November 25 yagombaniwa, Efm/TvE vs Clouds Media

November 25 yagombaniwa, Efm/TvE vs Clouds Media

Hata kama ni Competition hicho wanachotaka kufanya Efm/TVE ni utoto sasa... Kwa style hii maendeleo nchi hii ngumu sana

Inajulikana Fiesta ni brand ya clouds kwa nini usipange ratiba zako tarehe nyingine kama unahamu ya kutupa tamasha la bure? To me that is so low and pathetic! Kama wao ndio walianza kutangaza tarehe basi clouds wasogeze mbele
Wacha kujisahaulisha Wewe!
unakumbuka clouds walichomfanyia jide?

Tulia mkuu .....tena Wabongo tunavyopenda vya bure
 
Hata kama ni Competition hicho wanachotaka kufanya Efm/TVE ni utoto sasa... Kwa style hii maendeleo nchi hii ngumu sana

Inajulikana Fiesta ni brand ya clouds kwa nini usipange ratiba zako tarehe nyingine kama unahamu ya kutupa tamasha la bure? To me that is so low and pathetic! Kama wao ndio walianza kutangaza tarehe basi clouds wasogeze mbele
We jamaa umejudge vibaya.

Katika kuelekea uchumi wa viwanda, hivi ndivyo sisi tunataka.
Muuzaji "A" lete product yako, muuzaji ''B" leta product yako pia, msiogope tangazeni sifa za products zenu

Haina haja ya mzalishaji asitishe kutoa huduma yake sababu sokoni tayari Kuna product hio.

Kama wataona kuna conflict of interest wao watakaa chini watapanga,Ila wewe Kama mshabiki una wasi wasi gani?!
 
Usijitoe ufahamu kujisahaulisha hao clouds walipopanga show ya Mwana Fa wakati siku hiyo Ladyjaydee alikuwa na uzinduzi wa albamu yake na wasanii aliowaalika Jide hawakwenda wakaenda show ya clouds

Waache nao wameze dawa walizokuwa wanawamezesha wenzao, tena ikibidi aletwe msanii toka nje, na hata wakiahirisha na sisi tunaahirisha.

Kama namwona Makonda atakavyoamrisha Fiesta iishe saa 6 huku EFM ikikesha...

Tunazima kiki, tunawasha muziki.
 
Mtanange huu ulianza hapo jana pale ambapo TvE/Efm walipotoa tangazo la Ssebo kuzungumza leo na Clouds nao wakapandisha Ruge kuzungumza muda uleule wa Watani wao wa Jadi!

Nimepata butwaa kusikia Efm/TvE watakuwa na tamasha la bure 25th Novemba 2017 ambayo ndio siku Fiesta Dar itafanyika.

Haya sie wajuvi wa mambo husema ngoma bado mbichi...mtoto wa miaka 3 na miezi 8 anamvimbishia babu wa miaka 20.

Hii vita ya kichini chini ni tamu sana na itakuza media za nchi kama wote watakuwa na akili ya ushindani!!!!
Karma is a bitch.

Kuna siku watu mtakuja kusema ccm inaonewa kwa sababu sasa hivi ipo madarakani hamuoni inavyowatesa Watanzania. Ni sawa na hao clouds nakumbuka tamasha la Sugu la Anti virus nao walipanga tarehe hiyohiyo na wakamleta msanii kutoka Marekani, lakini Sugu alishinda kwa kupata public sympathy.
 
Hapo msanii nae atachekecha akili yake, kwamba uitwe side A ya bure au uitwe side B ya mpunga
 
kat
Hata kama ni Competition hicho wanachotaka kufanya Efm/TVE ni utoto sasa... Kwa style hii maendeleo nchi hii ngumu sana

Inajulikana Fiesta ni brand ya clouds kwa nini usipange ratiba zako tarehe nyingine kama unahamu ya kutupa tamasha la bure? To me that is so low and pathetic! Kama wao ndio walianza kutangaza tarehe basi clouds wasogeze mbele
katika kutafuta wateja kila mtu ana mbinu zake. unazoziita wewe patheitic kwa wenzio ndio chansi ya kuwin zaidi populality. hata bidhaa mpya ikiingia sokoni either inagawiwa bure or kwa cheap price ili kujitangaza. to etv/efm clouds wamekamatwa.
 
Karma is a bitch.

Kuna siku watu mtakuja kusema ccm inaonewa kwa sababu sasa hivi ipo madarakani hamuoni inavyowatesa Watanzania. Ni sawa na hao clouds nakumbuka tamasha la Sugu la Anti virus nao walipanga tarehe hiyohiyo na wakamleta msanii kutoka Marekani, lakini Sugu alishinda kwa kupata public sympathy.

Nakumbuka hili Tamasha lilifanyikia Viwanja vy Ustawi wa Jamii, tulijaa kama nini.

Hata lile la Jide na wao Clouds wakaandaa la Mwana FA.
 
Hivi mmesahau Clouds walichomfanyia Ladyjdee kwa kumuandalia mwana FA tamasha Siku Moja na la Jde ili kumkomoa? Leo Efm wanafanya the same thing mnasema ni utoto? Tuwaache wapambane wote wanajua uhuni wanaofanyiana
 
Back
Top Bottom