Noti ya shilingi mia tano kubadilishwa kuwa sarafu

Oooh!!! Mbona uchumi wetu unaboromoka sasa!!!!
 
ipo siku tutafikia hali ya zimbabwe. sielewi wanatoaje maamuzi ya kijinga hvy. nchi ambayo ina sarafu kubwa na noti kubwa sana uchumi wake ni wa hali ya chini sana. devaluation ya currency hata aiku moja haiasaidii ecxportation of our products if they have no quality labda kama wanapeleka nchi zisizoendelea kuliko sie. wamesoma wapi uchumi hawa?
 
Good news maana ikiwa noti inaonekana kubwa bora ikiwa sarafu itasaidia hata kutowa sadaka
 
Good news maana ikiwa noti inaonekana kubwa bora ikiwa sarafu itasaidia hata kutowa sadaka
Siku hizi sadaka za sarafu hazitakiwi, hapo ni maumivu zaidi maana sadaka sasa itakuwa kuanzia buku.....
 
Nch hii bwana jana not zng tatu tu za usd mia mia...toka ndan ya poch yangu ya mfukon....nikapewa bahasha iliojaa mijinot ya kitanzania sasa kuna siku nitapewa debe moja la sarafu za miatano miatano
 
Uchumi kupanda maana yake dola tungekuwa tunanunua kwa bei rahisi kama shilingi 50 nk halafu hizi noti zingepunguzwa sifuri kama noti ya 10,000 ingekuwa 1000 stop ingekuwa unabeba pesa kidogo unapata mahitaji kibao,huko ndiko pesa kuwa na thamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…