Noti ya shilingi mia tano kubadilishwa kuwa sarafu

Noti ya shilingi mia tano kubadilishwa kuwa sarafu

Unaondoa Noti unaweka sarafu...Wachumi tusaidieni hii inamaanisha nini kwenye uchumi wa njii yetu
 
kila zoezi la kuchapa pesa linapoanza pia linaendanaga na ufisadi lets hope huu si mwingine! kuna suala la kutafuta mzabuni apo ufisadi, kuna kiwango cha kuchapishwa hapo pia ufisadi!!! toka awamu ya 4 iingine imekua ikitumia sana huu mwanya kubadili ela ovyo ovyo!!! pesa zile nyekundu za awamu ya 4 zilikua nzuri na imara hizi za sasa za buku 1, 2 na jero zinaharibika haraka sana!!!
 
Tanzania inaelekea shimoni.na watz hawana mpango wa kuikoa.i can see tunakokwenda and i dont want to be part of it.
 
Yale yale ya kubadilisha noti za sh 5,000. Kulikuwa na noti tofauti zenye thamani sawa kwenye mzunguko kwa muda mrefu. Hapo kuna kundi linatafuta kupiga hela haramu, na uchaguzi ndo uko mlangoni. Chezea CCM ya Nchemba!,
 
Tujiandae kudodosha 500 kwa wale wenye mifuko ilotoboka.
 
Nimeimiss noti ya shilingi hamsini nakumbuka ilikuwa nyekundu na noti ya shilingi mia na mia mbili
 
Baada ya noti ya shilingi mia tano kuwa kwenye mzunguko mkubwa hivyo kuchakaa mapema,benki kuu ya Tanzania imeamua kuleta sarafu ya shilingi miatano mwaka huu wa fedha inayotamiwa kudumu kwa miaka zaidi ya ishirini
============================================




Chanzo;jukwaahuru

Ni ishara tosha kuwa pesa yetu inazid kwenda alijojo. Kujua hilo kumbuka wakati ule shilingi moja unapata kitu kulikuwa na noti ya shillingi mia. Pesa ilivyodidimia thaman ikatolewa kuwa sarafu. Hii trend naona inanipa wasiwas kuhusu kukua kwa thaman ya fedha yetu.
 
Gavana Ndullu anajaribu kuficha uozo wake wa kuchapisha noti zisizo na ubora. Alitumia nguvu nyingi kuzisifu awali.
 
Baada ya noti ya shilingi mia tano kuwa kwenye mzunguko mkubwa hivyo kuchakaa mapema,benki kuu ya Tanzania imeamua kuleta sarafu ya shilingi miatano mwaka huu wa fedha inayotamiwa kudumu kwa miaka zaidi ya ishirini
============================================

Hakuna cha kwamba eti inatumika sana, noti hiyo ni mbovu tu! Mbona wenzetu Kenya na Uganda hawana tatizo hilo? Prof. Ndulu ni mpuuzi sana alivyokuwa anazipigia debe wakati zinaingia mbona hakutoa tahadhari? Noti hiyo imetengeneswa kwa karatasi za kawaida na siyo pamba kama alivyokuwa anasema! Hivi hatuwezi kutengeneza kama dollar za USA?

Kenya wenyewe wametumia teknolojia gani jamani? Za kwetu nazifananisha na mafaranga ya Burundi miaka ya 90, sijui kama walishabadilisha!
 
Back
Top Bottom