Noti mpya hazina ubora?

Bora hizo noti zikaondolema maana zinazidiwa ubora kwa kiasi kikubwa sana na noti za zamani. Hizi mpya hasa za 500 na 1000 zinapauka vibaya sana tena kwa muda mfupi tu. Nafananisha na uzinduzi wa window vista ambayo ilikuja kupitwa ubora na mtangulizi wake window xp ikawalazimu watalamu kuja na window 7. Kwa kweli binafsi i fill comfortable kuwa na noti za zamani kuliko kuwa na noti mpya.
 
Bora hizo noti zikaondolema maana zinazidiwa ubora kwa kiasi kikubwa sana na noti za zamani. Hizi mpya hasa za 500 na 1000 zinapauka vibaya sana tena kwa muda mfupi tu. Nafananisha na uzinduzi wa window vista ambayo ilikuja kupitwa ubora na mtangulizi wake window xp ikawalazimu watalamu kuja na window 7. Kwa kweli binafsi i fill comfortable kuwa na noti za zamani kuliko kuwa na noti mpya.
 
Nahisi kama kuna ukweli kuhusu kuondolewa kwa noti hizi!
Lakini kama ndivyo hivi hii inji inaelekea wapi?
Hivi ni kweli wataalamu wetu wote wamechakachua vyeti?
Je!tumepoteza uzalendo wa kutotamani nasisi inji yetu ipige hatua kiuchumi au hatana kushindwa kuihurumia pesa ya mlala hoi ?
Je!Hatuna uzoefu wakuchapisha noti inayoendana na wakati husika?
Jamani viongozi wetu tulio wapa madaraka kwa kuamini mtatutoa tulipo jitahidini muwe hata na chembe ya uzarendo mioyoni mwenu otherwise hamta kua salama,
Hivi uchumi wa nchi unavyoyumba mnadhani hivi hua mnajiuliza mwana inji wa kwaida anaathirika kiasi gani?
Mnavyo toa noti zisizo na ubora inamaana hamjui zina athiri uchumi kwa kiwango gani?
Hamuwezi kua salama
kama;_ Tutaona ninyi mnakula sisi tuna lala njaa.
Sisi tunakufa hata kwa magonjwa yanayo tibika wakati ninyi mafua tu ngoma INDIA.
Vikesi vya kipuuzi puuzi vinatupeleka lupango ninyi hata mkiua siku 21 kesi kwishneeey mtu anakula bata.
Kweli tuna waambia msipokua tayari kutulindia rasilimali zetu au kua na mbinu stahiki za kukuza na kuulinda uchumi wetu hatuta ona uthamani wa uwepo wenu lazima tutawaambia ondokeni na mtakapo bisha ndipo yale mnayoyaona kwenye runinga zenu mkiwa mnatafuna kodi zetu mtayashuhudia live.
Na sisitiza ni vyema mkawa wakweli kwetu ili tuangalie namna ya kufanya kwenu ikiwa ni kweli sisi ndio mabosi wenu otherwise tutakapo ona vimchezo vya kijinga vina endelea hatuta sita kuchukua .
 
Noti mpya hazitakiwi tena wakuu,ndio maana mnaona zinapotea mdogo mdogo,walichemsha hata ukienda bank wanakupa za zamani,hizo zililetwa kwa ajil ya kuziba gap ya zilizotumika kwenye uchaguzi.that's why waliona wafanye hivyo.
 
Mkuu I will be the same reverend! Kuna unafiki mkubwa sana JF....it's not related with the beauty of my behaviour.....fanya him a ukapate kikombe. Fikiria mzee mzima baada ya kupata kikombe alitoka na philosophy ya kuvua Magamba.

Hahahaaaa this is Rev Fr Masanilo majibu yako tu shule!
 
Kuna tetesi kwamba BOT wamejiridhisha kwamba zile note ubora wake upo chini sana, inasemekana wanaangalia namna ya kuvunja mkataba na kampuni iliyochukua tenda ya kuzitengeneza lakini vifungu kibao katika mkataba hawakuvisoma vizuri hivyo wakivunja mkataba serikali itabidi ilipe mamilioni ya Dola hivyo kuna uwezekano wa kuendelea kuzitumia tuu.
 
Mkuu I will be the same reverend! Kuna unafiki mkubwa sana JF....it's not related with the beauty of my behaviour.....fanya him a ukapate kikombe. Fikiria mzee mzima baada ya kupata kikombe alitoka na philosophy ya kuvua Magamba.


Sawa Mkuu...Mhhhh! Mkuu namshukuru Mungu niko fit hivyo sihitaji kabisa kikombe cha Babu.
 

kama ziko chini ya kiwango waziondoe kwenye mzunguko
 
Noti ni mbaya mno,ubora chini ya kiwango..sijui ni lini watu wataanza kuwajibika kwa matendo yao ya hovyo..?!
 
hawa si walienda ata katika luninga siku ile na kuitetea hii noti mpya?kwa kupoteza muda wetu kuwasikiliza kumbe noti zenyewe ndo ivi tena.
sasa zile gharama walizosisema kuchapishia na iyo kampuni kwamba ndio inayotengeneza pia dollar nk nk kulikoni!!!!
walikua wanatania na kuuza sura awa vihiyo?

ipo siku tutatundikana kama Misri
 
hivi humu jamvini hakuna mutu ya BOT. leo nimetoka benki nimepewa lundo la noti za zamani. nikamuuliza cashier note mpya vipi? mwenyewe hana jibu
 

Watu wengine bwana mnaongea kama mnatumia pua, ivi wewe unamfahamu benno ndullu kweli au unaropoka unapoongea uwe na ushahidi usiropoke tuu. for your information benno ndullu ameingia bot wakati mambo ya EPA yameshatokea huwezi kumuhusisha na epa uko ni kumuonea tuu tuache majungu tunaposema kitu tuwe na ushahidi.
 
shamba la bibi kila mtu anaingia. tutakuja kujua hii nayo ni kashfa nyingine iliyoteketeza rasilimali zetu kama zilivyo nyingine btn Ben and JK eras! kweli sisi ni shamba la bibi. sijui uitwao utawala bora tutauanza lini ...huu bora utawala unatumaliza
 
Wana JF.
Kimuonekano, Noti Hizi mpya zinaondolewa kwenye Mzunguko.
Si matarajio yangu, kwnda Benki na kupewa Noti za zamani ilhali hizi noti zilitakiwa kutolewa katika mzunguko kupisha uingizaji wa noti mpya.

Jinsi mambo yanvyoeenda si muda mrefu hizi noti mpya zitaondoka kabisa katika Mzunguko.

Je? Si haki yetu watanzania kujua Kinachoendelea hapa? Kama sio ufisadi kwanini hili jambo linafanywa kisirisiri?

Nini kinaendelea hapa?
 
Ni jambo la kutisha kama fedha ambazo taifa limetangaziwa kwa miezi kadha na kuelimisha wananchi jinsi ya kuzitambua, zinaondolewa kwenye mzunguko bila taarifa kwa umma!
Watendaji wa benki kuu wapo kazini kweli?
 
Huo ni ufisadi first class. Kwanzan hakukuwa na haja ya kutoa noti mpya wakati zile za zamani zilikuwa bado zipo katika hali nzuri kabisa.
Pili kucha pisha noti mpya ni gharama kubwa sana na mara nyingi tenda zake zimegubikwa na rushwa mbaya sana. Nina uhakika Gavana wa BOT alifanya hivyo ili naye apate chake cha juu.
Wanatakiwa wawajibike kwa kuisababishia serikali hasara kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…