Sikirimimimasikini
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 2,926
- 15,634
Picha ya Hwasong-8, kombora la hypersonic liliorushwa na North Korea
North Korea imesema kuwa imefanikiwa kufanya jaribio la hypersonic missile, kombora linalosafiri maradufu kuliko sauti. Wataalamu wa mambo ya silaha wanasema kuwa kombora hilo ni miongoni mwa makombora yanayotembea kwa spidi kubwa zaidi duniani na yana shabaha zaidi ktk kushambulia tageti halikadhalika yanaweza bebeshwa kichwa cha silaha za nyuklia.
Wachambuzi wa mambo ya silaha wanasema makombora ya jamii hiyo huweza kusafiri na spidi ambayo ni mara ishirini ya ile spidi ya sauti, na huwa na uwezo mkubwa wa kubadili badili muelekeo ktk urukaji/njia yake kiasi kwamba huwa ni vigumu sana kudunguliwa na mifumo ya ulinzi ya anga.
Kama North Korea watafanikiwa kuzalisha makombora hayo na kuyaingiza ktk matumizi basi makombora hayo yatabadili msawazo wa nguvu za kijeshi (military equation) na nchi jirani zake.
=============
Hong Kong (CNN)The hypersonic missile North Korea claims to have tested on Tuesday has the potential to be one of the world's fastest and most accurate weapons -- and could be fitted with a nuclear warhead, experts say.
While the exact specifications of North Korea's hypersonic Hwasong-8 missile are not yet known, missiles with hypersonic glide vehicles can theoretically fly as fast as 20 times the speed of sound and can be very maneuverable in flight, making them almost impossible to shoot down, according to experts.
If North Korea can successfully produce and deploy a hypersonic weapon, analysts say it could even change the military equation in the region.
What North Korea claims to be a new hypersonic missile launched on Tuesday.
"If true, it means current South Korean and Japanese missile defense systems become close to impotent," said Lionel Fatton, an assistant professor at Webster University in Switzerland and researcher at Meiji University in Japan.
Those systems are designed for defense against ballistic missiles, which descend on their targets from much higher altitudes than hypersonics.
"A hypersonic missile that can defeat advanced missile-defense systems is a game changer if a nuclear warhead is mated to it," said Drew Thompson, a former US Defense Department official and a visiting senior research fellow at the Lee Kuan Yew School of Public Policy at the National University of Singapore. But he cautioned, "that's a huge if. Having it and wanting it are not the same thing."
Pyongyang's state-run Korean Central News Agency (KCNA) said developing the "strategic" weapon was one of the five "top-priority tasks of the five-year plan" for the country's defense.