North Korea Night life/Maisha ya Usiku Korea Kaskazini Msidhani kuna Misambwanda

North Korea Night life/Maisha ya Usiku Korea Kaskazini Msidhani kuna Misambwanda

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Ni maisha fulan amizing .

Tumeaminishwa Mengi yasiyo sahihi

Nimepita maeneo wanayosema hatari kwa mweusi nikiwa Mwenyewe bila escort, nimefanikiwa kupiga piga vi video kidogo japo kwa kujiiba sana

1. Pombe wanakunywa kawaida na wana Uhuru kwa hilo wanaopiga Maji hawabughudhiwi, Bar ziko open Muda wote na Muziki ya Korea ya Taratibu taratibu




2. Nimeenda Maeneo ya wadada wanaojiuza nimeshangaa Sana Kuna wachache mno ambao inabidi Uwe makin sana maana Polisi wakikukuta maeneo Yale utajuta! Maana katika mämbo yanayokatazwa ni hilo Pia
 
Tupate pate
 
Halafu ukikamatwa utaanza kulalamikia serikali ya Tanzania ikusaidie uachiwe.

Unavunja sheria makusudi kwenye nchi kama hiyo ni jambo la hatari sana mkuu. Kuwa makini usione hujashtukiwa ila wenzako nao waliingia matatizoni hivyo hivyo.

Bora ufate kilichokupeleka ukimaliza usepe. Ku record kwa siri itakuletea shida trust me.
 
Mkuu,tuwakilishe..

Mle mtoto mmoja matata.

Huko me hata sitamani kuingia.
 
Back
Top Bottom