Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,992
nobel kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
punguza povuNyie akili zenu zipo kama za funza, sasa hapo anayestahili tuzo ni nani na muhalifu ni nani?
Kuwaelewa nyie inahitaji bangi tani mbili.
Wewe ndo hujui historia ya kenya mpaka kufika hapo ilipo. Kwenda mahakamani ilikua ndo nia mbadala wa kuepusha ghasia zisitokee, angezuia mahakama kufanya kazi pangechimbika. Angekua ameridhika asingewaita majaji waliotoa hukumu kua ni wakora.Kenyatta bado ni shujaa wa demokrasia Africa, hata Marais wenzake wa Africa wanamshangaa kukubali kwake kuiachia mahakama mshike masharubu kiasi hiki huku akiwa Amirijeshi mkuu wa Kenya. Kitu kama hicho ni nadra kutokea kwenye nchi nyingine za Africa.
Aaa suala la machafuko na kupoteza maisha ya wananchi sio jambo kubwa sana linaloogopwa na viongozi wa Afrika. Mbona Burundi, DRC, Rwanda, Uganda, Sudani Kusini, Sudani, Comoro na kwingineko Afrika damu zilimwagika na bado zinamwagika hadi leo ili kupata urais au kuendelea kubaki madarakani?Wewe ndo hujui historia ya kenya mpaka kufika hapo ilipo. Kwenda mahakamani ilikua ndo nia mbadala wa kuepusha ghasia zisitokee, angezuia mahakama kufanya kazi pangechimbika. Angekua ameridhika asingewaita majaji waliotoa hukumu kua ni wakora.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado ndiye Amirijeshi Mkuu wa Kenya, kama akitaka hata leo anaweza kukatalia madarakani kama wanavyofanya wengine. Lazima tukubali kuwa Kenyatta sio kama wengine Afrika. Huu ni mwendelezo tu wa busara zake, kumbuka kuwa Hata wakati wa uongozi wake wapinzani wake walikuwa huru kusema na kufanya mikutano yao bila bughudha kitu ambacho ni marufuku kwa mataifa mengine..Mwanzoni alidhani wasingebatilisha matokeo lakini ndio maana akawaachia. Ila sasa hivi ameshabadilika na jana alisema kua majaji wakivaa magauni wanajiona wana akili kuliko wakenya wote
Sent using Jamii Forums mobile app
Nobel kwa wizi wa kura? Mimi nadhan Jaji Mkuu ndie anaestahil hiyo tuzo kwa kuhakiki haki iliyokua imeporwa na wez inatendeka
Sent using Jamii Forums mobile app