Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,417
- 5,579
Uzuri wanasema vita haina macho, huko unakotaftia ugali pakigeuka uwanja wa mapambano akili yako itafunguka tu. Hii kitaalamu inaitwa āKUJIONGEZAā. Mtaji mbio!Naona mnaanza kuchanganyikiwa.
Civil war? Yani niache kutafuta ugali familia yangu nikapigane vita ili chadema iingie madarakani?
Option yenye uhalisia ni chadema kushiriki uchaguzi.
Mimi sitokaa nipigane vita na sina maisha duni. Naamini katika kubadilishana madaraka kupitia sanduku la kura.Ndio maana hii nchi Kuna maisha duni kwa watu wengi.
Tatizo ni viongozi wa CHADEMA kuwa na uchu wa madaraka. Viongozi wao bado wanavizia mkono ukatike kama ile hadithi ya fisi!.Wana madai ya Msingi sana.
UHALISIA ULIVYO
Kiukweli mazingira yaliyopo kwasasa katika chaguzi zetu hayatoi nafasi kwa upinzani kushinda nafasi yeyote ile isipokuwa kwa hisani, huruma au utashi wa CCM yenyewe....
Hili lilishasemwa sana sitaki nirudie.
Kukubali Uchaguzi katika mazingira haya ni kufanywa Watoto..
Ni kupoteza muda.
Nalisema hili kwasababu niliwahi kuwa msimamizi mkuu katika uchaguzi mdogo mwaka 2012 mahali fulani.
UGUMU WA AJENDA HII
Ugumu unatokana na ukweli kwamba CCM ndio wanufaika wa mfumo huu,
Na jeuri na kiburi chote cha CCM kipo hapa..
Hivyo sitarajii kuiona CCM ikikubali agenda hii kwa gharama zozote ziwazo.
Matishio au mashinikizo yeyote kutoka ama madhehebu ya dini au donor communities hayataweza kubadili msimamo wa CCM...
Kwasababu survival ya CCM hutegemea chaguzi za aina hii..
Sioni vilevile uwezekano wa vyama vingine kuungana na CHADEMA ili kuishinikiza CCM.
PENDEKEZO
1.CHADEMA ije na plan B au hata C
2.CHADEMA ikubali kukaa upya na CCM Waridhiane yale Mapungufu ya Sheria ya Uchaguzi kwa utaratibu wa Give and Take...ili hata waki-win nusu utakuwa sio mwanzo mbaya..
haitokuwa kama kukosa kabisa.
Nje ya maridhiano, njia iliyobaki ya kuishinikiza CCM ni Civil War kupitia Maandamano yasiyokoma.
Civil war ya Kenya 2007 ndio result ya unayoyaona leo
Nafikiri haujui unachosema hapa.Naona mnaanza kuchanganyikiwa.
Civil war? Yani niache kutafuta ugali familia yangu nikapigane vita ili chadema iingie madarakani?
Option yenye uhalisia ni chadema kushiriki uchaguzi.
Plan A ni njia sahihi kwa asilimia šÆ na inapaswa iwe endelevu na iwe agenda ya CHADEMA/ ACT-Wazalendo kwa miaka hata mitano ijayo.Plan C washiriki uchaguzi mapambano yaendelee mwakani
Ccm haiaminiki tena hakuna kukaa chini na ccm, njia ya no reforms no election ni njia bora na sahihi, baadae kidogo itaeleweka na italeta impacts kuwa na subira.Wana madai ya Msingi sana.
UHALISIA ULIVYO
Kiukweli mazingira yaliyopo kwasasa katika chaguzi zetu hayatoi nafasi kwa upinzani kushinda nafasi yeyote ile isipokuwa kwa hisani, huruma au utashi wa CCM yenyewe....
Hili lilishasemwa sana sitaki nirudie.
Kukubali Uchaguzi katika mazingira haya ni kufanywa Watoto..
Ni kupoteza muda.
Nalisema hili kwasababu niliwahi kuwa msimamizi mkuu katika uchaguzi mdogo mwaka 2012 mahali fulani.
UGUMU WA AJENDA HII
Ugumu unatokana na ukweli kwamba CCM ndio wanufaika wa mfumo huu,
Na jeuri na kiburi chote cha CCM kipo hapa..
Hivyo sitarajii kuiona CCM ikikubali agenda hii kwa gharama zozote ziwazo.
Matishio au mashinikizo yeyote kutoka ama madhehebu ya dini au donor communities hayataweza kubadili msimamo wa CCM...
Kwasababu survival ya CCM hutegemea chaguzi za aina hii..
Sioni vilevile uwezekano wa vyama vingine kuungana na CHADEMA ili kuishinikiza CCM.
PENDEKEZO
1.CHADEMA ije na plan B au hata C
2.CHADEMA ikubali kukaa upya na CCM Waridhiane yale Mapungufu ya Sheria ya Uchaguzi kwa utaratibu wa Give and Take...ili hata waki-win nusu utakuwa sio mwanzo mbaya..
haitokuwa kama kukosa kabisa.
Nje ya maridhiano, njia iliyobaki ya kuishinikiza CCM ni Civil War kupitia Maandamano yasiyokoma.
Civil war ya Kenya 2007 ndio result ya unayoyaona leo
Sema mbowe sio chademaTatizo ni viongozi wa CHADEMA kuwa na uchu wa madaraka. Viongozi wao bado wanavizia mkono ukatike kama ile hadithi ya fisi!.
Tuliisha shauri tangu mwanzo kuwa CHADEMA Kama chama kikuu cha upinzani wasishiriki uchaguzi wowote unaofuata baada ya kupata uzoefu wa uchafuzi wa 2019/20 kwa sababu CCM watafanya yao ili washinde, CHADEMA kwa mshangao mkubwa wakashiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa mwaka huu ambao umekuja kuthibitisha kuwa hawawezi kushinda kamwe kwa mtindo huu.
Sisi wengine tuliishatangaza kutokwenda kupiga kura hadi kuwe na meaningful reforms na mara zote tunaangushwa na hao hao CHADEMA ambao kama chama kikuu cha upinzani bado hawaamini kuwa wakisimamia kidete hoja yao ya No reforms no election watafanikiwa... Badala yake wameanza kugwaya vyama vidogo vidogo visivyo na ushawishi eti wao wakishiriki uchaguzi utakuwa crƩdible..... Hapana!!!
CHADEMA msishiriki uchaguzi huu wa 2025 kama hakuna reforms, nyie jikiteni kwenye hoja ya Reforms na katiba mpya kama tulivyodai uhuru ...CCM safari hii hawataweza kujitangazia ushindi mahali penye ushahidi wa uchafuzi na hila....Huo ndio ukweli unaowatisha watawala sasa hivi.
Na ndio maana nimeweka matumaini kuwa sasa No reform no election itatekelezwa ipaswavyo bila kuhujumiwaSema mbowe sio chadema
Nikweli na mambo yalikuaja kuwa moto pale ilipozaliwa ukawa, ila ccm wakaingia mzigoni wakawatawanyisha lipumba na dr Slaa na ikumbukwe walikua na nguvu ndani ya ukawa, ule umoja ule ungeenda mpaka mwisho wa uchaguzi , kingekua ni kivumbi japo ujio wa lowassa pia ilikua ni kivumbiNakumbuka kati ya 2013-2014 pressure ya hitaji la katiba mpya ilikuwa juu sana.
Joto lilikuwa kali sana.
Ilikuwa ni mwendo wa midaharo kuanzia asubuhi hadi jioni.
Media zote headline ilikuwa ni hiyo.
Marehemu Celine Kombani, akiwa ndio Waziri wa katiba wakat ule alizomewa pale Nkuruma Hall kwny mdahalo mmoja.
HatakuelewaUnashangaa Nini?
Hivi unafikiri hizo DHULUMA za kisiasa zinazoendelea hapa nchini mwisho wake hasa utakuwa nini? Unadhani kwamba hali hii itakuwa ni Mfumo wa kudumu wa maisha ya waTanzania Siku zote kabisa za uhai wao wa hapa duniani??? Is it?
Kumbuka kuwa hakuna marefu yasiyokuwa na ncha! Uvumilivu nao huwa unakuwa na mwisho wake!
Ishu sio chadema ishu ni wananchi kuchagua kiongozi wanaemuona anafaa na sio kuchaguliwa na jeshi la polisiNaona mnaanza kuchanganyikiwa.
Civil war? Yani niache kutafuta ugali familia yangu nikapigane vita ili chadema iingie madarakani?
Option yenye uhalisia ni chadema kushiriki uchaguzi.
Hatujasema bila Reforms tutasusia, tumesema bila reforms tutahakikisha Uchaguzi haufanyiki kabisa.Plan C washiriki uchaguzi mapambano yaendelee mwakani
Hatujasema bila Reforms tutasusia, tumesema bila reforms tutahakikisha Uchaguzi haufanyiki kabisa.Wana madai ya Msingi sana.
UHALISIA ULIVYO
Kiukweli mazingira yaliyopo kwasasa katika chaguzi zetu hayatoi nafasi kwa upinzani kushinda nafasi yeyote ile isipokuwa kwa hisani, huruma au utashi wa CCM yenyewe....
Hili lilishasemwa sana sitaki nirudie.
Kukubali Uchaguzi katika mazingira haya ni kufanywa Watoto..
Ni kupoteza muda.
Nalisema hili kwasababu niliwahi kuwa msimamizi mkuu katika uchaguzi mdogo mwaka 2012 mahali fulani.
UGUMU WA AJENDA HII
Ugumu unatokana na ukweli kwamba CCM ndio wanufaika wa mfumo huu,
Na jeuri na kiburi chote cha CCM kipo hapa..
Hivyo sitarajii kuiona CCM ikikubali agenda hii kwa gharama zozote ziwazo.
Matishio au mashinikizo yeyote kutoka ama madhehebu ya dini au donor communities hayataweza kubadili msimamo wa CCM...
Kwasababu survival ya CCM hutegemea chaguzi za aina hii..
Sioni vilevile uwezekano wa vyama vingine kuungana na CHADEMA ili kuishinikiza CCM.
PENDEKEZO
1.CHADEMA ije na plan B au hata C
2.CHADEMA ikubali kukaa upya na CCM Waridhiane yale Mapungufu ya Sheria ya Uchaguzi kwa utaratibu wa Give and Take...ili hata waki-win nusu utakuwa sio mwanzo mbaya..
haitokuwa kama kukosa kabisa.
Nje ya maridhiano, njia iliyobaki ya kuishinikiza CCM ni Civil War kupitia Maandamano yasiyokoma.
Civil war ya Kenya 2007 ndio result ya unayoyaona leo
Sera zipi utakazouza na baada ya kuuza hizo sera unategemea nini kama CCM tayari washajipa ushindi�Hii Civil War ndii Plan D.
########
Mathalan marekebisho yatatokea, tena yatokee kwa kukubalika na masuala yote tunayotaka wana CHADEMA, na vyama vingine vya upinzani, yaani sheria za uchaguzi, katiba mpya, tume ya uchaguzi kadha wa kadha?
Je, tutakuwa tayari kuingia Uchaguzi ikiwa bado ni miezi michache sana imebakia kufanya kampeni?
Tuna sera gani za kuwauzia wananchi?