Baba Rayhaan
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 634
- 436
Inatakiwa ukutane na mzee kifimbocheza wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah, ngoja nimsanue shemela kabisa usku huu.imebid ncheke hio ipo between ur nose na sensor zake tumia sabun ya marash kuogea na kusafisha pua hio halafu muite shem aje mlale akuachie haruf ya perfume problem solved
View attachment 2608743
Amka usiku sana usali kwa Imani yako mambo yataenda freshAh.,sasa dawa yake nini??
Yeah hvo ndio inabd ili upate exchange kidogo sema nae asje akaja hovyo😅😅inabd awe mtu flan ili hewa ijchanganyeDah, ngoja nimsanue shemela kabisa usku huu
Akin..ntajaribu ivoAmka usiku sana usali kwa Imani yako mambo yataenda fresh
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Huyo alikuwa mchawi na yawezekana amekufanyia uchawi wa nuksi ukataliwe na kuchukiwa na watu.Jana mida ya udubu nlikuwa naskilizia (dala)x2 nidandie kwenda Mwenge, Manyunyu yalkuwa yanakishi na dalili zlkuwa znaonesha soon kama sio hivi karibuni itakunya.
Ikaja bajaji chap jamaa anataka Buku atukimbize fasta, ila pale kituoni abiria walikuwa weusi kishenzi…wakakaza
Mi nkaona njitusu tu kwani jero shingapi hadi ulowe?
Nikaingia nkakaa ile siti ya nyuma peke yangu, tukawa tunaendelea kuskilizia abiria wa kuja kumalizia izo siti 2.
Akaja jamaa mmoja amevaa msuli akakaa pembeni yangu, tukawa mtu bee pale nyuma..
Tatizo likaanza sasa baada ya yule jamaa kukaa pale,yani harufu fulan ikatanda bajaji nzima kama kuna mbwa kafia mule,yani unaziba pua hamna tofauti na usipoziba mpaka machozi yanatiririka.
Nkaanza kujiuliza nini hiki? Au jamaa ametoka kutahiriwa nini? Lakini mbona kama jamaa ni mtu mzima 40+? Kwanini kavaa msuli unatema hivi?
Nikataka kushuka ila yule jamaa wa bajaji akawasha akimbize bajaji, sasa sijui alifanya vile kuniwahi kabla sjashuka au alifanya vile ili tuwahi kufika mwenge kabla hatujafia mle, maana aliondoka chap sana bajaji ikiwa na watu wawili 2.
nkataka kumwambia asimame fasta nshuke, ila nkahisi utakuwa kama unyanyapaaji kwa binadamu mwenzangu nkaamua nivumilie kibingwa.
Aisee kumbe nmetomber moto, leo ni siku ya pili bado naisikia ile harufu,nikilala nahisi mashuka yangu yametapaka hiyo harufu hata nguo mpya natoa kwenye begi nikiivaa nahisi ina ile harufu.
Nimefua nguo zote na kufanya usafi kwangu lakini bado naisikia.
Sasa swali kwenu waungwana,hii harufu ipo kichwani mwangu tu, is it just in my head au jamaa ameniroga baada ya kuona pale nlitaka kushuka?
Unamfahamu huyo mzee lakini? 😳Why, kwanini?