nadhani itakuwa ni Dar live mbagala
Wacha kujisahaulisha Wewe!Hata kama ni Competition hicho wanachotaka kufanya Efm/TVE ni utoto sasa... Kwa style hii maendeleo nchi hii ngumu sana
Inajulikana Fiesta ni brand ya clouds kwa nini usipange ratiba zako tarehe nyingine kama unahamu ya kutupa tamasha la bure? To me that is so low and pathetic! Kama wao ndio walianza kutangaza tarehe basi clouds wasogeze mbele
OK, Sikumbuki hiyo ila hata hivyo ningekua mimi Ruge Soko la Dar ningeachana nalo kwa sasa..too much politics involved!Wacha kujisahaulisha Wewe!
unakumbuka clouds walichomfanyia jide?
Tulia mkuu .....tena Wabongo tunavyopenda vya bure
Ilo co la kuuliza au kushangaa.....wee pigia mstari tuuuUtasikia bashitee yupo nyuma ya hili suala. Mark my words....
Uwe kipofu tu kutojua uwezo wa clouds..Unajua Ruge alikua anatesa watu kwa style hii hii sasa leo amekutana na kiboko yake.
We jamaa umejudge vibaya.Hata kama ni Competition hicho wanachotaka kufanya Efm/TVE ni utoto sasa... Kwa style hii maendeleo nchi hii ngumu sana
Inajulikana Fiesta ni brand ya clouds kwa nini usipange ratiba zako tarehe nyingine kama unahamu ya kutupa tamasha la bure? To me that is so low and pathetic! Kama wao ndio walianza kutangaza tarehe basi clouds wasogeze mbele
Usijitoe ufahamu kujisahaulisha hao clouds walipopanga show ya Mwana Fa wakati siku hiyo Ladyjaydee alikuwa na uzinduzi wa albamu yake na wasanii aliowaalika Jide hawakwenda wakaenda show ya clouds
Karma is a bitch.Mtanange huu ulianza hapo jana pale ambapo TvE/Efm walipotoa tangazo la Ssebo kuzungumza leo na Clouds nao wakapandisha Ruge kuzungumza muda uleule wa Watani wao wa Jadi!
Nimepata butwaa kusikia Efm/TvE watakuwa na tamasha la bure 25th Novemba 2017 ambayo ndio siku Fiesta Dar itafanyika.
Haya sie wajuvi wa mambo husema ngoma bado mbichi...mtoto wa miaka 3 na miezi 8 anamvimbishia babu wa miaka 20.
Hii vita ya kichini chini ni tamu sana na itakuza media za nchi kama wote watakuwa na akili ya ushindani!!!!
Hawana cha kupoteza, watafanikiwa sana kama lengo lao ni nyomi.Efm hawawezi kufanikiwa...
Umemsikia Boss Ruge leo? Anaomba Watanzania tusiwe kama kaa, unazijuwa tabia za kaa?Uwe kipofu tu kutojua uwezo wa clouds..
Wametembea nchi nzima.
Bado sana.
katika kutafuta wateja kila mtu ana mbinu zake. unazoziita wewe patheitic kwa wenzio ndio chansi ya kuwin zaidi populality. hata bidhaa mpya ikiingia sokoni either inagawiwa bure or kwa cheap price ili kujitangaza. to etv/efm clouds wamekamatwa.Hata kama ni Competition hicho wanachotaka kufanya Efm/TVE ni utoto sasa... Kwa style hii maendeleo nchi hii ngumu sana
Inajulikana Fiesta ni brand ya clouds kwa nini usipange ratiba zako tarehe nyingine kama unahamu ya kutupa tamasha la bure? To me that is so low and pathetic! Kama wao ndio walianza kutangaza tarehe basi clouds wasogeze mbele
Karma is a bitch.
Kuna siku watu mtakuja kusema ccm inaonewa kwa sababu sasa hivi ipo madarakani hamuoni inavyowatesa Watanzania. Ni sawa na hao clouds nakumbuka tamasha la Sugu la Anti virus nao walipanga tarehe hiyohiyo na wakamleta msanii kutoka Marekani, lakini Sugu alishinda kwa kupata public sympathy.