Kula tano kwanza, its like u've been reading my mind. Jana nlitaka post hii thread....... kazi zikanizidi na uchovu nikashindwa post....
Nami nashangaa sana........ Mbwembwe zilizotumika na Governor ktk kuzinadi zilikua ni nyingi sana.......... Alianzia kwa Raisi hadi vyombo vya habari... Watu wakaanza zitumia, na ikagundulika zina makosa mengi mojawapo ni kutoa rangi, akalitolea ufafanuzi, kwamba haiwezekani eti ni za quality ya juu sana. Wataalam wa fedha watujuze, fedha mpya kuondoa zilizopo kwenye mzunguko inabidi zichukue muda gani? Maana muda umeenda sana, na badala ya fedha mpya kuongezeka zinapungua. Je, wanataka tuambie kwamba 10% ilitumika hivyo fedha imekuja isiyo na viwango, kwa gharama zetu watanzania wanazitoa na kwenda chapa zingine? Je, uchumi wetu uko hoi bin taaban, japo Governor Ndulu, JK na Mkullo wanajitapa unakua ilhali asilimia za ukuaji wao zinatofautiana hivyo zililetwa kuongeza fedha kwenye circulation? Maswali ni mengi kuliko majibu, we really majibu tena kwa mbwembwe zile zile na ufafanuzi ule ule wa NOTI MPYA HALALI KWA MALIPO YA SHILINGI.............