Noebillions ni tapeli mkubwa wa forex Tanzania

Mkuu nakudm Ila umelimit please nahitaji msaada wako boss
 
Vijana wa kiTanzania ni wavivu katika kila kitu hataki kusoma kuhusu forex marketing ajue kila kitu, ajue namna ya kuanalyze soko asiwe mtumwa wa signals, bots na kumlipa mtu akufanyie trading. Tafuta tu bundle lako ingia youtube mtafute ICT mentorship anza na ICT mentorship core content 1 - 10 months kila month ina 8 - 14 videos in it then uje ICT mentorship 2022 zipo video 41, anafundisha vzuri sana ukimaliza video zake na kuzielewa vzuri hutakua mtumwa wa kina Noeli. Acha uvivu, acha tamaa ya mafanikio ya haraka life ni kama ngazi one step kila siku.
 
zipo, infact 90% ya trading \ote znafanyika na bots
Kama wewe ni mgeni na trading sawa, ila kama upo kwenye game ya trading zaidi ya miaka 2 na bado unayaamaini hayo madudu basi endelea kujifunza. Ingekuwa hayo madude yanaleta faida watu wasingepoteza muda hata wa kujifunza PA.
Trading ina wapumbavu wengi sana ambao ndio "exit liquidity" ya wachache wanaoijua trading.
 

sio tu nayaaamini bali nayatengeneza pia, kama ulikua unadhan trading inafanyika kwa kusoma charts pole sana

View: https://www.youtube.com/watch?v=z4nCTdQlH8w&t=514s&pp=ygUOaGZ0IGV4YXBsYWluZWQ%3Dusipoelewa hii video una safari ndefu sana
 
 
kiuhalisia una safari ndefu sana
 
Hapo tatizo ni wewe,Wewe ndo ulianza kujitapeli kiakili. Huyo alimalizia tu. Kikubwa jifunze tokea kwenye kosa ulilolifanya.
 
Utapeli ni mwingi mno...yupo mwingine namsikie redioni ati snafundisha watu kutengeneza sabuni sijui kupika na kupamba ati utakuwa bilionea kmaaamake.
 
Post ya kwanza na umesepa.

Tupe ramani basi tusiliwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…