Mwita Mtu Mrefu
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 739
- 1,113
- Thread starter
- #21
Umenitukana mbele ya dadako mkuuAcha dharau fala we[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huu ushemeji utadumu kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenitukana mbele ya dadako mkuuAcha dharau fala we[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
2.1Milion tumalize kazi mkuu
Nawapa Passo namba D kwa pamoja kwa milioni 4.5Nataka Runx Bei yng 2.5ml mzee baba
Hii MWITA ndio gani Specialist!??NAKUTAFUTIA GARI KWA OFA YAKO
IWE IST, PASSO, SIENTA, NOAH, WISH, CARINA ,MWITA, RAUM, NADIA, SUZUKI CARRY, RUNX, ALLEX, PORTE N.K
0744033555 Dar es salaam
2.1Milion tumalize kazi mkuu
Hizi hela bado ziko below averageNataka Runx Bei yng 2.5ml mzee baba
Nilikuwa natafuta mwana JF makiniHii MWITA ndio gani Specialist!??
Asante Ndg yangu 🙂Nilikuwa natafuta mwana JF makini
Hatimaye nimekupata.
Hongera sana mkuu kwa kusoma herufi kwa herufi nukta hadi.mkato
MWITA ni jina la mzee wangu tu nimempaisha hapo hahahaa
Mkuu ww unakula ngap ya udalali apo? Isijekua unamzidi mwenye chombo! [emoji3][emoji3][emoji3]Hizi hela bado ziko below average
Kwa ushauri tu kaeni mjadiliane pamoja muunganishe nguvu kama kweli mnataka kutembelea miguu minne, mi nawapa passo namba D kwa milioni 4.
Mtapangiana shift za kuiendesha.
Laki 6 iliyobaki ni mafuta ya miezi miwili na nusu
2.5 mkuu..kijana anataka kumalizia shida zake apo! Kwel kufa kufaana!Gari yenyewe namba B ukute mwenyewe gari anata ata m3 ila madalali na tamaa na njaa zao inakuwa jau
Wewe unataka gari kweli?Gari yenyewe namba B ukute mwenyewe gari anata ata m3 ila madalali na tamaa na njaa zao inakuwa jau
Toka nikatae kukuuzia IST namba D kwa hela yako ya mboga naona umeniandama.Mkuu ww unakula ngap ya udalali apo? Isijekua unamzidi mwenye chombo! [emoji3][emoji3][emoji3]
Eeeh Mura kanambe bhatana kenibho kino kehikile tigha mbahange..Mura weito
Hahah mbuya?
nimecheka sana dah
haupo serious
yaani wachange hela wanunue gari then waweke ratiba ya kuendesha!
Toka nikatae kukuuzia IST namba D kwa hela yako ya mboga naona umeniandama.
Tafuta hela kijana taarabu mwachie asha mashauzi
hahahahahahaaNirivyoona Neno Noah na Kanisani nikafungua faster nikizani ni mdudu
Kipindi yanatoka niliya nunua matatu kwa mpigo kwa maana ya kukodisha..sitaki hata kuyaonaUnayo kama hio? Au unaleta hearsay?
Yanazengua nn mkuu?Kipindi yanatoka niliya nunua matatu kwa mpigo kwa maana ya kukodisha..sitaki hata kuyaona
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] we fala acha ujingaNawapa Passo namba D kwa pamoja kwa milioni 4.5
Wekeaneni shift za kuitumia
Hii imetengenezewa Tarime bossHii MWITA ndio gani Specialist!??
Chukua 3.4 cash mkuu uipakie kwenye treni ije Arusha 0621097158Gari ni Auto Gear
Gear box na Engine vyote viko vizuri.
Mchungaji kasema niiuze kwa 5.6mil tu.
Location: magomeni makuti, Dar
Piga simu mapema 0744033555
View attachment 1690505View attachment 1690506View attachment 1690507View attachment 1690508View attachment 1690509