Nonda Shaaban ndiye mwanasoka mwenye mafanikio makubwa aliecheza Ligi Kuu Tanzania kwa miaka 20 iliyopita

Mbona umemsahau Jembe Ulaya...
 
Yanga ya wakati huo ilikuwa moto kweli kweli. Simba alikuwa anachezea kichapo. Nakumbuka ukuta ulijengwa na kina Ngandu Ramadhan kama beki 2, Keneth Pius Mkapa beki 3 huku katikati akikaa constatine Kimanda
 
Ukipitia Wikipedia, hakuna mahali inapoonyesha aliwahi kuichazea Yanga katika Senior career, kwa hiyo wala hawahesabu kama aliwahi kuichezea Yanga
Mtu muongo hukamatwa kwa ushahidi mujarabu kbs

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 

Attachments

  • Screenshot_20201226-215248.jpg
    35.8 KB · Views: 4
Sio Mtanzania, mnajivunia mgeni? hopeless
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…