Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,128
- 11,921
Notebook ya Drake aliyokuwa akiitumia siku za nyuma ipo sokoni, inauzwa $ 54K (121.6 M Tsh) TMZ wameripoti kuwa notebook hiyo ya Drake ambayo alikuwa akiitumia utotoni ina mistari yake, namba za simu na mambo mengine binafsi.
Mziki ni biashara sio siri!!!
Wasanii wa bongo igeni hii naamini kuna mashabiki wa ukweli hata hapa kwetu bongo daslam.
Mziki ni biashara sio siri!!!
Wasanii wa bongo igeni hii naamini kuna mashabiki wa ukweli hata hapa kwetu bongo daslam.