Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna sura gani hapo ya kazi sura za kazi zipo africaHizo sura ni za kazi kwelikweli.siyo wale waigizaji wa kubeba mabokis uwanja wa uhuru na kuudanganya umma wamebeba kilo100
Madam unajua north Korea Ina wanajeshi wangapi jumlaLaki jamni n wengi sanaa 😂😂😂
Halafu mkuu kwanini huwa hauweki link ya source ya habari zako?North Korea inapeleka wanajeshi 100000 Nchini Russia kusaidia kuwaminya kende wanamgambo wa NATO
⚠️ 𝐁𝐫𝐞𝐚𝐤𝐢𝐧𝐠 𝐍𝐞𝐰𝐬 ⚠️
🇰🇵 | 𝗡𝗼𝗿𝗲𝗮 𝗞𝗼𝗿𝗲𝗮 𝘁𝗼 𝘀𝗲𝗻𝗱 𝘁𝗿𝗼𝗼𝗽𝘀 𝘁𝗼 𝗳𝗶𝗴𝗵𝘁 𝗨𝗸𝗿𝗮𝗶𝗻𝗲…
𝗡𝗼𝗿𝘁𝗵 𝗞𝗼𝗿𝗲𝗮 has reportedly offered to send 𝗥𝘂𝘀𝘀𝗶𝗮 up to 𝟭𝟬𝟬,𝟬𝟬𝟬 troops to 𝗳𝗶𝗴𝗵𝘁 𝗨𝗸𝗿𝗮𝗶𝗻𝗲.
Early reports indicate 𝗡𝗼𝗿𝘁𝗵 𝗞𝗼𝗿𝗲𝗮 is considering a 𝗺𝗮𝘀𝘀𝗶𝘃𝗲 military response to 𝗨𝗸𝗿𝗮𝗶𝗻𝗲.
Taarifa nyingine ni za uongo muwe munauliza source na link iwekwe halafu usome uone kama kuna ukweli kwenye hiyo taarifa aliyoileta.
We endelea binua kiuno kama nyigu utobolewe, hivi hizo sura za kazi unazifananisha na warembo wa USA ambako mwanajeshi anapaka piko na kurembua machoWataisha hao hutaamini
North korea ina active military personel 950,000 na reserve ni 420,000 muwe mnafuatilia haya mambo kuna nchi zipo siriazi na kwa ulinzi na usalamaHao wanajeshi 100,000 N. Korea haina hata hao wanajeshi hizo ni mbinu za kivita halafu wabaki na wanajeshi 0 au...?
We huwa upo live kabisa pale wanajificha, au nizile kelele za kanga kila anacho ongea Israel kwa mkristo kimetoka kwa malaika wa taifa teule haha, nyie wakristo kila muisrael ni malaika wenu wa roho mtakatifu lazima muwamini wanacho ongea.Wanamgambo ni wale wanaijificha Shuleni na Hospitalini.
Wabongo wanaivimbia macho UrusiNaona wabongo mnamind utazani jwtz ndio imepeleka jeshi urusi
Ndugu huitaji kutumia nguvu sana, jiulize kwanini Russia isaidiee wanajeshi?.We endelea binua kiuno kama nyigu utobolewe, hivi hizo sura za kazi unazifananisha na warembo wa USA ambako mwanajeshi anapaka piko na kurembua macho