(Not My king, anti-monarchy) Je, Ufalme wa Uingereza upo matatani?

(Not My king, anti-monarchy) Je, Ufalme wa Uingereza upo matatani?

Soma sababu nzima ya kuutoa ufalme na kwanini ulirudi, na huyo jamaa alishikilia nchi kama protectorate tu akijua ufalme utarudi, ni kama Tanganyika ilipopewa kwa Muingereza baada mjerumani kushindwa vita, alipewa nchi aiandae kwa uhuru baas..... Na sababu za hao jamaa zilikua kidini zaidi kuliko upepo ulivyo sasa, na huyo jamaa alikua kwenye kundi la wanaotaka ufalme wa kikatiba na sio "absolute monarchy" . Kwahio jamaa hakupinga ufalme bali alipinga aina ya ufalmeView attachment 2613503
Hakushikilia nchi akijua mfalme atarudi na hiyo protectorate haikuwa na maana kama Protectorate ya Tanganyika. M
 
Hakushikilia nchi akijua mfalme atarudi na hiyo protectorate haikuwa na maana kama Protectorate ya Tanganyika. M
Hakua mfalme, kipindi hiko hakukua na ufalme,,, huwezi kua mfalme kama hutokei kwenye uzao wa falme....... Ni kama kwa sasa kusiwe rais bunge ndo liendeshe nchi na kiongozi wa bunge ndo awe mkuu wa nchi
 
Back
Top Bottom