Kafrican
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 7,251
- 7,037
Baada ya banki kuu kuleta shilingi mpya za kenya ambazo hazina picha ya Rais yeyote, Hatimaye jana walizindua noti mpya za Kenya , mimi mwenyew sijafurahishwa sana na vil zinakaa ni kama tu noti nishawahi ziona za nchi zengine , Alafu katiba inasema hizo noti hazifai ziwe na picha ya rais yeyote, wametoa picha za ma rais upande wa mbele na kueka wanyama, lakini upande wa nyuma bado wamebakisha picha ya KICC ambayo iko na sanamu ya Kenyatta. technically sanamu si picha lakini hapa naona kesi ikienda mahakamani na CBK wakilazimishwa kurudi kuchora upya hizo noti jambo ambalo litasababisha kodi zetu kutumika kiholela manake kampuni ya kuchapisha itakua ilishalipwa kuanza kuchapisha hizi noti zenye KICC.
Anyway, tukirudi kwa mada, Wale ambao wanapenda kuficha hela walizoiba chini ya kitanda, muko na mpaka Oct mwaka huu kupeleka hizo hela benki mkageuziwe na hela mpya, kumbuka ukienda benki na hela nyingi ni lazima ueleze chanzo cha mapato yako.....
Anyway, tukirudi kwa mada, Wale ambao wanapenda kuficha hela walizoiba chini ya kitanda, muko na mpaka Oct mwaka huu kupeleka hizo hela benki mkageuziwe na hela mpya, kumbuka ukienda benki na hela nyingi ni lazima ueleze chanzo cha mapato yako.....