguzi wowote unaofuata baada ya kupata uzoefu wa uchafuzi wa 2019/20 kwa sababu CCM watafanya yao ili washinde, CHADEMA kwa mshangao mkubwa wakashiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa mwaka huu ambao umekuja kuthibitisha kuwa hawawezi kushinda kamwe kwa mtindo huu.

Sisi wengine tuliishatangaza kutokwenda kupiga kura hadi kuwe na meaningful reforms na mara zote tunaangushwa na hao hao CHADEMA ambao kama chama kikuu cha upinzani bado hawaamini kuwa wakisimamia kidete hoja yao ya No reforms no election watafanikiwa... Badala yake wameanza kugwaya vyama vidogo vidogo visivyo na ushawishi eti wao wakishiriki uchaguzi utakuwa crédible..... Hapana!!!

CHADEMA msishiriki uchaguzi huu wa 2025 kama hakuna reforms, nyie jikiteni kwenye hoja ya Reforms na katiba mpya kama tulivyodai uhuru ...CCM safari hii hawataweza kujitangazia ushindi mahali penye ushahidi wa uchafuzi na hila....Huo ndio ukweli unaowatisha watawala sasa hivi.
Sema mbowe sio chadema
 
Huu ujumbe wa no reform, no election inabidi uwekwe kuonyesha jinsi unavyogusa moja kwa moja na kuchangia umaskini na ugumu wa maisha ya kila siku kwa Watanzania wengi.

Kwamba, ufisadi, rushwa, ukosefu wa maji, umeme, huduma za afya, elimu, miundombinu ipo hivyo sababu watawala hajali maslahi ya wananchi wala hawategemei kura zao au kuwajibishwa na wananchi.

Bila mabadiliko, hakuna chaguzi imekaa kisiasa zaidi, utaeleweka kwa watu wanaofuatilia siasa ila sio wananchi wengi hasa vijijini.
 
Nakumbuka kati ya 2013-2014 pressure ya hitaji la katiba mpya ilikuwa juu sana.

Joto lilikuwa kali sana.
Ilikuwa ni mwendo wa midaharo kuanzia asubuhi hadi jioni.
Media zote headline ilikuwa ni hiyo.

Marehemu Celine Kombani, akiwa ndio Waziri wa katiba wakat ule alizomewa pale Nkuruma Hall kwny mdahalo mmoja.
Nikweli na mambo yalikuaja kuwa moto pale ilipozaliwa ukawa, ila ccm wakaingia mzigoni wakawatawanyisha lipumba na dr Slaa na ikumbukwe walikua na nguvu ndani ya ukawa, ule umoja ule ungeenda mpaka mwisho wa uchaguzi , kingekua ni kivumbi japo ujio wa lowassa pia ilikua ni kivumbi
 
Unashangaa Nini?
Hivi unafikiri hizo DHULUMA za kisiasa zinazoendelea hapa nchini mwisho wake hasa utakuwa nini? Unadhani kwamba hali hii itakuwa ni Mfumo wa kudumu wa maisha ya waTanzania Siku zote kabisa za uhai wao wa hapa duniani??? Is it?

Kumbuka kuwa hakuna marefu yasiyokuwa na ncha! Uvumilivu nao huwa unakuwa na mwisho wake!
Hatakuelewa
 
Naona mnaanza kuchanganyikiwa.

Civil war? Yani niache kutafuta ugali familia yangu nikapigane vita ili chadema iingie madarakani?
Option yenye uhalisia ni chadema kushiriki uchaguzi.
Ishu sio chadema ishu ni wananchi kuchagua kiongozi wanaemuona anafaa na sio kuchaguliwa na jeshi la polisi
 
Hii Civil War ndii Plan D.
########
Mathalan marekebisho yatatokea, tena yatokee kwa kukubalika na masuala yote tunayotaka wana CHADEMA, na vyama vingine vya upinzani, yaani sheria za uchaguzi, katiba mpya, tume ya uchaguzi kadha wa kadha?

Je, tutakuwa tayari kuingia Uchaguzi ikiwa bado ni miezi michache sana imebakia kufanya kampeni?

Tuna sera gani za kuwauzia wananchi?
 
Wana madai ya Msingi sana.
UHALISIA ULIVYO
Kiukweli mazingira yaliyopo kwasasa katika chaguzi zetu hayatoi nafasi kwa upinzani kushinda nafasi yeyote ile isipokuwa kwa hisani, huruma au utashi wa CCM yenyewe....
Hili lilishasemwa sana sitaki nirudie.

Kukubali Uchaguzi katika mazingira haya ni kufanywa Watoto..
Ni kupoteza muda.
Nalisema hili kwasababu niliwahi kuwa msimamizi mkuu katika uchaguzi mdogo mwaka 2012 mahali fulani.
UGUMU WA AJENDA HII
Ugumu unatokana na ukweli kwamba CCM ndio wanufaika wa mfumo huu,
Na jeuri na kiburi chote cha CCM kipo hapa..
Hivyo sitarajii kuiona CCM ikikubali agenda hii kwa gharama zozote ziwazo.

Matishio au mashinikizo yeyote kutoka ama madhehebu ya dini au donor communities hayataweza kubadili msimamo wa CCM...
Kwasababu survival ya CCM hutegemea chaguzi za aina hii..

Sioni vilevile uwezekano wa vyama vingine kuungana na CHADEMA ili kuishinikiza CCM.

PENDEKEZO
1.CHADEMA ije na plan B au hata C
2.CHADEMA ikubali kukaa upya na CCM Waridhiane yale Mapungufu ya Sheria ya Uchaguzi kwa utaratibu wa Give and Take...ili hata waki-win nusu utakuwa sio mwanzo mbaya..
haitokuwa kama kukosa kabisa.

Nje ya maridhiano, njia iliyobaki ya kuishinikiza CCM ni Civil War kupitia Maandamano yasiyokoma.
Civil war ya Kenya 2007 ndio result ya unayoyaona leo
Hatujasema bila Reforms tutasusia, tumesema bila reforms tutahakikisha Uchaguzi haufanyiki kabisa.
 
Hii Civil War ndii Plan D.
########
Mathalan marekebisho yatatokea, tena yatokee kwa kukubalika na masuala yote tunayotaka wana CHADEMA, na vyama vingine vya upinzani, yaani sheria za uchaguzi, katiba mpya, tume ya uchaguzi kadha wa kadha?

Je, tutakuwa tayari kuingia Uchaguzi ikiwa bado ni miezi michache sana imebakia kufanya kampeni?

Tuna sera gani za kuwauzia wananchi?
Sera zipi utakazouza na baada ya kuuza hizo sera unategemea nini kama CCM tayari washajipa ushindi🤣?

Yani ni sawa na kushindana mbio fupi na mwenzio aliyejifunga maboya halafu wewe kwa hila umefungwa matofali miguuni. Ni wazi kuwa atakushinda mbio tu sababu hamna Fairness. Kinachopiganiwa hapo ni fairplay, kama maboya basi wote mfungwe maboya sio mmoja amefunga tofali mwengine boya.
 
Back
Top Bottom