Car4Sale Noah kwa bei ya kanisani

Mimi nataka nikununue wewe Bei yng 5.3ml kama upi tayar njoo pm
 
Nyanama, Bujingwa, Fumagila.
nikirudi Totaongea
 
Yanazengua nn mkuu?
Body laini sana,hazivumilii barabara mbovu,zinatumia mafuta mengi sana kwenye uchomaji wake tofauti na NOA za kwanza..ukigusa kidogo body inakulazimu ununue kipande kizima cha mahala ulipo gusa kwa maana ya kugonga ili irudi mahala pake,nje na hivyo inakua kama muhogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…