Nonda Shaaban ndiye mwanasoka mwenye mafanikio makubwa aliecheza Ligi Kuu Tanzania kwa miaka 20 iliyopita

Nonda Shaaban ndiye mwanasoka mwenye mafanikio makubwa aliecheza Ligi Kuu Tanzania kwa miaka 20 iliyopita

Dah Kumbe humu kumejaa waliozaliwa baada ya 1995. Kama huna info yoyote ya huyu jamaa wakati yupo Bongo na Yanga lazima umezaliwa baada ya 1995.
 
nonda shaaban ni mchezaji pekee aliewahi kucheza ligi kuu Tz na kupata mafanikio makubwa kisoka kuliko mchezaji yoyote yule wa tanzania kwa zaidi ya miaka ishilini iliyopita unafikiri nini kifanyike ili tujikwamue hapa tulipo

Mafanikio Yake hayo Yametokana na Kujituma Kwake na Haswa Kutoridhika Kuchezea Yanga Na Nakumbuka Nonda Shaaban Papii Alikuwa na Tabia Ya Kukimbia Kutoka Mwenge hadi Tegeta Tena Mida Ya Saa 8 Mchana Jua Kali Huku Akina Mohamed Hussein Mmachinga na Wachezaji Wengine Wa Kibongo Wakimcheka na Kumdhihaki Kisha Taratibu Akawaacha na Kutimikia Bondeni Kukipiga na Vaal Professionals FC na Blackpool FC na Hatimaye Kutimkia Zake Ufaransa Olympic Marseille na Klabu Zingine Hadi Kuwa Maarufu, Tajiri na Nyota na Cha Kusikitisha Wale Wale Waliokuwa Wakimcheka Leo Amewajengea Hadi Nyumba hapa Jijini Dar na Wakitaka Kumsalimia ni Mpaka Kwa Ruhusa Maalum Kutoka Kwa Wapambe Wake. Wachezaji wa Tanzania Ni Vicha Ngumu na Pasua Kichwa.
 
Mafanikio Yake hayo Yametokana na Kujituma Kwake na Haswa Kutoridhika Kuchezea Yanga Na Nakumbuka Nonda Shaaban Papii Alikuwa na Tabia Ya Kukimbia Kutoka Mwenge hadi Tegeta Tena Mida Ya Saa 8 Mchana Jua Kali Huku Akina Mohamed Hussein Mmachinga na Wachezaji Wengine Wa Kibongo Wakimcheka na Kumdhihaki Kisha Taratibu Akawaacha na Kutimikia Bondeni Kukipiga na Vaal Professionals FC na Blackpool FC na Hatimaye Kutimkia Zake Ufaransa Olympic Marseille na Klabu Zingine Hadi Kuwa Maarufu, Tajiri na Nyota na Cha Kusikitisha Wale Wale Waliokuwa Wakimcheka Leo Amewajengea Hadi Nyumba hapa Jijini Dar na Wakitaka Kumsalimia ni Mpaka Kwa Ruhusa Maalum Kutoka Kwa Wapambe Wake. Wachezaji wa Tanzania Ni Vicha Ngumu na Pasua Kichwa.

mbali na mifumo mibovu ya serikali kwa wachezaji wetu lakini juhudi binafsi zinasaidia sana kusonga mbele
 
Alichezea timu gani hapa TZ? Funguka Mkuu.
Alichezea timu ya Wakimataifa (Young Africans SC). Ndio maana tunaitwa Wakimataifa. Nonda Shaban alicheza UEFA Champions League. Alikuwa anamzimikia sana Edibily Lunyamila. Kuna wakati alikuwa anasema kama atacheza kama anavyocheza Lunyamila basi atakuwa amepata mafanikio makubwa!
 
Naomba uniwekee picha akiwa na kikosi cha timu aliyochezea hapa Tanzania.
NONDA.jpg


NONDA (WA TATU KUTOKA KUSHOTO WALIOSIMAMA)
 
Kumbe humu wamejaa watoto waliozaliwa 1990-1999. Kama hujawahi kumuona Nonda akicheza mpira Uwanja wa Taifa wa zamani aka Uhuru Stadium au akipiga zoezi Kaunda Stadium au uswahilini akicheza kama "Jeshi" acha kufuatilia mpira kwa herufi KUBWA.
 
Juzi kati Bakari Malima akiwa E fm, alikuwa anaelezea jinsi alivyopata shida kumuona tu alivyoenfa kuomba msaada Congo.
 
Kumbe humu wamejaa watoto waliozaliwa 1990-1999. Kama hujawahi kumuona Nonda akicheza mpira Uwanja wa Taifa wa zamani aka Uhuru Stadium au akipiga zoezi Kaunda Stadium au uswahilini akicheza kama "Jeshi" acha kufuatilia mpira kwa herufi KUBWA.
...acha kuwa fwala!.,yani unarudia kucomment kitu kile kile ulichocomment miaka 3 iliyopita!?.,kwanini basi usiongeze wewe taarifa watu wajifunze!
..akili haijakuwa,huo umri wako haujakusaidia kabisa!
 
Mafanikio Yake hayo Yametokana na Kujituma Kwake na Haswa Kutoridhika Kuchezea Yanga Na Nakumbuka Nonda Shaaban Papii Alikuwa na Tabia Ya Kukimbia Kutoka Mwenge hadi Tegeta Tena Mida Ya Saa 8 Mchana Jua Kali Huku Akina Mohamed Hussein Mmachinga na Wachezaji Wengine Wa Kibongo Wakimcheka na Kumdhihaki Kisha Taratibu Akawaacha na Kutimikia Bondeni Kukipiga na Vaal Professionals FC na Blackpool FC na Hatimaye Kutimkia Zake Ufaransa Olympic Marseille na Klabu Zingine Hadi Kuwa Maarufu, Tajiri na Nyota na Cha Kusikitisha Wale Wale Waliokuwa Wakimcheka Leo Amewajengea Hadi Nyumba hapa Jijini Dar na Wakitaka Kumsalimia ni Mpaka Kwa Ruhusa Maalum Kutoka Kwa Wapambe Wake. Wachezaji wa Tanzania Ni Vicha Ngumu na Pasua Kichwa.
Jembe Ulaya huwa akisimulia hii story hadi chozi linamtoka maskini. Walikuwa ma-besti sana jamaa akatoka yeye akabakia bongo kusanga lami kama sisi.
 
Back
Top Bottom