Noebillions ni tapeli mkubwa wa forex Tanzania

linked in, quora na huo ujinga mwingine ndio your sources of these bogus information? Really? Kumbe napoteza muda wangu hapa, kwa hiyo kule WallStreet,Nasdaq, NYSE wanatumia Bots au sio??🤣🤣

nkuongezee na ya mwisho, the most profitable trader to ever live

View: https://www.youtube.com/watch?v=U5kIdtMJGc8&pp=ygULamltIHNpbW9ucyA%3D
sasa wewe leta trader yoyote aliefanikiwa bila kutumia softwares, utuambie tena CNN, BBC ni upuuzi wewe una akili kuliko wao!
 
Unajieleza sana Mkuu, unachotakiwa kuelewa ni kwamba no body is going to buy or subscribe to your "Scam Bot" Alafu mwanaume hutakiwi kujieleza sana. Kwa jinsi unavyotumia nguvu nyingi kujieleza unazidi kujiongezea red flags kwa yeyote mwenye akili timamu na ni tabia za matapeli.
 

cha muhimu ufunge tu domo kitu hikijui tuliza wenge mm siuzi bot
 

Analiuza bei gani ilo bot
 
Alikuitaaa
 
Mbona hizo options za Mpesa hamna,
 
Aisee huyo inano namfatilia sana recently ila nikiangalia page kama instagram naona kama wale followers ni pranks kwenye comment section. Nahitaji real life reviews kama wewe uliiona live liki trade maana utapeli ni mwingi.
 
Deposit Fuata Hatua zifuatazo
Login kwenye account yako>>Cashier>>Deposit>>Deposit via bank wire,Card and E-wallet>>Chagua TIGOPESA,MPESA/AIRTEL MONEY
jombaa, mbona option ya TigoPesa/Mpesa hazipo sizioni deriv. wamezitoa ama?
 
Pesa haina kelele ukisikia mtu anajiita bilionea hapo hamna kitu mdogo wangu siku nyingine usijae kwa mbwembwe za mtu kuwa ni tajiri pesa haina kelele kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…