Noti za Tsh. 50000 na 100000

Noti za Tsh. 50000 na 100000

Habari ndugu zangu.
Kutokana na kupanda kwa gharama za maisha, thamani ya pesa yetu imeshuka pia. Noti moja ya sh. elfu kumi si kitu tena.

Ata ukienda dukani tu kwa muha kununua mahitaji ya nyumbani elfu kumi inakatika kwa vitu hata mkononi havijai. Mimi binafsi huwa najitahidi kununua mahitaji ya nyumbani kwa pamoja kama vyakula hvo natakiwa kwenda kwa muha na noti za elfu kumi kumi kuanzia kumi na mbili na zaidi.

Binafsi naona kuna umuhimu wa kuongeza noti za elfu hamsini na laki moja kwenye hela zetu. Hii itaweza kurudisha hadhi ya hela yetu kiasi fulani, ukiwa na noti moja ya elfu hamsini huna wasiwasi inaweza kufanya mambo mawili matatu bila tatzo tofauti na hzi elfu kumi. Pia itapunguza ulazima wa kubeba manoti mengi kwa matumizi ya kawaidi tu.
South Africa noti Yao ya juu kabisa ni 200 Rand.....

Nafikiri kuwa kuna kitu cha kujifunza hapo kabla ya kufanya maamuzi hayo ya kutoa noti ya 50 elf.
 
Habari ndugu zangu.
Kutokana na kupanda kwa gharama za maisha, thamani ya pesa yetu imeshuka pia. Noti moja ya sh. elfu kumi si kitu tena.

Ata ukienda dukani tu kwa muha kununua mahitaji ya nyumbani elfu kumi inakatika kwa vitu hata mkononi havijai. Mimi binafsi huwa najitahidi kununua mahitaji ya nyumbani kwa pamoja kama vyakula hvo natakiwa kwenda kwa muha na noti za elfu kumi kumi kuanzia kumi na mbili na zaidi.

Binafsi naona kuna umuhimu wa kuongeza noti za elfu hamsini na laki moja kwenye hela zetu. Hii itaweza kurudisha hadhi ya hela yetu kiasi fulani, ukiwa na noti moja ya elfu hamsini huna wasiwasi inaweza kufanya mambo mawili matatu bila tatzo tofauti na hzi elfu kumi. Pia itapunguza ulazima wa kubeba manoti mengi kwa matumizi ya kawaidi tu.
Mimi nashauri tupunguze walau 0 moja kwenye kila hela yetu inayotumika kwa sasa!! Au ndiyo kusema haiwezekani kabisa?

Wachumi wabobevu mnisaidie tafadhali katika hili. Hivi ndiyo kusema hatuwezi tena kurudi nyakati zilizopita za kutumia cent 50, shilingi 1, shilingi 5, shilingi 10, shilingi 20, na nk?
 
Habari ndugu zangu.
Kutokana na kupanda kwa gharama za maisha, thamani ya pesa yetu imeshuka pia. Noti moja ya sh. elfu kumi si kitu tena.

Ata ukienda dukani tu kwa muha kununua mahitaji ya nyumbani elfu kumi inakatika kwa vitu hata mkononi havijai. Mimi binafsi huwa najitahidi kununua mahitaji ya nyumbani kwa pamoja kama vyakula hvo natakiwa kwenda kwa muha na noti za elfu kumi kumi kuanzia kumi na mbili na zaidi.

Binafsi naona kuna umuhimu wa kuongeza noti za elfu hamsini na laki moja kwenye hela zetu. Hii itaweza kurudisha hadhi ya hela yetu kiasi fulani, ukiwa na noti moja ya elfu hamsini huna wasiwasi inaweza kufanya mambo mawili matatu bila tatzo tofauti na hzi elfu kumi. Pia itapunguza ulazima wa kubeba manoti mengi kwa matumizi ya kawaidi tu.
Kiuchumi haijakaa poa, wazo lako litatupoteza.
 
Back
Top Bottom